Mapenzi: Muogope sana mwanamke mweupe na mwenye makalio makubwa

Mapenzi: Muogope sana mwanamke mweupe na mwenye makalio makubwa

Mama yangu aliwahi niusia hivi.

Hakukosea.

Wanawake weupe ni kichomi.
 
Habari za Jumapili wakuu;

Katika maisha mahusiano, kitu kinachoitwa mapenzi kuna wakati hulazimika kupiganiwa ili yadumu.

Hii ni kutokana watu wawili wanaopendana wana makuzi na tabia tofauti.

mwanzo wa mapenzi huwa mtamu sana, lakini hufika wakati wa kujuana tabia ndipo mapenzi huyumba.

Kipindi hiki ni cha mpito, huhitaji kuvumiliana huku mkiendelea kurekebishana kwa uvumilivu na upendo mkisubiri kipindi cha neema.

Katika utafiti wangu mdogo ni kuwa;

1. Wanawake weupe hawajui kuvumilia kwani huona wana soko kubwa.

2. Wanawake weupe hawapendi kupitia kipindi cha dhiki nakwambia unaachwa mchana kweupe.

3. Wengi wa wanawake weupe uaminifu wao ni mdogo sana wengi huchepuka.

4. Wanawake waupe wanapenda maisha ya juu na mteremko bila kugharamia.

5. Wanawake weupe ndio huongoza kuwa ma singo mama.

6. Kama walivyo weupe ndivyo walivyo wenye makalio makubwa kitabia.

Note: sio wote lakini kwa 90% wanawake weupe na wenye makalio makubwa ni ngumu kutulia katika ndoa.

msemo: katika kila wanaume kumi waliofilisika nyuma yake kuna wanawake 8 walihusika kufilisi.View attachment 2923008View attachment 2923009View attachment 2923011
Nakumbuka binti wa Hidaya wa pepe kale alivyochinjwa na mme wake uingereza. Alikuwa bonge la mwanamke waiiitii na shepu lakufa mtu. Sasa dharau jamaa akaamua tu ampige beto za kutosha.
20240303_203552.jpg
 
Nakumbuka binti wa Hidaya wa pepe kale alivyochinjwa na mme wake uingereza. Alikuwa bonge la mwanamke waiiitii na shepu lakufa mtu. Sasa dharau jamaa akaamua tu ampige beto za kutosha.
Tafadhari mkuu unaweza kuongezea nyama nyama jinsi Hidaya alivyofanyiwa.
 
Back
Top Bottom