Maoni yangu kuhusu Vita ya Urusi Kama Magharibi Au NATO watalazimika kuhusika moja Kwa moja

Maoni yangu kuhusu Vita ya Urusi Kama Magharibi Au NATO watalazimika kuhusika moja Kwa moja

Mkuu, kwa bahati mbaya au nzuri nilipofungua tu, nikaona hiyo mistari hapo niliyokwoti kabla sijaenda kule juu. Nikasema ngoja nimalizane na hili kwanza.
Hakuna asiyekemea uvamizi wa nchi yoyote juu ya nyingine, hasa ukiwa ni uvamizi wa kuonea tu, au kwa maslahi ya pembeni zaidi yasiyohatarisha nchi inayoivamia nyingine
Lakini inabidi pia uangalie kwa makini sana tatizo lililopo hapa kati ya Urusi na washirika wa nchi iliyovamiwa.
Ni hivi: ni kama ile vita baridi ilikuwa bado haijaisha. Hawa jamaa wa magharibi ni kama walijikuta kama vile kuna kitu hawakukimalizia kabisa ili roho zao zitulie. Urusi yenye nguvu, hata kama imejiunga katika mfumo huo huo wa kidunia unaohimizwa na hawa walioshinda vita ya baridi, bado haiwapi utulivu juu ya Urusi yenye nguvu katika eneo hilo la Ulaya.

Bado hawa wakubwa wa Ulaya, wakiongozwa na mkuu wao, wanakuwa na wasiwasi na hili li-nchi kubwa la Urusi lenye nguvu, na ambalo pamoja na lenyewe kukubali kuendesha shughuli zake kama zinavyoendeshwa huko Magharibi, bado hawana utulivu wa moyo juu yake (kuhusu usalama wao, baadae, sijui?); lakini wanaliogopa sana li-nchi hili.

Zaidi ya hayo, huyu mkubwa kabisa aliyebaki kama kinara wa dunia, hata yeye hataki hadhi yake hiyo itiliwe mashaka. Isihojiwe na yeyote awaye. Akikataa jambo, kila mtu aingie mstarini. Ni hulka ya kibinaadam hiyo. Ususi yenye nguvu kila mara itakuwa upande wa pili. Unaikumbuka ilivyokuwa Syria? Au hukufuatilia sinema hiyo.


Nisiende mbali sana na jambo hili, lakini wewe jiulize. Vita Baridi wamekwishashinda. Mpinzani wao mkuu amekwishasambaratika. Kuna haja gani tena ya kwenda kumbanabana kwa kujitanua mpaka mlangoni kwake? Anawaomba 'guarantee' ya usalama wake, mnamzungusha kiujanjaujanja na uongo mwingi.

Jamaa kaweka mstari mwekundu chini, usiuvuke, wao wanadhani anatania!
Halafu ona sasa wanavyozidi kumchochea huyu kibaraka waliyemtoa kama sadaka. Watu wake wanaumizwa, wao wanazidi kuchochea kuni hao watu waumizwe zaidi kwa kutoa silaha na kumpa matumaini kibaraka yasiyokuwepo, kiasi kwamba hata mazungumzo ya kusitisha vita anakuwa hana msimamo wake thabiti wa kuwahurumia raia zake.

Mrusi anapigania usalama wake. Wanambanabana hadi wamtoe roho? Walijaribu kuihadaa Chrchinia, wakakwama, sasa wanatafuta njia za kuendelea kulegeza mrusi kwa wasiwasi wao tu usiokuwa na msingi.

Ni hayo tu mkuu, ngoja nikasome huko juu.
Ufafanuzi mujarabu
 
Hao vijana hawawezi kujua nguvu ya USSR.

1. Ulikuwa muunganiko wenye UZALENDO WA HALI JUU MNO.

2. Hapa ndo palikuwa na ujamaa haswa.

3. Jeshi na Inteligenc ya Russia hawa ndo waliisuka na kuifanya iwe bora kama hivi ilivyo leo.

Vijana wa sasa hawajui kuwa licha ya uzalendo uliotukuka wa USSR, CIA iliipasua hiyo USSR.

Toka ilipopasuliwa mambo yakabadilika mno, viongoz wa juu wa Russia, hasa akina Putin na Medved, wakatengeneza makundi ya kirafiki ambayo ndio yanaendesha Russia.

