Maoni yangu kuhusu Vita ya Urusi Kama Magharibi Au NATO watalazimika kuhusika moja Kwa moja

Maoni yangu kuhusu Vita ya Urusi Kama Magharibi Au NATO watalazimika kuhusika moja Kwa moja

lwaitama1

Member
Joined
Nov 8, 2021
Posts
39
Reaction score
196
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr. Lwaitama
 
Kwanza Shikamoo Join the chain ya CHADEMA inaendeleaje!

Naona CHADEMA mmeshika msimamo kwamba mnasimama na Urusi nauliza Mbona mkitoa mifano ya democracy mnatolea ya USA, na mnaposhambuliwa mnaenda USA si Urusi?
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr lwaitama
Naunga mkono hoja..
Kuna baadhi ya watu humu hawaangalii ukweli.. wanafanya ushabiki tu kama wa Simba na Yanga!
 
Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Mimi Dr lwaitama
Ni Azaveli Feza?.
P
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr lwaitama
Umeandika Pumba na unazi mkubwa

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr lwaitama
Kama kweli wewe ndiye Lwaitama basi nina uhakika umeandika haya kwasababu mmeamua kama chama kushabikia mashoga na ushoga mkionhozwa na yule jamaa wa Ubelgiji.

Unapozungumzia uchumi,kwani uchumi utasaidia nini kwenye vita kati ya Urusi na Marekani!? Au unadhani watapigana kama Urusi anavyopigana na Ukraine?

Vita kati ya miamba hao viwili haitakuwa ndefu hadi ihitaji uchumi mkubwa. Wala haitachukua miezi saba kama unavyodhani. Huwenda vikaweka historia mpya ya vita vilivyotumia muda mfupi zaidi duniani. Huenda ikachukua saa kadhaa vita kumalizika na kuacha athari isiyoelezeka. Kuna uwezekano wa nchi kama si dunia kurudi zama za giza. Silaha zitakazotumika nizamaangamizi. Itakuwa nani atawahi kumfikia mwenzake. Na akikuwahi hatakupa nafasi yakujibu wala kutubu. Atakuangamiza.

Huo uchumi haotakusaidia mbele ya silaha hizo za maangamizi.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Kama kweli wewe ndiye Lwaitama basi nina uhakika umeandika haya kwasababu mmeamua kama chama kushabikia mashoga na ushoga mkionhozwa na yule jamaa wa Ubelgiji.

Unapozungumzia uchumi,kwani uchumi utasaidia nini kwenye vita kati ya Urusi na Marekani!? Au unadhani watapigana kama Urusi anavyopigana na Ukraine?

Vita kati ya miamba hao viwili haitakuwa ndefu hadi ihitaji uchumi mkubwa. Wala haitachukua miezi saba kama unavyodhani. Huwenda vikaweka historia mpya ya vita vilivyotumia muda mfupi zaidi duniani. Huenda ikachukua saa kadhaa vita kumalizika na kuacha athari isiyoelezeka. Kuna uwezekano wa nchi kama si dunia kurudi zama za giza. Silaha zitakazotumika nizamaangamizi. Itakuwa nani atawahi kumfikia mwenzake. Na akikuwahi hatakupa nafasi yakujibu wala kutubu. Atakuangamiza.

Huo uchumi haotakusaidia mbele ya silaha hizo za maangamizi.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Huyo siyo Lwaitama ninayemufahamu huyu ni Lwaitama wa mchongo.
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr lwaitama
Sikirii Mimi masikini uvuvi wangu nyumbani nakufa hapa kwa Nini,,,,,,,hujamtendea haki Sikirimimimasikini[emoji1732]
 
Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!
Mkuu, kwa bahati mbaya au nzuri nilipofungua tu, nikaona hiyo mistari hapo niliyokwoti kabla sijaenda kule juu. Nikasema ngoja nimalizane na hili kwanza.
Hakuna asiyekemea uvamizi wa nchi yoyote juu ya nyingine, hasa ukiwa ni uvamizi wa kuonea tu, au kwa maslahi ya pembeni zaidi yasiyohatarisha nchi inayoivamia nyingine
Lakini inabidi pia uangalie kwa makini sana tatizo lililopo hapa kati ya Urusi na washirika wa nchi iliyovamiwa.
Ni hivi: ni kama ile vita baridi ilikuwa bado haijaisha. Hawa jamaa wa magharibi ni kama walijikuta kama vile kuna kitu hawakukimalizia kabisa ili roho zao zitulie. Urusi yenye nguvu, hata kama imejiunga katika mfumo huo huo wa kidunia unaohimizwa na hawa walioshinda vita ya baridi, bado haiwapi utulivu juu ya Urusi yenye nguvu katika eneo hilo la Ulaya.

Bado hawa wakubwa wa Ulaya, wakiongozwa na mkuu wao, wanakuwa na wasiwasi na hili li-nchi kubwa la Urusi lenye nguvu, na ambalo pamoja na lenyewe kukubali kuendesha shughuli zake kama zinavyoendeshwa huko Magharibi, bado hawana utulivu wa moyo juu yake (kuhusu usalama wao, baadae, sijui?); lakini wanaliogopa sana li-nchi hili.

Zaidi ya hayo, huyu mkubwa kabisa aliyebaki kama kinara wa dunia, hata yeye hataki hadhi yake hiyo itiliwe mashaka. Isihojiwe na yeyote awaye. Akikataa jambo, kila mtu aingie mstarini. Ni hulka ya kibinaadam hiyo. Ususi yenye nguvu kila mara itakuwa upande wa pili. Unaikumbuka ilivyokuwa Syria? Au hukufuatilia sinema hiyo.


