BALENSIAGA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2019
- 3,353
- 5,800
-Hao tunawajua Nina bosi wangu Fulani mtu mzima jamaa anakwambia wadada wanamsumbua sana, wanamsifu anajali, jamaa yeye huwajibu kifupi tu Sina hela za kuhongaJibu la dharau sana utashambuliwa hadi ukome sabb umepiga kwenye mshono wanaishi kiujanja ujaja yupo mtegoni hapo kuna boya atanasa[emoji23][emoji23]