Haya makundi ni rafiki za Putin na familia zao, yana pesa chafu mno, pesa nyingi sana kupitia resources za Russia. Vijana wa sasa hawaelewi kuwa ule uzalendo ulokuwa USSR haupo tena ndani ya Russia. Ukichukua askar 1,000 wa Russia waliopo Ukraine, ukauliza wangapi hamtaki kupigania Taifa leo ktk hii vita? Naamini hawatapungua vijana 900 wataopinga hii vita.

Wengi mpaka sasa tunaamini kuwa NATO imekosea mno na imejikaanga yenyewe kuhusu uvamizi wa Russia. Vijana hawa wa hovyo hawajui kuwa hakuna shirika bora la Intelligenc ulimwengu kama CIA. Hawa wanajua 40 yearz mbele nini kifanyike kwa Taifa flan endapo lipo against nao. Hawa jamaa walishamsoma Russia muda sana, usifikiri kuwa hawakupiga hesabu cos za kumvamia Russia, walijua wakigomea gas nini kitatokea, kuna kitu wanakitafuta Russia, ni ngumu kukitambua ila upo wakati kitafahamika, wameona proa ni kubwa zaidi ndo maana wakaruhusu Ukraine aingie vitani pia.

Vita ni pesa, vita ni uchumi. Russia mbele ya mabeberu ni wa kawaida mno, nchi ndogo kieneo kama UK, Japan, France, German n.k zimemuacha parefu Mrusi. US usimuweke hapo kiuchumi dhidi ya Russia.
 
Kwanza Shikamoo Join the chain ya CHADEMA inaendeleaje!

Naona CHADEMA mmeshika msimamo kwamba mnasimama na Urusi nauliza Mbona mkitoa mifano ya democracy mnatolea ya USA, na mnaposhambuliwa mnaenda USA si Urusi?
Chadema hawajasimama na urusi kuvamia Ukraine

Mawazo ya mtu binafsi usiyafanye ya chama.

Uko ccm wapo wanaofurahia urusi kuvamia Ukraine na wapo wanaochukia hivyo hawo hawako na chama bali ni maoni yao wenyewe.
 
Kama kweli wewe ndiye Lwaitama basi nina uhakika umeandika haya kwasababu mmeamua kama chama kushabikia mashoga na ushoga mkionhozwa na yule jamaa wa Ubelgiji.

Unapozungumzia uchumi,kwani uchumi utasaidia nini kwenye vita kati ya Urusi na Marekani!? Au unadhani watapigana kama Urusi anavyopigana na Ukraine?

Vita kati ya miamba hao viwili haitakuwa ndefu hadi ihitaji uchumi mkubwa. Wala haitachukua miezi saba kama unavyodhani. Huwenda vikaweka historia mpya ya vita vilivyotumia muda mfupi zaidi duniani. Huenda ikachukua saa kadhaa vita kumalizika na kuacha athari isiyoelezeka. Kuna uwezekano wa nchi kama si dunia kurudi zama za giza. Silaha zitakazotumika nizamaangamizi. Itakuwa nani atawahi kumfikia mwenzake. Na akikuwahi hatakupa nafasi yakujibu wala kutubu. Atakuangamiza.

Huo uchumi haotakusaidia mbele ya silaha hizo za maangamizi.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Hoja dhaifu unazotoa.
JamiiForums1999776609_240x320.jpg
IMG_20211130_182246.jpg
 
Hao vijana hawawezi kujua nguvu ya USSR.

1. Ulikuwa muunganiko wenye UZALENDO WA HALI JUU MNO.

2. Hapa ndo palikuwa na ujamaa haswa.

3. Jeshi na Inteligenc ya Russia hawa ndo waliisuka na kuifanya iwe bora kama hivi ilivyo leo.

Vijana wa sasa hawajui kuwa licha ya uzalendo uliotukuka wa USSR, CIA iliipasua hiyo USSR.

Toka ilipopasuliwa mambo yakabadilika mno, viongoz wa juu wa Russia, hasa akina Putin na Medved, wakatengeneza makundi ya kirafiki ambayo ndio yanaendesha Russia.

