ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ni wapumbavuHivi unakiri vipi kwenye kweye TV inayotazamwa na watu wengi hivyo jambo linaloweza kukuingiza matatani? Haya sasa mambo yameharibika...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni wapumbavuHivi unakiri vipi kwenye kweye TV inayotazamwa na watu wengi hivyo jambo linaloweza kukuingiza matatani? Haya sasa mambo yameharibika...
Unajua Handwritting forensic, Pamoja na fingerprint zinagharimu Kiasi gani?Mkuu booklets huwa haziharibiwi haraka hivyo. Huifadhiwa. Zitatafuta zitachunguzwa.
Chuo gani kinahifadhi mitihani ya toka 2020.Kesi ipo,na ushahidi utapatikana tu,kwa sababu wataenda kuangalia mitihani waliyofanya,kwa sababu huwa inahifadhiwa,then wanaweza kulinganisha miandiko
HakikaWatakapohojiwa wanaweza kusema walitania tu kwa kuwa radio yenyewe ni ya udaku
🤣🤣🤣🤣Babalevoo Mipua ana akili kumbeBaba Levo alishtuka kwamba hawa wameshachemka, ila wao mpaka wanamaliza kipindi hawajashtuka! Ina maana Baba Levo ana akili kuliko hao wadada 😀
Sio rahisi kama unavyofikiri Kuthibitisha hicho kitu tena kwa Maneno yanayoongewa na watu wanaotafuta contents..
Akisema kuwa tulilipwa kutafuta contents
Utani kwenye ishu serious kama elimu ya chuo kikuu?Kama wana akili watumie chombo husika Kwa kusema ule ulikua utani na udaku ili wauze habari !
Inaweza wasaidia kuliko kukaa kimya kizembe!!
Waende haraka wasafi tv waseme ulikua utani kunogesha kipindi!!
Kutaka umaarufu kunuka kwenye mitandaoSifa za kijanga zimewaponza.
Kinathibitisha kwa nani?Chuo kuthibitisha aje? Wawe na mwanasheria tu hapo, kesi ngumu hasa kwa nchi isiyothamini ukweli.
Hapo cha kufanya wajiunge na steve nyerere kwenye kundi la Mama ongea na mwanao😂😂😂😂Mapacha wazuri, warembo na wanajitambua I bet watainuliwa kupitia kwenye siasa
Sasa hivi wazazi wao presha juuKutaka umaarufu kunuka kwenye mitandao
Wamekalia kuti KavuThis will never happen, watajibu walidanganya ili kuvuta hisia za watu
Video ndio kithibitisho, sio tetesi kwani anayeongea ni muhusikaChuo kitawezaje kuthibitisha hili?