Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
content kwa kuharibu reputation ya chuo kwa cheating?Sio rahisi kama unavyofikiri Kuthibitisha hicho kitu tena kwa Maneno yanayoongewa na watu wanaotafuta contents..
Akisema kuwa tulilipwa kutafuta contents
Yaan chuo kiwahukumu vp mzee kwani nao wakienda mahakamani baada ya chuo kuwahukumu kama ulivyosemaWanahukumiwa na chuo sio mahakama.
Kuna hizo booklet pia kuna sahihi
Wathibitishe nini tena wakati kuna admission, mea culpa.....Labda wajiridhishe ni kweli walikua wanafunzi wao then wa act accordingly tena suo motto.Mbwembwe tu hizi kuwapoza wananchi lakini hizo degree wataendelea kuwa nazo.
Unafikiri wataweza kuthibitisha kama kweli?..
Mfano hao mabinti wakisema walikuwa wanafurahisha baraza..?
Subiri uone.
Chuo ndio kimewapa degree na kinauwezo wa kuiitisha, sawa na kamati ya maadili iliyo mfungia fatma karume, sawa na mayala alivyo pigwa biti na bunge utaratibu wa rufaa sijui kama mahakama inaingia.Yaan chuo kiwahukumu vp mzee kwani nao wakienda mahakamani baada ya chuo kuwahukumu kama ulivyosema
wakifungua tu midomo unaona wanatema chenga sema wamepata nafasi ya kusoma.Unaweza kukuta elimu hii hii tunayoidharau ndiyo hawa mapacha wameitumia vizuri na kuona loopholes za kisheria na kisha kucheza na akili za watu ili kutrend na hatimaye kufikia lengo lao wanalolijua wenyewe. Sidhani kwamba wameongea hivyo bila kujua legal implication na pia repercussion yake kwa ujumla kwenye jamii na mstakabali mzima wa maisha yao.
Hamna lolote mkuu, kwenye mwandiko napo pia ushahidi wa moja kwa moja haupoYeah uzuri mitihani inahifadhiwaga hapo wakikagua vitu kama mwandiko n.k wanaweza ku-decode
dogo hujui mambo ya kisheria kaa kimya.Ni ngumu sana,kwani mwandiko mtu si anaweza badili .Any kisheria ni haiwezekani kudhibitisha,labda kama msimamizi siku ya mtihani angeshtuka na kumkamata huyo Kulwa/Dotto. Otherwise hakuna case.
hao wamemaliza 2021.Juzi hapo tuUnajua Handwritting forensic, Pamoja na fingerprint zinagharimu Kiasi gani?
NA booklets zinaharibiwa kwa miaka 10 ,Umejua lini walimaliza?
Je Chuo Kinaweza kujitosa kwa gharama ya kuchunguza Kitu kilichokwisha pata
Unajua neno "ushahidi usiotia shaka"😅😅Chuo ndio kimewapa degree na kinauwezo wa kuiitisha, sawa na kamati ya maadili iliyo mfungia fatma karume, sawa na mayala alivyo pigwa biti na bunge utaratibu wa rufaa sijui kama mahakama inaingia.
Hata hivyo kuna sahihi, miandiko na huo hicho walichokiri
Mbn sahihi (signature)inatatumikaga kama justification? Wakiamua kulivalia njuga naona kitu hapoHamna lolote mkuu, kwenye mwandiko napo pia ushahidi wa moja kwa moja haupo
Labda lakini kama ni familia hoe hae hao wanaenda na maji, itokee bahati siku hiyo mwandiko usifanane na siku zote, siku hiyo hiyo na sahihi attendance ya mtihani isifanane na siku zote, bado ukili kwa kinywa chako.Hamna lolote mkuu, kwenye mwandiko napo pia ushahidi wa moja kwa moja haupo
na ndo maama hata wao "chuo cha Ardhi" wamegundua kuonyesha huo mtego wanaujua,ndo' maana wakaweka " & ".Hizo bachelor walizosema hazitolewi chuo chochote cha kati.They can retract. Watasema they were not under oath. Walikuwa wanaongea utani tu. Kwanza chuo cha ardhi walichokitaja, hawakuspecify ARU. Inawezekana ni vyuo vya ardhi vya kati.
wametaja "chuo cha Ardhi" kasikilize tena utakuwa na matatizo ya kusikia.Hawakutaja chuo chochote.Ni watu viherehere vyao tu.
Kama kwenye hiyo video wamevaa hijabu basi samia lazima hatafanya hivyo ....mimi hiyo video sijatazamaUtasikia mama sa100 aingilia kati wasamehewa..
kutafuta umaarufu kwa kuchafua taasisi ya Umma?Kichwani humo kuna ubongo au kamasi?Hao wanaweza kukataa tu kirahisi kwamba walikuwa wameongopa kutafuta umaarufu.
Ila hawana akili na wasafi FM pia hawana mhariri wa vipindi ni uhuni na utoto tu.
Ona Sasa wanaenda kuwaharibia maisha hao wajinga. Wawape Akira hapo wasafi wakifutiwa degree zao.
Huo ushahidi usio tia shaka unahusika na kwenye examination office inayoenda kuamua!? Au unafikiri ni mahakama inaenda kuamua.Unajua neno "ushahidi usiotia shaka"😅😅