Haya makundi ni rafiki za Putin na familia zao, yana pesa chafu mno, pesa nyingi sana kupitia resources za Russia. Vijana wa sasa hawaelewi kuwa ule uzalendo ulokuwa USSR haupo tena ndani ya Russia. Ukichukua askar 1,000 wa Russia waliopo Ukraine, ukauliza wangapi hamtaki kupigania Taifa leo ktk hii vita? Naamini hawatapungua vijana 900 wataopinga hii vita.

Wengi mpaka sasa tunaamini kuwa NATO imekosea mno na imejikaanga yenyewe kuhusu uvamizi wa Russia. Vijana hawa wa hovyo hawajui kuwa hakuna shirika bora la Intelligenc ulimwengu kama CIA. Hawa wanajua 40 yearz mbele nini kifanyike kwa Taifa flan endapo lipo against nao. Hawa jamaa walishamsoma Russia muda sana, usifikiri kuwa hawakupiga hesabu cos za kumvamia Russia, walijua wakigomea gas nini kitatokea, kuna kitu wanakitafuta Russia, ni ngumu kukitambua ila upo wakati kitafahamika, wameona proa ni kubwa zaidi ndo maana wakaruhusu Ukraine aingie vitani pia.

Vita ni pesa, vita ni uchumi. Russia mbele ya mabeberu ni wa kawaida mno, nchi ndogo kieneo kama UK, Japan, France, German n.k zimemuacha parefu Mrusi. US usimuweke hapo kiuchumi dhidi ya Russia.
Hata dunia nzima ikiungana hawaiwezi Marekani. Ana uchumi imara na mkubwa mara kumi zaidi ya Uchina. Anasilaha ambazo hata malaika wanazishangaa. Kuonesha nguvu zake kiushawishi kawashawishi vijana wengi kuwa mashoga na kuamini Marekani hawezekani.
Kwakuwapa msaada wa vilainishi wamegeuka wapiga debe wake. Kwani kitendo wanachokifanya kwa vilainishi hivyo,huwapelekea kupata maambukizi ya Ukimwi. Wasipoiona Marekani kama mungu wao hawtapewa msaada wa ARVs.

Lakini kwa watu wenye akili zilizosalimika na upumbavu huo,wanamuona Marekani ni muharibifu wa ustawi wa dunia. Analeta machukizo ya kila aina. Anaharibu vizazi. Anaeneza mauaji kila mahali. Hakuna vita vinatokea duniani ila atakuwa na mkono wake humo. Huyo ni shetani wakulaaniwa na kila mpenda haki.

Kuwepo kwa nchi nyingine zenye/yenye nguvu kama zake au kumzidi,hapo ndipo dunia itakuwa salama. Ni muhimu kuiombea Russia, China na N.Korea zizidi kuimarika ili kuipusha dunia kugezwa watumwa wa Marekani kama Ulaya ilivyogeuzwa.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Kama kweli wewe ndiye Lwaitama basi nina uhakika umeandika haya kwasababu mmeamua kama chama kushabikia mashoga na ushoga mkionhozwa na yule jamaa wa Ubelgiji.

Unapozungumzia uchumi,kwani uchumi utasaidia nini kwenye vita kati ya Urusi na Marekani!? Au unadhani watapigana kama Urusi anavyopigana na Ukraine?

Vita kati ya miamba hao viwili haitakuwa ndefu hadi ihitaji uchumi mkubwa. Wala haitachukua miezi saba kama unavyodhani. Huwenda vikaweka historia mpya ya vita vilivyotumia muda mfupi zaidi duniani. Huenda ikachukua saa kadhaa vita kumalizika na kuacha athari isiyoelezeka. Kuna uwezekano wa nchi kama si dunia kurudi zama za giza. Silaha zitakazotumika nizamaangamizi. Itakuwa nani atawahi kumfikia mwenzake. Na akikuwahi hatakupa nafasi yakujibu wala kutubu. Atakuangamiza.

