Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

Wako wataalamu wa muandiko. Watapitia maandishi yako na kuoanisha na yanayotajwa kuwa yako. Hapa huwezi dangaya hata kidogo. Bahati mbaya muandiko hata uigize namna gani ni ngumu kubadilisha everything.
Kumbuka assignment na test zote unarudishiwa mtiani isipokuwa mtiani wa mwsho unabaki kule

Na hapa walifanyiana quiz sijui test ooh mm Kama mzazi wao nawafukuza omu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ni ngumu kudhibitisha,un less chuo wa vidéo za CCTV. Halafu hao mapacha si wapumbavu,watajibu si kweli na walikuwa wanapamba content tu ili kuvuta hisia za watu.
Kuvuta hisia za watu kwenye chombo cha habari tena ukihusisha taasisi ya elimu kwa udanganyifu.labda maana afrika kwa hizi nchi nyeusi kila kitu kinawezekana.
 
Kesi ipo,na ushahidi utapatikana tu,kwa sababu wataenda kuangalia mitihani waliyofanya,kwa sababu huwa inahifadhiwa,then wanaweza kulinganisha miandiko
Chuo gani hicho hutunza karatasi za mitihani baada ya kuwapatia watahiniwa?
 
Hamna kesi hapo Babalevo kuna kitu kakiongea hapo mwishoni listen carefully
 
Back
Top Bottom