Mapenzi: Muogope sana mwanamke mweupe na mwenye makalio makubwa

Mapenzi: Muogope sana mwanamke mweupe na mwenye makalio makubwa

ni kweli nna stress na ujinga unaoendelea Kama wa ule wa mtu kuleta habari ya kumchinja mkewe eti kwa sababu ya dharau.
Sasa unaachaje kuwa na stress kwa ujinga Kama huo ukiwa ni mtu timamu?
Hujui ilikuwaje tuliza wewe
 
Nakumbuka binti wa Hidaya wa pepe kale alivyochinjwa na mme wake uingereza. Alikuwa bonge la mwanamke waiiitii na shepu lakufa mtu. Sasa dharau jamaa akaamua tu ampige beto za kutosha.
View attachment 2923400
Hivi hii kesi iliishaje? Jamaa alipigwa mvua ngapi?

Nilikuwa namfahamu huyu binti. Alikuwa na umbo kama la mama yake; na alimhangaikia kweli jamaa aje UK.

Sad story 😭
 
Hivi hii kesi iliishaje? Jamaa alipigwa mvua ngapi?

Nilikuwa namfahamu huyu binti. Alikuwa na umbo kama la mama yake; na alimhangaikia kweli jamaa aje UK.

Sad story 😭
Mkuu tupe uzoefu wako kqa wanawake cheupe na wenye mizigo
 
Back
Top Bottom