Huo uchumi haotakusaidia mbele ya silaha hizo za maangamizi.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Wewe ni mjinga
Kwa nn unampinga mwenzako eti hiyo vita "haitachukua muda mrefu kama unavyo dhani"
Unasema itachuka"saa kadhaa"
Mpumbavu kweli we nan amekupa hiyo guarantee ya kusema hivo??
We ni mtu wa ovyo huna uhakina na unachosema halafu unampinga mwenzako as if upo sahihi asilimia zote

Hayo ni maon ya mtoa mada tena kwa facts zake
Wewe nawe toa maon yako kwa facts zako
Halafu tulia
Hiyo vita ikitokea sisi ndiyo tutarudi kwenye huu uzi nakupima nani alikua na facts zenye ukweli

Next time hata ukianzisha uzi watu wana subscribe kabsaaa maana wanajua wewe ni mtu unaye tema madini vitu venye kueleweka

Mfano@Pascall kuna uzi alileta 2014 akisema mtu fulan atakuwa rais akatoa facts zake,ila alianza kusema ni tetesi tuu

Mtu Kama huyu akileta mada yake hapa siwez acha kumsoma maana najua ndani kuna madini mengi ya kufikirisha

Plz tuheshimu maon ya mtu sio kuanza kusema oooh ushoga mara hivi.......,!!!!!!
Achen utoto
 
Kama kweli wewe ndiye Lwaitama basi nina uhakika umeandika haya kwasababu mmeamua kama chama kushabikia mashoga na ushoga mkionhozwa na yule jamaa wa Ubelgiji.

Unapozungumzia uchumi,kwani uchumi utasaidia nini kwenye vita kati ya Urusi na Marekani!? Au unadhani watapigana kama Urusi anavyopigana na Ukraine?

Vita kati ya miamba hao viwili haitakuwa ndefu hadi ihitaji uchumi mkubwa. Wala haitachukua miezi saba kama unavyodhani. Huwenda vikaweka historia mpya ya vita vilivyotumia muda mfupi zaidi duniani. Huenda ikachukua saa kadhaa vita kumalizika na kuacha athari isiyoelezeka. Kuna uwezekano wa nchi kama si dunia kurudi zama za giza. Silaha zitakazotumika nizamaangamizi. Itakuwa nani atawahi kumfikia mwenzake. Na akikuwahi hatakupa nafasi yakujibu wala kutubu. Atakuangamiza.

Huo uchumi haotakusaidia mbele ya silaha hizo za maangamizi.

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
Hahahahah ni kama ngumi tu yani atakaemuwahi mwenzie akashambulia vikali lazma ashinde pambano.

Haijalishi maumbo yenu mmoja akiwa mjanja akaamua kupiga pressure points tu jua lazma life jitu.

Vita ya US na Russia itategemea mashambulizi yatakayowahi kumfikia mwenzie. Ikiwa Russia ana silaha za kumfikia US within several minutes akashambulia kambi za kijeshi mapema jua impact itakuwa kubwa na ya mapema. US anaweza futika kwenye ramani.

Advantage aliyo nayo USA ni kuwa ana washirika wanaweza msapoti kumuangamiza Russia ila kimsingi lazma nao watachezea Satan za kutosha.
 
Wewe ni mjinga
Kwa nn unampinga mwenzako eti hiyo vita "haitachukua muda mrefu kama unavyo dhani"
Unasema itachuka"saa kadhaa"
Mpumbavu kweli we nan amekupa hiyo guarantee ya kusema hivo??
We ni mtu wa ovyo huna uhakina na unachosema halafu unampinga mwenzako as if upo sahihi asilimia zote

Hayo ni maon ya mtoa mada tena kwa facts zake
Wewe nawe toa maon yako kwa facts zako
Halafu tulia
Hiyo vita ikitokea sisi ndiyo tutarudi kwenye huu uzi nakupima nani alikua na facts zenye ukweli

Next time hata ukianzisha uzi watu wana subscribe kabsaaa maana wanajua wewe ni mtu unaye tema madini vitu venye kueleweka

Mfano@Pascall kuna uzi alileta 2014 akisema mtu fulan atakuwa rais akatoa facts zake,ila alianza kusema ni tetesi tuu

Mtu Kama huyu akileta mada yake hapa siwez acha kumsoma maana najua ndani kuna madini mengi ya kufikirisha

