Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

content kwa kuharibu reputation ya chuo kwa cheating?
hiyo DR mangungo au.?kichwani umejaza kamasi.
Kamasi zimeingiaje hapo..
Vijana wa siku hizi mnakosa Kabisa Uwezo wa kujenga hoja..
Umesoma nilichoandika?

Nilichozungumza ni Kama wao wakihojiwa na wakajibu hivyo kuna mtu Wa kuwashitaki?
Chuo kimeguswa wapi kwa kauli yao hiyo?
Je kuna mahali walikashfu chuo?

Wakati mwingine mjifunze kujenga hoja Sio mnaropoka tu kwa kuwa mna uwezo wa kuropoka..

Yule mwenzenu SUKUNUNU kumbe ni Kinyozi halafu anatukana Viongozi..

Unakuta hata wewe maskini Ya Mungu..Unakaa kwa shemeji yako..Na unalala Sebuleni au ni mwalimu wa Shule ya Kindergarten halFu unaniambia Nimejaza kamasi..?

Shame on you! Na ujifunze kujenga hoja bila matusi! matusi sio hoja
 
Examination office nyingi huwa zimakaa na booklets kwa miaka mitano nadhani sheria ndio inasema hivo
Aah basi hii nilikua sifahamu.
Lakini kwa vyuo vikubwa vyenye wanafunzi 10k+ sidhani kama ni possible kutunza booklets za wanafunzi wote kwa miaka yote hio + kuna mafile ya wanafunzi na staff.
 
Nilisema huku mda mwingine mdomo huponza kichwa ona sasa inawaletea shida.Kusema maneno yale public ni kuutangazia umma kuwa chuo husika hawapo makini katika kusimamia mtihani,unakipa chuo sifa mbaya.
 
Hivi unakiri vipi kwenye kweye TV inayotazamwa na watu wengi hivyo jambo linaloweza kukuingiza matatani? Haya sasa mambo yameharibika!


Chuo Kikuu Ardhi kimepata taarifa kupitia Wasafi FM, chaneli ya YouTube ya mahojiano kati ya waandishi wa habari na mapacha wawili wanaofanana. Mahojiano hayo yalirushwa siku ya Jumatano, tarehe 6 Machi, 2024 kwenye kipindi cha Jana na Leo.

Kwenye mahojiano hayo, mapacha hao walisikika kupitia chombo hicho cha habari kuwa walisoma “Chuo cha Ardhi” na kufanya mtihani wa Hydrolojia. Katika mtihani huo, mmoja wa mapacha hao alikiri kumfanyia pacha mwenzake mtihani wa marudio (supplementary) kwa kutumia kitambulisho cha pacha mwingine.

Chuo Kikuu Ardhi tunchunguza ukweli wa taarifa hizo na baada ya uchunguzi kukamilika, umma utajulishwa matokeo ya uchunguzi huo

Imetolewa na:
Prof. Evaristo Liwa
Makamu Mkuu – Chuo Kikuu Ardhi
7 Machi, 2024

View attachment 2927199

Pia soma: Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani
Uchunguzi utafanyika na itathibitika sio kweli na wahusika wataomba radhi kulinda image ya chuo
 
Huwa nasema kila mara, Tanzania ina asilimia kubwa ya watu wapumbavu...

Kwa aliyesikiliza hivyo vitoto vikihojiwa atakubaliana nami, maaana biliongea pia jinsi vinavyowachanganya wanaume n.k

Yaani ukivisikiliza vitu wanaongea, unaona kabisa kichwani kuna kama 1% tu ya intelligence l

ambayo inawasaidia labda kwenye kuvaa, kula, kuvuka barabara na vitu kama hivyo...
 
Back
Top Bottom