Jeep wrangler
JF-Expert Member
- Jan 7, 2024
- 524
- 1,093
- Thread starter
- #181
Binti wa Singida kamoo🤣Weupe wazungu au? 😂😂 Ninini kutusagia kunguni hivi?
Anyways nimeangalia tackle nimegundua halipo 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binti wa Singida kamoo🤣Weupe wazungu au? 😂😂 Ninini kutusagia kunguni hivi?
Anyways nimeangalia tackle nimegundua halipo 🤣
Umeshaondoka we mzee au nije ila me mweusi usije ukanikimbia tu
Umeshaondoka we mzee au nije ila me mweusi usije ukanikimbia tu
Cheupeee dawa mi nishaondoka maeneo hayo, hizo sio sehemu zakukaa aisee la sivyo mshahara wote unaishia hapo...
Wiki ijayo tena...
We mweusi wapi?
unasifia upotofu! Yaani mwanamke akukatae umuue si ni wehu! halafu baada ya kumuua ?Jamaa ni mtanzania alikuwa mume wa huyu mrembo ambaye ni binti wa hidaya wa pepe kale. Demu kaumbika siyo mchezo halafu kiburi kimjaa namkumdharau jamaa kwasababu wanaume wengi walikuwa wanafukuzia. Jamaa akaamua tu kumchinja na kisu.
View attachment 2923414
We mweusi wapi?
Unaweza kuvumilia mkwo akianza dharau ndani kwa kukuletea hawara zake?unasifia upotofu! Yaani mwanamke akukatae umuue si ni wehu! halafu baada ya kumuua ?
yaani kwa namba ya wanawake iliyojaa, unaweza kumsifia mwanamume anayeshindwa kumove on na kuishia kumuua mkewe
so sad!
Kweli eeNa usipopenda hao unakufa maskin
DONT SETTLE FOR LESS
Wewe mbona umeongea kitu kingine! na hata hivyo mwanamke mpaka anakuletea mahawara nyumbani maanake huyo hakupendi,Sasa wewe kwa akili yako mbovu unaendelea kuishi naye wa nn, kwani hakuna wanawake wengine?Unaweza kuvumilia mkwo akianza dharau ndani kwa kukuletea hawara zake?
Unaongea kwa jazba una stress weweWewe mbona umeongea kitu kingine! na hata hivyo mwanamke mpaka anakuletea mahawara nyumbani maanake huyo hakupendi,Sasa wewe kwa akili yako mbovu unaendelea kuishi naye wa nn, kwani hakuna wanawake wengine?
Sema wewe kiazi, nikisema mimi muhogo nitaambiwa ni mzizi [emoji4]
Cheupe dawa hujambo?Hahhaha mzee una maneno wewe
ni kweli nna stress na ujinga unaoendelea Kama wa ule wa mtu kuleta habari ya kumchinja mkewe eti kwa sababu ya dharau.Unaongea kwa jazba una stress wewe