Plz tuheshimu maon ya mtu sio kuanza kusema oooh ushoga mara hivi.......,!!!!!!
Achen utoto
Msamehe bure, hao ndo mleta mada anawaita vijana wa sasa, vijana wa hovyo, wanapiga domo khs Russia, ukiwauliza hata kuhusu USSR hawatakueleza ilikuwa ni nini na ikafa vipi.
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr lwaitama
Sioni ch maana ulichoandika hapa... Marekani anawakusanya misukule yake anatoa vikwazo baada ya muda ndio anapigana. Kama yeye yupo kama unavyosema watoe vikwazo halafu apigane mwenyewe na Russia. Muda mwingine angalieni kila angle mnapotoa sifa.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr lwaitama
sio kweli kuwa jf members wanadai may be Russia au USA kuna atakayeshinda mwenzie.....
USSR kama ambavyo kila mtu anakiri wazi kuwa lilikuwa taifa kubwa, na kusambaratika kwake zinaonekana kila dalili kuwa nguvu zile asilimia kubwa ziko restored asilimia kubwa na RUSSIA,,,
Albert Einstein "I don't know what the third world war will fought, but i know the fouth world war will fought with stones and stick " kwa kauli hii nadhani alimaanisha kama vita ya tatu itatokea basi huenda hakuna maisha baada ya hapo ambapo itabidi dunia iishie hapo na viumbe wapya waje kutokea huko mbelen alafu waanze maisha upya na technology mpya ambayo itaanza na viboko na mawe.......
nataka kusema aliyesema marekan ni ya kwanza kijeshi ni marekani na aliyesema Russia ya pili ni USA, China ya tatu ni USA, India, Israel etc....
kwa kuhitimisha vita ya tatu hakuna, na ikitokea hakuna maisha baada ya hapo,

USA and Russia wote wanadhan za maangamizi zaidi ya tujuavyo hapa jukwan, Ukraine sio kipimo sahihi ya silaha zitakazotumika kama ww3 itatokea
 
Nimepitia mijadala kadhaa ya vijana mbali mbali nimeona Tatizo ama lipo katika syllabus tunayotumia kuwafundishia masuala ya kidipomasia ya mataifa mbali mbali ,vijana wengi sana hawana ufahamu Kabisa , vita wanaijadili kama Mpira kwamba yeyote anaweza kupigwa, Vita inajadiliwa kama hadithi za abunuasi , vita imejadiliwa Kwa mzaha sana , watu wanakurupuka tu humu,kwanza nataka mjue Urusi iko vizuri sana kijeshi tena kwenye rank za kidunia yupo namba mbili nyuma ya Marekani , lakini leo hii akiingia vitani hata na China ambaye yuko namba tatu atapigwa kwasababu ya uchumi wake mdogo, vita ni bajet yako kijeshi unavyo wekeza kwenye technology ya silaha na udadisi (intelligence). Na Muda katika kupigana vita ya mataifa makubwa hauwi week moja Au mbili ni miezi zaidi ya minne mpaka saba! Hapa lazima uwe vizuri kiuchumi ili uweze kuendesha mambo yote mawili Kwa wakati mmoja , Yaan vita iendelee huku shughuli zako za kiuchumi zisikwame!

Vijana tumekosa kujisomea maandiko mbali mbali na kudadis kupitia makala na scientific research mbali mbali .

Kuna comments moja niliiona sehemu kijana anasema eti alisema ''China itategea kipindi ambacho US ametingwa na uvamizi fulani wa nchi kubwa nyingine, alafu yeye ndo atatumia muda huo kuivamia Taiwan na ataichukua kwasababu kwasasa China yupo mbali sana kijeshi''
Nilimuelewesha mambo mengi sana akaonekana kukubaliana namimi,

Hata hapa JamiiForums sikuwa Mwanachama Nina miezi Kama minne ninejiunga ila napitia masuala kadhaa ya wachambuzi wa siasa zetu Kama kijana Au Mdogo wangu Pascal Mayalla ana makala nyingi sana hapa JamiiForums Kama wangekuwa wanawalipa wana makala basi angepata namba kuna wengine Kama Kiranga Kalamu1 Mag3 sijaona wakichambua masuala haya ya kimataifa na ningetegemea kuona mtizamo wao katika haya

Basi nawaambia kwamba

Watu wanaibeza sana US katika nyanja za vita, US hawana gwaride kuonyesha vifaa vyao ila vita vikianza utaona mengi ambayo macho hayajawahi kuona... Au Kama inafanyika inafanyika katika namna ambayo ni Siri sana !

