Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Maoni yangu kuhusu gari aina ya Harrier maarufu "Tako la Nyani"

Ndiyo kiongozi. Kuna gari za wanawake na wanaume. Strange enough hatuwezi kutengeneza hata baiskeli.
Boss hii ni perception na mindset tu, hakunaga jinsia kwenye gari, kama ilivyo kwenye nguo kiasi ukivaa sketi mwanaume watu watakushangaa na kukuona kituko.....ndy mana hizo gari unazosema za wanawake wanaume pia huendesha!
 
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model... Lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan..
Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine
Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ualji mdogo wa mafuta... Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza...
Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa Kama sare ya taifa
Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo... Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka.. Yule mwenye makalio mekundu...
Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard. Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe... Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta...
Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya... Wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari

Jr[emoji769]
Bei zake zimefika ngapi sasa hivi mkuu Mshana Jr?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilishaliendesha Dar to Songea zaidi ya mara tano nilijikuta natumia akili nyingi sana, maana mimi napenda sana mbio, lakini lenyewe ukifika 140 unaona kabisa linataka kupaa. Nimebaki zangu na GX 110 ndo mpango mzima natembea hadi namaliza kisahani
Hahahaa. Eti kisahani. Tembea speed ya kwaida tu mkuu. Familia yako, ndugu zako na taifa bado linahitaji sana mchango wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora ukae 100-140 ukizid kwa corner inaweza kufanya yake! Haiko stable kwa corner in high speed ni gari ya suburban yaani siyo ya safari sana haiatmii barabara ishanitoa wenge mara nyingi tuu just dont overspeed.
Mkuu hata zile Lexus RX300 zina tabia sawa na Harrier?
Ukiondoa tako la fulani,je old model zake nazo vipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni gari nzuri ni comfortable ndani kama huna mapepe, if you are here next level is landcruiser, spare zipo za kutosha, mafuta kawaida, but dont overspeed! Ingawa ina matatizo ya shockups but its good car! Had two of them! Asingekuwa jiwe ningekuwa kwa v8! Dis life!
Ni kweli Mkuu ,kuna mtu avuruga mipango ya watu sana. Hata Mimi huyu mnyama nilikuwa namvizia. Lakini kwa sasa hali siyo hali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss hii ni perception na mindset tu, hakunaga jinsia kwenye gari, kama ilivyo kwenye nguo kiasi ukivaa sketi mwanaume watu watakushangaa na kukuona kituko.....ndy mana hizo gari unazosema za wanawake wanaume pia huendesha!
Definitely ni mindset tu.
Kuna watu wanaamini kabisa unfortunately.
 
53186701_1694478164031982_709294491516796928_n.jpg

Kuna jamaa mmoja wa comoro alikuwa anauza yake Milion 10 nikaja nikakutana na mzungu mmoja anauza yake anatafuta hela ya kuondoka kwao milion 6..... Hii gari kwa speed ndiyo mahali pake
3056987_orig.jpg
Bado zipo??
 
Nilishaliendesha Dar to Songea zaidi ya mara tano nilijikuta natumia akili nyingi sana, maana mimi napenda sana mbio, lakini lenyewe ukifika 140 unaona kabisa linataka kupaa. Nimebaki zangu na GX 110 ndo mpango mzima natembea hadi namaliza kisahani
Daah we Noma mkuu
 
Kapicha please
Ni model ya gari ya Toyota Harrier kizazi cha vvt-i (umeme mwingi mafuta kidogo)... Huku kwetu tunaita new model... Lakini kimsingi sio new model kwa huko Japan..
Kwa kawaida Harrier ni gari zinazosifika kwa ulaji mbaya wa mafuta lakini model hii TAKO LA NYANI ni tofauti na model nyingine
Uundwaji wake umezingatia starehe zaidi, kasi, nguvu na ualji mdogo wa mafuta... Hivi vigezo vimewavutia wa bongo wengi mpaka kuifanya ndio gari ya kuuzia sura kwa sasa yani ndio gari inayouza...
Huwezi kukaa dakika kumi mahali yanapopita magari bila kuiona hii gari mpaka sasa inaelekea kuwa Kama sare ya taifa
Neno TAKO LA NYANI limetokana na hii gari taa zake za nyuma zilivyo... Yani zimekaa kama makalio ya nyani gendaeka.. Yule mwenye makalio mekundu...
Lakini ni wangapi wanajua hatari za hii gari gumzo la jiji? Kwa taarifa yako ndio gari zinazoongoza kwa ajali zikifuatiwa na Alphard. Unaweza kudhani zina tatizo lakini shida ni sisi wenyewe... Hatujazoea gari zenye take over kubwa na mwendokasi wa fasta...
Hivyo ndugu zangu kama kuna mwenye mpango wa kununua hii gari azingatie haya... Wepesi, mwendokasi na nguvu ya hii gari

Jr[emoji769]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale wasiojua Harrier TAKO LA NYANI hii hapa

Jr[emoji769]
Hii gari inasimama sh ngapi mkuu ukiagiza? Binafsi napenda Sana harrier sema nilikuwa kaogopa mafuta, sasa Kwa kuwa mafuta sio issue kumbe naweza kuichukua
 
Back
Top Bottom