Nisiende mbali sana na jambo hili, lakini wewe jiulize. Vita Baridi wamekwishashinda. Mpinzani wao mkuu amekwishasambaratika. Kuna haja gani tena ya kwenda kumbanabana kwa kujitanua mpaka mlangoni kwake? Anawaomba 'guarantee' ya usalama wake, mnamzungusha kiujanjaujanja na uongo mwingi.

Jamaa kaweka mstari mwekundu chini, usiuvuke, wao wanadhani anatania!
Halafu ona sasa wanavyozidi kumchochea huyu kibaraka waliyemtoa kama sadaka. Watu wake wanaumizwa, wao wanazidi kuchochea kuni hao watu waumizwe zaidi kwa kutoa silaha na kumpa matumaini kibaraka yasiyokuwepo, kiasi kwamba hata mazungumzo ya kusitisha vita anakuwa hana msimamo wake thabiti wa kuwahurumia raia zake.

Mrusi anapigania usalama wake. Wanambanabana hadi wamtoe roho? Walijaribu kuihadaa Chrchinia, wakakwama, sasa wanatafuta njia za kuendelea kulegeza mrusi kwa wasiwasi wao tu usiokuwa na msingi.

Ni hayo tu mkuu, ngoja nikasome huko juu.
 
Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!
EeEEeeenHeeee, imenibidi nicheke kidogo mkuu wangu, lwaitama1; mbona nawe sasa unayafanya haya mambo yawe kama ya Yanga na Simba?
Kwa hali ya sasa, vita ikitokea, hakuna wa kusema atabaki salama amesimama juu ya mwingine. Hili unalijuwa na hata wao wakubwa wenyewe wanalijua. Ndiyo maana ya 'deterance', ambayo imekuwepo miaka yote, na wala haitakoma leo. Wewe unadhani hao wakubwa wameshindwa nini kuingilia harakaharaka na kumkomesha mrusi; ila badala yake wanamtumia waliyemfanya chambo chao kumchokoza mrusi.

Hii vita haiwezi kupiganwa miezi hiyo uliyoitaja, ingawa kiukweli wanachofanya sasa ni mbinu za kuifanya urusi iendelee kuwa vitani kwa muda huo hapo hapo kwa kibaraka wao, huku wakimchochea na silaha, na watu wake wakiendelea kupata shida.
Nikubaliane nawe, mbinu hii, ndiyo hasa unayoyasema hapo juu. Kumdhoofisha mrusi kiuchumi. Si uliona walivyokimbilia kwenye kuweka vikwazo vyya uchumi, wewe unadhani hili walikuwa hawwajalifikiria toka mwanzo?
Lakini, pamoja na vikwazo hivi, wewe unadhani wao pia hawatatetereka. Unadhani dunia haitaanza kujiuliza kwa nini mfumo wa biashara uhodhiwe na nchi moja au kundi la nchi? Unadhani huu hautakuwa mwanzo wa kuuliza maswali juu ya mfumo huu?
Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !
Huyu gwaride lake hulijui lilipo? Hukuona jinsi Saddam alivyocharazwa, huku maTV nyumbani yakishuhudia kama sinema fulani hivi?
lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence)
Usije ukashangaa bomu la nuklia likadondoshwa hata hapo Ukraine, kama mrusi ataona kwamba anacheleweshwa shughuli zake nyingine. Haya mambo tuwe waangalifu sana nayo.

Nimalizie hapa kwa kukueleza kwamba nchi yoyote yenye silaha (makombora ya masafa marefu yanayoweza kubeba nuclear warheads yanayoweza kuifikia Marekani yenyewe, nchi hiyo haichezewi. Ndiyo maana hata ki-inchi kama Korea ya Kaskazini sasa kinaanza kuwa kigumu kukiamrisha.
Siasa za huko, na hasa wananchi wao wanapojuwa kwamba vita ikianza hata wao itawaathiri moja kwa moja, na siyo ile ya kuangalia tu kwenye luninga kama matamasha vile, hilo linatia hofu zaidi kuliko nchi kama Libya ambayo hakuna mwananchi yeyote anayehofia kudhurika moja kwa moja.
 
Dr..pamoja kwamba uelewa wangu mdogo kwenye maswala vita,lakini hapa unanipa shaka kidogo juu ya uwelewa wako kuhusu haya mataifa km Urusi na Marekani kwenye nguvu za kijeshi walizonazo,kwa sababu ikitokea wakubwa hawa wakaingia vitani sidhani km vita hii itachukua zaidi ya week moja bila kupata majibu ya nan kashinda na nani ameshindwa..kwani tusitegemee kuona Ak 47 wala wanajeshi wa jeshi Fulani kuingia sehem fulan,hapa tutegemee kuona ulimwengu unafunikwa na Giza zito na madhara yake itakuwa hadithi ambayo haikuwahi kutokea kabla..kwahiyo swala la nchi kuwa na uchumi mdogo au mkubwa halina nafasi hapo.
 
IRAQ labda ilikua inaogopewa na IRAN na SYRIA labda
Kwamba US akiingia vitani na RUSSIA yale majengo marefu pale DC nakwengineko yatabakia kama yalivyo!!?
US ndio anatapatapa hv kuelekea mwisho wake
Hawa ndo Dr lwaitama aliowasema....wanamiliki tecno na Shule Hamna ila kwa ubishi sasa lol....hapo kishaweka bando lake la 500 anabisha kila kitu asalaleee fungu la kukosa
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr lwaitama
Mkuu trust me, ikitikokea leo Nato an US wakapigana na Urusi, vita haitachukua muda mrefu. Ndani ya muda mfupi vitaitaisha na hapatakuwa na mshindi.

Si hizo facts za bajeti/uchumi labda jwa hizi operation kama ya Urusi kwa Ukraine.
Ila US vs Russia makombora yatakuwa yanapishana angani tu
 
Back
Top Bottom