Pia hatupaswi kuipuuza Urusi katika nyanja za kijeshi, lakini ni upuuzi kudhani Urusi inaweza mess up na Washington na Moscow ikabaki kama ilivyo... tunakosea sana! Hakuna Muungano ulikuwa unatisha kama USSR wadogo ninyi wengi humu !
Hakuna Taifa lilikuwa linatisha Kama Iraq ya Sadam Hussein! Au UMOJA wa waarabu chini ya Sadath wa Misiri. Lakin walikwama sehemu moja tu intelligence na uchumi…

Us kwa uchumi wake na teknolojia lazima Urusi itakuwa katika hali ngumu Kwa Urusi kusema iingie vitani nayo ibaki salama!!

Hata Asia ina safari ndefu kujifunza kutoka America na Ulaya kuanzia military technology,


Nitaendelea kwanini tunapaswa Kukataa vita! Maana nilivyoandika hapa kuna watakaosema natetea maovu Au vamizi za US kwingine Hapana nakemea sana kama nilivyokemea Afghanistan, LIBYA na sasa Nakemea Uvamizi wa Urusi Kwa Ukraine!!


Mimi Dr lwaitama
Ugoro mtupu Pro Us
Huna Lolote
 
Sasa mbona wewe ndio kishoiya kabisa? Yani bora ukae kimya usubirie mwisho itakuwaje kuliko ulichokiandika😂
 
Hao vijana hawawezi kujua nguvu ya USSR.

1. Ulikuwa muunganiko wenye UZALENDO WA HALI JUU MNO.

2. Hapa ndo palikuwa na ujamaa haswa.

3. Jeshi na Inteligenc ya Russia hawa ndo waliisuka na kuifanya iwe bora kama hivi ilivyo leo.

Vijana wa sasa hawajui kuwa licha ya uzalendo uliotukuka wa USSR, CIA iliipasua hiyo USSR.

Toka ilipopasuliwa mambo yakabadilika mno, viongoz wa juu wa Russia, hasa akina Putin na Medved, wakatengeneza makundi ya kirafiki ambayo ndio yanaendesha Russia.

Haya makundi ni rafiki za Putin na familia zao, yana pesa chafu mno, pesa nyingi sana kupitia resources za Russia. Vijana wa sasa hawaelewi kuwa ule uzalendo ulokuwa USSR haupo tena ndani ya Russia. Ukichukua askar 1,000 wa Russia waliopo Ukraine, ukauliza wangapi hamtaki kupigania Taifa leo ktk hii vita? Naamini hawatapungua vijana 900 wataopinga hii vita.

Wengi mpaka sasa tunaamini kuwa NATO imekosea mno na imejikaanga yenyewe kuhusu uvamizi wa Russia. Vijana hawa wa hovyo hawajui kuwa hakuna shirika bora la Intelligenc ulimwengu kama CIA. Hawa wanajua 40 yearz mbele nini kifanyike kwa Taifa flan endapo lipo against nao. Hawa jamaa walishamsoma Russia muda sana, usifikiri kuwa hawakupiga hesabu cos za kumvamia Russia, walijua wakigomea gas nini kitatokea, kuna kitu wanakitafuta Russia, ni ngumu kukitambua ila upo wakati kitafahamika, wameona proa ni kubwa zaidi ndo maana wakaruhusu Ukraine aingie vitani pia.

Vita ni pesa, vita ni uchumi. Russia mbele ya mabeberu ni wa kawaida mno, nchi ndogo kieneo kama UK, Japan, France, German n.k zimemuacha parefu Mrusi. US usimuweke hapo kiuchumi dhidi ya Russia.
Umefafanua vema sana juu ya haya mambo aisee
 
EeEEeeenHeeee, imenibidi nicheke kidogo mkuu wangu, lwaitama1; mbona nawe sasa unayafanya haya mambo yawe kama ya Yanga na Simba?
Kwa hali ya sasa, vita ikitokea, hakuna wa kusema atabaki salama amesimama juu ya mwingine. Hili unalijuwa na hata wao wakubwa wenyewe wanalijua. Ndiyo maana ya 'deterance', ambayo imekuwepo miaka yote, na wala haitakoma leo. Wewe unadhani hao wakubwa wameshindwa nini kuingilia harakaharaka na kumkomesha mrusi; ila badala yake wanamtumia waliyemfanya chambo chao kumchokoza mrusi.

