Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

Mapacha waliokiri kufanyiana mtihani chuo matatani, Chuo cha Ardhi wasema wanachunguza suala hilo

Ni ngumu sana,kwani mwandiko mtu si anaweza badili .Any kisheria ni haiwezekani kudhibitisha,labda kama msimamizi siku ya mtihani angeshtuka na kumkamata huyo Kulwa/Dotto. Otherwise hakuna case.
Hii sasa kamba, yaani mwandiko ubadilike ufanane na wako??

Wakiwakomalia kesi kwa hiko chuo chao wanayo, vyuo kadhaa nilivyoona huwa wana utaratibu kama wa kimahakama.
Mwanafunzi unakua na mtetezi na jopo la wakufunzi na wasimamizi wa hiko chuo wako hapo, mashahidi nk.
Utatuhumiwa na utapewa nafasi ya kujitetea ila mara nyingi maamuzi yanakua yashafanywa kabla, inakuaga ngumu kupindua chuo wakikukazia.

Ila wana nafasi kubwa ya kushinda japo ni kitu kitawapotezea muda kijinga.
 
Hand writing itawaumbua kweupe.
Ni mara chache wanafanana mpaka hand writing.

Kama karatasi zao za mitihani bado zipo watapokonywa degree zao peupe. Ikiwa karatasi zile za mitihani zimeshateketezwa watapona.
Zile huwa zinatunzwa kwa miaka ya kutosha tu (sikumbuki ni mingapi), kuwakamata ni rahisi sana labda chuo kipotezee tu.
 
Wala hakuna kesi hapo, na chuo hakitakiwi kuthibitisha jambo lolote, wahusika wameshakiri wenyewe, kinachofuatia hapo ni kuwafutia hayo matokeo yao.

Ujinga unaenda kuwaharibia future hao watoto, kama matokeo yakifutwa maana yake hata vyeti walivyopewa kwa kufaulu masomo havitakuwa valid tena, na kwasababu hiyo, hata kazini kama walipata kazi kwa qualification zao, wataenda kupoteza ajira zao/yao.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
They can retract. Watasema they were not under oath. Walikuwa wanaongea utani tu. Kwanza chuo cha ardhi walichokitaja, hawakuspecify ARU. Inawezekana ni vyuo vya ardhi vya kati.
 
Unajua Handwritting forensic, Pamoja na fingerprint zinagharimu Kiasi gani?

NA booklets zinaharibiwa kwa miaka 10 ,Umejua lini walimaliza?

Je Chuo Kinaweza kujitosa kwa gharama ya kuchunguza Kitu kilichokwisha pata
Walimaliza 2021 sio mbali mkuu.

Hao mabinti walikosea, hii kitu itawapotezea muda.
Kwa nature ya nchi zetu, akitokea mwanasiasa hapo kati akalivalia njuga ili apate umaarufu hawatoboi hao.
Wangejitahidi sana basi wasikitaje chuo wala mtihani, sasa wao hadi mtihani wameutaja, muda wa kuufanya wameutaja.

Acha tusubiri.
 
Akihojiwa kwenye kipindi ,Pacha aliyekuwa anaisoma Chuo Kikuu Cha Udom pamoja na Mwwnzie wameingia matatani baada ya kuropoka kwamba alimfanyia Mwwnzie Mtihani wa marudio wa somo.la Hydrology baada ya kufeli Kwa kutumia kitambulisho Cha pacha mwenzake bila kutambulika.

Chuo Kikuu Cha Udom kusema baada ya kusikia mahojiano hayo kimeanzisha Uchunguzi wake kisha kitatoa taarifa rasmi ya hatua za kuchukua.
---
Kufuatia mahojiano na pacha waliokuwa wakisoma Chuo Kikuu Ardhi wakieleza jinsi walivyoweza kufanyiana mtihani, uongozi wa chuo hicho umesema unafanya uchunguzi wa jambo hilo.

Katika mahojiano hayo ya Wasafi FM yaliyofanyika Machi 6 mwaka huu, pacha mmoja alikiri kumfanyia pacha mwenzake mtihani wa marudio (supplementary) wa Hydrolojia kwa kutumia kitambulisho cha mwenzake baada ya kufeli mtihani huo.

“Tulikuwa chuo sasa unajua chuo tunasoma kozi ambayo kuna masomo ambayo tunaendana kwahiyo sasa kuna somo moja ambalo linaitwa Hydrology tukawa tunaingia class moja lakini bahati mbaya mwenzangu akapata supp mimi nikawa nimetoboa, sasa nikamwambia hapo kwenye supp tulia nitafanya mimi [..] akanipa kitambulisho chake nikamaliza akatoboa supp na hawakuwahi kujua,” mmoja wa pacha alieleza.

Aidha, uongozi wa chuo hicho umesema baada ya kufanya utafiti na kubaini ukweli wa taarifa hizo, umma utajulishwa juu ya matokeo ya uchunguzi huo.

My Take
Pale Mjinga mmja anaporopoka upumbavu akidhani sifa kumbe amefanya kosa ambalo linaweza kumsababishia kufutiwa degree yake na kufikishwa kizimbani Kwa makosa ya udanganyifu.

Kuna watu wanaojiita Wasomi ila Wana ujinga mwingi kichwani kama Hawa pacha.
Hivi kumbe Bado degree Zina thamani? Mbona wenye degree wapo mtaani wengi tuu wanazurura, Je kama ni miongoni mwa hao waliopo mtaana hata wakifutiwa vyeti kwani watakuwa wamepungukiwa nini?

Na je kama walishachoma vyeti moto, au pengine wamejiajiri, itasaidia nini au itawapungizia nini Kwa mfano?

Maprofesa wengi ndo washamba wanazanigi skuizi degree Bado zipo sokini au zina thamani kama enzi zao, wanafatiliaga upuuzi ambao hauna maana wakizani wanakomoa au wanatoa fundisho kumbe ni ulimbukeni wa kizamani tuu

UNAFATILIAJE KITU USELESS?????
 
Walimaliza 2021 sio mbali mkuu.

Hao mabinti walikosea, hii kitu itawapotezea muda.
Kwa nature ya nchi zetu, akitokea mwanasiasa hapo kati akalivalia njuga ili apate umaarufu hawatoboi hao.
Wangejitahidi sana basi wasikitaje chuo wala mtihani, sasa wao hadi mtihani wameutaja, muda wa kuufanya wameutaja.

Acha tusubiri.
Wanasiasa wameipotezea sioni wakiizungumzia kwahyo haina Publicity sana..
Kwahyo haiwwzi kuwa hoja kisiasa na itakufa tu
 
Kabisa, nini kinashindikana? Kama Magufuli alichukua uchaguzi kwa ubabe, hili linashindikanaje?
Hii ni ishu ya kitaaluma uamuzi wa Chuo unaweza ukachafua Ama kuathiri chuo na sio hao graduate peke yake..

So chuo sio wajinga kutoa barua mapema hivyo..
Na hata uamuzi wa chuo wowote utaathiri baraza la kitaaluma na hata Baraza la senate la chuo hicho so lazma jibu lije baada ya kukaa na walengwa ili kutokuchafua taswira ya Chuo
 
Back
Top Bottom