Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

Another bitter proof kuwa asilimia kubwa ya warembo wana mkaa kichwani badala ya akili
 
Hii ndio maana halisi kwamba elimu ya chuo kikuu haiwasaidii vijana wa kitanzania hawana uwezo wa kuona hatari mtu kama huyu anaweza kutunza siri za nchi kweli!?

Ushuzi wa bata kabisa hawa
Unaweza kukuta elimu hii hii tunayoidharau ndiyo hawa mapacha wameitumia vizuri na kuona loopholes za kisheria na kisha kucheza na akili za watu ili kutrend na hatimaye kufikia lengo lao wanalolijua wenyewe. Sidhani kwamba wameongea hivyo bila kujua legal implication na pia repercussion yake kwa ujumla kwenye jamii na mstakabali mzima wa maisha yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…