Mapenzi na watu wazima wanaojitambua ni matamu sana

Jibu la dharau sana utashambuliwa hadi ukome sabb umepiga kwenye mshono wanaishi kiujanja ujaja yupo mtegoni hapo kuna boya atanasa[emoji23][emoji23]
-Hao tunawajua Nina bosi wangu Fulani mtu mzima jamaa anakwambia wadada wanamsumbua sana, wanamsifu anajali, jamaa yeye huwajibu kifupi tu Sina hela za kuhonga
 
Context uliyochukulia ni nzuri maana wengi katika age iyo washapoa na wametulia ,ila wapo wenye tabia izo hata vijana wa 30's .

Bahati mbaya wale malecturers walikamatwa kwa kesi za rushwa ya ngono wote wako 55 -60 .
-kuna yule wa NIT alipigwa faini ya Million 5 Kwa kosa la kuomba rushwa ya ngono, aibu tupu
 
Ndugu kila mtu apambane na hali yake. Jukumu langu ni kumfariji kama ambavyo yeye ananifariji.
Hata wa kwangu anaibiwa vile vile.
Sharing is caring.
Kheee! Kumbe una mume na wewe lakini na huku nje unaliwa tena na mume wa mwingine?! πŸ˜³πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Nyie wanawake nyieπŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”

#kataaNdoa
#AfyaYaAkilinaMwiliNiMuhimu
#KataaNdoa
#TheseHoesAintLoyal
 
Una busara nyingi kwa uzi wa kimasihara [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapo mwishoni ndo pa msingi,, mtoa mada kaongea vitu muhimu lakini namba 5 yake sio kwa watu wazima wote,, wengine sie namba 5 tunaizingatia sana,

Umpate mtu mzima na ajue kubandua, unaweza mpa hadi maini akayakaange manioko
Aki-cum napo unayamezeamo mautelezi yake au sio?! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜…πŸ™ŒπŸΎ
 
Linakukunja kwa bed kama vile mnacheza filamu ya ngono au sio?! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ‘πŸΎ
Zaidi ya hivyo yaniπŸ˜‚πŸ˜‚ linakunja nyama haswa, linathamini umuhimu wangu maishani mwake,, yani napendwa jamani mpaka naona km naota, nimefanya nini kustahili haya yote,, changamoto zipo ila namshukuru Mungu kajua kunifuta machozi yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…