Pre GE2025 Mapendekezo ya CHADEMA juu ya Miswada ya Sheria za Uchaguzi ambayo Kamati ya Bunge inazuia yasisomwe Bungeni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ulitangaza wewe mwenyewe na namba ya Simu ukaweka!
 
Mimi ni mlipa kodi na ninapinga mapendekezo ya kihayawani na kijinga yaliyotolewa na CHADEMA yanayotaka kutuongezea gharama za kuwahudumia wabunge badala ya kupeleka kwenye miradi ya maendeleo itakayo leta tija kwa wananchi

Mwaka huu umelipa bei gani, unatisha watu hapa? Unavuta pumzi bure ukijipendekeza ulipe kodi wewe?
 
Kama tunasoma vyuo vilevile bila kujali vyama vya siasa tunavyotoka, kwanini CHADEMA wawe na timu inayoweza kufanya uchambuzi wa kina na usio na upendeleo (biasness) kwa kiwango hiki?
Kweli wewe una matatizo kichwani. Kwa hiyo mawazo na maoni ya CHADEMA kuwa kwa kila jimbo kuwe na wabunge wawili ndio unaona mawazo bora? Huoni inaongeza gharama na mzigo kwa wananchi? Kwa hiyo kama kuna majimbo 250 unataka bungeni waingie wabunge miatano? Hapo bado viti maalumu walivyopendekeza vya 30% .una akili kweli wewe kuunga mkono ujinga huu? Unajitambua kweli wewe? Kwa hiyo mapato na makusanyo yote unataka yaelekezwe kuwalipa wabunge tu? Halafu pesa za maendeleo zitatoka wapi?
 
Mwaka huu umelipa bei gani, unatisha watu hapa? Unavuta pumzi bure ukijipendekeza ulipe kodi wewe?
Ujinga na mapendekezo ya kijinga ya CHADEMA kuhusu kuwa na wabunge wawili katika kila jimbo pamoja na 30% ya wabunge viti maalumu hayawezi kuungwa na wenye akili Timamu. Labda yataungwa na akina Johnthebaptist anayewaunga mkono CHADEMA
 
Umekurupuka Kaka, hizo enzi zimepita.Angalia namna nyingine ya kuishi, mapema kabla uzee haujakuelemea.Kama mambo ni magumu sana, nenda ukawe hata CHAWA wa Mwijaku inaweza kuwa na tija kwako kuliko hii ligi unayoitamani.
Sasa umeandika nini hapa? Ukisoma ulichoandika unaweza kukielewa kweli?
 
Jibu swali eqe mmawia .niambie kuna sababu gani na umuhimu upi kwa utafiti upi mpaka jimbo moja liwe na wabunge wawili? Kwanini CHADEMA wanataka kuongeza gharama na mzigo kwa mlipa kodi? Je ndio maendeleo hayo?
Mngekuwa mnaogopa gharama msingepitisha malipo ya wenza wa wastaafu.
 
Mkuu kweli kasema hivyo?
Duh kweli hii nchi haitoboi. mzigo wa wabunge zaidi ya 300 hautoshi wanataka sasa wafike 600?
 
Mkuu kweli kasema hivyo?
Duh kweli hii nchi haitoboi. mzigo wa wabunge zaidi ya 300 hautoshi wanataka sasa wafike 600?
Ndio kasema hivyo katika hoja yao namba tano. Na siyo kuwa wanaweza kuwa wabunge mia sita bali watazidi hapo maana bado na wa viti maalumu ambao nao wamependekeza wawepo ndani ya bunge
 
🚮
 
Ndio kasema hivyo katika hoja yao namba tano. Na siyo kuwa wanaweza kuwa wabunge mia sita bali watazidi hapo maana bado na wa viti maalumu ambao nao wamependekeza wawepo ndani ya bunge
Duh ama kweli hii nchi iko doomed. Badala ya vyama pinzani wawaze kupunguza mzigo kwa serikali kwanza hata viti maalum wangeondoa huo upuuzi. Nchi hii hadi sasa mishahara na posho za uendeshaji ni kubwa mno. Sasa wanataka waongeze wabunge kwani hilo linamsaidiaje mtanzania
 
Wao wanachoangalia na kuzingatia ni maslahi ya matumbo yao tu na siyo kuona uchungu na kumuonea huruma mtanzania anayelipa kodi. Kwanini mapesa yote ya kumhudumia mbunge wa pili yasipelekwe kwenye jimbo husika kufanyia maendeleo?
 
Jibu swali eqe mmawia .niambie kuna sababu gani na umuhimu upi kwa utafiti upi mpaka jimbo moja liwe na wabunge wawili? Kwanini CHADEMA wanataka kuongeza gharama na mzigo kwa mlipa kodi? Je ndio maendeleo hayo?
Umeliona hilo? Leo hii kuna umuhimu gani wa serikali ya ccm kuwa na DED na DC wilaya moja?

Wote wanakuwa na magari ya kifahari huoni kuwa ni ifujaji wa rasilimali za taifa?

Wacha kujiondoa akili kwa sababu ya kulazimisha uteuzi
 
Binafsi sijaona hoja hata moja yenye maana dhidi ya Mapendekezo ya CHADEMA! Naona ni malalamiko yanayotokana na athari za Chademaphobia tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…