Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miandiko haiwezi fanana......Any way miandiko yao inafanana basi.
Chuo gani kina wanafunzi 10k?Mkuu chuo kina wanafunzi 10k, kila mwaka wanafanya UE mara 2.. wana storage gani ya kutunza hizo karatasi za miaka yote hii. Hapo kuna mafile ya wanafunzi na ya staff ya chuo..
Sidhani kama ni possible kutunza vyote hivyo
Vyuo vyetu kama UDSM vingekuwa na nia ya kulinda heshima yao wangeanza kwa kuiweka tu maktaba ile thesis ya the late mheshimiwa na ya yule aliyedaiwa kuwa the late alinakiri kutoka kwake. That could be a good start.Hii ni ishu ya kitaaluma uamuzi wa Chuo unaweza ukachafua Ama kuathiri chuo na sio hao graduate peke yake..
So chuo sio wajinga kutoa barua mapema hivyo..
Na hata uamuzi wa chuo wowote utaathiri baraza la kitaaluma na hata Baraza la senate la chuo hicho so lazma jibu lije baada ya kukaa na walengwa ili kutokuchafua taswira ya Chuo
Na vingepunguza PhD za Honorary maana ndo zinazowashusha hadhi wala Sio Supplimentary ya Wadada wa watuVyuo vyetu kama UDSM vingekuwa na nia ya kulinda heshima yao wangeanza kwa kuiweka tu maktaba ile thesis ya the late mheshimiwa na ya yule aliyedaiwa kuwa the late alinakiri kutoka kwake. That could be a good start.
Tunakwenda soma shule,vyuo ili kufuta ujinga na siyo kuja ajiriwa ndiyo msingi wa elimu kufuta ujinga. Ndiyo maana aliyesoma akifanya jambo la ajabu utasikia unakuwa kama hujasoma tofauti na ambaye hajaenda shule yeye akifanya maendeleo atasifiwa kuwa pamoja na hujaenda shule hongera umejitahidi.Hivi unakiri vipi kwenye kweye TV inayotazamwa na watu wengi hivyo jambo linaloweza kukuingiza matatani? Haya sasa mambo yameharibika!
Chuo Kikuu Ardhi kimepata taarifa kupitia Wasafi FM, chaneli ya YouTube ya mahojiano kati ya waandishi wa habari na mapacha wawili wanaofanana. Mahojiano hayo yalirushwa siku ya Jumatano, tarehe 6 Machi, 2024 kwenye kipindi cha Jana na Leo.
Kwenye mahojiano hayo, mapacha hao walisikika kupitia chombo hicho cha habari kuwa walisoma “Chuo cha Ardhi” na kufanya mtihani wa Hydrolojia. Katika mtihani huo, mmoja wa mapacha hao alikiri kumfanyia pacha mwenzake mtihani wa marudio (supplementary) kwa kutumia kitambulisho cha pacha mwingine.
Chuo Kikuu Ardhi tunchunguza ukweli wa taarifa hizo na baada ya uchunguzi kukamilika, umma utajulishwa matokeo ya uchunguzi huo
Imetolewa na:
Prof. Evaristo Liwa
Makamu Mkuu – Chuo Kikuu Ardhi
7 Machi, 2024
View attachment 2927199
Pia soma: Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani
Sio rahisi kiasi hicho, maneno tu ya mtu tena kwenye vyombo vya habari haiwezi kuwatia hatiani. Chombo chenyewe cha mzahamzaha.Wala hakuna kesi hapo, na chuo hakitakiwi kuthibitisha jambo lolote, wahusika wameshakiri wenyewe, kinachofuatia hapo ni kuwafutia hayo matokeo yao.
Ujinga unaenda kuwaharibia future hao watoto, kama matokeo yakifutwa maana yake hata vyeti walivyopewa kwa kufaulu masomo havitakuwa valid tena, na kwasababu hiyo, hata kazini kama walipata kazi kwa qualification zao, wataenda kupoteza ajira zao/yao.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mbona wengi wanafaulu sup. Labda waanngalie miandiko na kuigananisha kama hiyo mitihani bado imehifadhiwa. Ila sio rahisi linaweza likapita kama mengine. Huujui nji hii wewe.Kuna kuunganisha dots, kama kweli mmoja alipata supplementary kwenye mtihani tajwa na alipifanya akafaulu, huu nao ni ushahidi tosha dhidi ya kesi yao.
[emoji16][emoji16]Kama kwenye hiyo video wamevaa hijabu basi samia lazima hatafanya hivyo ....mimi hiyo video sijatazama
Wako wataalamu wa muandiko. Watapitia maandishi yako na kuoanisha na yanayotajwa kuwa yako. Hapa huwezi dangaya hata kidogo. Bahati mbaya muandiko hata uigize namna gani ni ngumu kubadilisha everything.Ni ngumu sana,kwani mwandiko mtu si anaweza badili .Any kisheria ni haiwezekani kudhibitisha,labda kama msimamizi siku ya mtihani angeshtuka na kumkamata huyo Kulwa/Dotto. Otherwise hakuna case.
Furaha ya kushabikiwa kwa muda mfupi kwenye runinga itawaharibia reputation maisha yao yoteHivi unakiri vipi kwenye kweye TV inayotazamwa na watu wengi hivyo jambo linaloweza kukuingiza matatani? Haya sasa mambo yameharibika!
Chuo Kikuu Ardhi kimepata taarifa kupitia Wasafi FM, chaneli ya YouTube ya mahojiano kati ya waandishi wa habari na mapacha wawili wanaofanana. Mahojiano hayo yalirushwa siku ya Jumatano, tarehe 6 Machi, 2024 kwenye kipindi cha Jana na Leo.
Kwenye mahojiano hayo, mapacha hao walisikika kupitia chombo hicho cha habari kuwa walisoma “Chuo cha Ardhi” na kufanya mtihani wa Hydrolojia. Katika mtihani huo, mmoja wa mapacha hao alikiri kumfanyia pacha mwenzake mtihani wa marudio (supplementary) kwa kutumia kitambulisho cha pacha mwingine.
Chuo Kikuu Ardhi tunchunguza ukweli wa taarifa hizo na baada ya uchunguzi kukamilika, umma utajulishwa matokeo ya uchunguzi huo
Imetolewa na:
Prof. Evaristo Liwa
Makamu Mkuu – Chuo Kikuu Ardhi
7 Machi, 2024
View attachment 2927199
Pia soma: Chuo cha Ardhi kinapaswa kuchukua hatua dhidi ya mabinti mapacha waliokiri kufanyiana mitihani
Basi wakifukuzwa Kaz na kupokonjwa degree wataenda kuuza nguo ,za baba YaoWatoto wa Peter fashion dodoma...
Ma model wa nguo zao wanazouza..