Hii vita haiwezi kupiganwa miezi hiyo uliyoitaja, ingawa kiukweli wanachofanya sasa ni mbinu za kuifanya urusi iendelee kuwa vitani kwa muda huo hapo hapo kwa kibaraka wao, huku wakimchochea na silaha, na watu wake wakiendelea kupata shida.
Nikubaliane nawe, mbinu hii, ndiyo hasa unayoyasema hapo juu. Kumdhoofisha mrusi kiuchumi. Si uliona walivyokimbilia kwenye kuweka vikwazo vyya uchumi, wewe unadhani hili walikuwa hawwajalifikiria toka mwanzo?
Lakini, pamoja na vikwazo hivi, wewe unadhani wao pia hawatatetereka. Unadhani dunia haitaanza kujiuliza kwa nini mfumo wa biashara uhodhiwe na nchi moja au kundi la nchi? Unadhani huu hautakuwa mwanzo wa kuuliza maswali juu ya mfumo huu?

Huyu gwaride lake hulijui lilipo? Hukuona jinsi Saddam alivyocharazwa, huku maTV nyumbani yakishuhudia kama sinema fulani hivi?

Usije ukashangaa bomu la nuklia likadondoshwa hata hapo Ukraine, kama mrusi ataona kwamba anacheleweshwa shughuli zake nyingine. Haya mambo tuwe waangalifu sana nayo.

Nimalizie hapa kwa kukueleza kwamba nchi yoyote yenye silaha (makombora ya masafa marefu yanayoweza kubeba nuclear warheads yanayoweza kuifikia Marekani yenyewe, nchi hiyo haichezewi. Ndiyo maana hata ki-inchi kama Korea ya Kaskazini sasa kinaanza kuwa kigumu kukiamrisha.
Siasa za huko, na hasa wananchi wao wanapojuwa kwamba vita ikianza hata wao itawaathiri moja kwa moja, na siyo ile ya kuangalia tu kwenye luninga kama matamasha vile, hilo linatia hofu zaidi kuliko nchi kama Libya ambayo hakuna mwananchi yeyote anayehofia kudhurika moja kwa moja.
Upo vizuri,,,hawajui Urusi kiundani mnabishana nao tuu kisa bando la Mia tano
Mbaya zaidi hii vita na Ukraine imewaibua walikokua hawailewi vizuri.
Mwisho wajiulize kwa nini USA alipoingia Venezuela na Syria, Urusi bila kupepesa macho akamfata USA hukohuko na kuharibu mipango yake na USA akawa mpole tu.
 
Wewe ni mjinga
Kwa nn unampinga mwenzako eti hiyo vita "haitachukua muda mrefu kama unavyo dhani"
Unasema itachuka"saa kadhaa"
Mpumbavu kweli we nan amekupa hiyo guarantee ya kusema hivo??
We ni mtu wa ovyo huna uhakina na unachosema halafu unampinga mwenzako as if upo sahihi asilimia zote

Hayo ni maon ya mtoa mada tena kwa facts zake
Wewe nawe toa maon yako kwa facts zako
Halafu tulia
Hiyo vita ikitokea sisi ndiyo tutarudi kwenye huu uzi nakupima nani alikua na facts zenye ukweli

Next time hata ukianzisha uzi watu wana subscribe kabsaaa maana wanajua wewe ni mtu unaye tema madini vitu venye kueleweka

Mfano@Pascall kuna uzi alileta 2014 akisema mtu fulan atakuwa rais akatoa facts zake,ila alianza kusema ni tetesi tuu

Mtu Kama huyu akileta mada yake hapa siwez acha kumsoma maana najua ndani kuna madini mengi ya kufikirisha

Plz tuheshimu maon ya mtu sio kuanza kusema oooh ushoga mara hivi.......,!!!!!!
Achen utoto
Mtoto wewe uliezaliwa chooni baada ya mimba kutungwa mtaroni.
Kama we unalalamika mimi kumkosoa huyo kisa ni maoni yake,we umetoa wapi haki ya kunikashfu kisa kutoa mtizamo wangu!!?

Najua we ni mfuasi na mnufaika wa ushoga ila hupendi kujulikana wala kazi yako kudharauliwa. Usijali sitaigusa tena

Sent from my SM-G5500 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom