Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Uzuri ukiwa na hela hata akichepuka heshima iko palepale maana anajua akiachika atakalia kuti kavu.Asante mkuu kwa kuwa mkweli kwa nafsi yako. Halafu tafiti zinaonesha kwamba mapenzi ambayo uchumi uko stable yana amani sana ukilinganisha na yale ya tia maji tia maji.
Bujibuji Simba Nyamaume Uzi wakoSalamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.
Uzeeni ndio unatakiwa kuwa unatafuna vibinti vya mid twenties ..yaani wee nikunyonywa mbupuz na de liboloSoma alichoandika huyo niliyemquote wakati ninakuita
Wanajua kupenda...wapo romantic, vizawadi vya hapa na pale, anakufanya unajiona mtoto unaweza ukawa unachekacheka kama boya.Yaniiii ni wanajitambua sio kidogooooo shossssssss👌👌👌👌👌👌!
Wanakufanya hadi ujute kuchelewa kukutana nae lol cocastic nifikishie salamu Zangu kwa wanaume Watu wazima wanaojielewa woooootrreee💃💃💃💃💃💃💃🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸🤸😛!
Yaniii hauna mbambambaa kabisa [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]Yani umenyooka kama rula
Ladies with age are cool as iceYani umenyooka kama rula
Hatimaye tumefikiwa, aise tuko na mambo mengi sana shots 6 za Ninil🤔Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
Halafu uzuri wa mashangazi usafi sasa ni A+Mashangazi wastaarabu sana huduma muda wote,hakuna likizo za ghafla.
Basi vijana wanaozunguka na bahasha mjini kutafuta ajira wananisonya kimya kimya.....Yaniii hauna mbambambaa kabisa [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]
Acha tu yanii .. They Don't complicate issues iama hawa vichomiii!Wanajua kupenda...wapo romantic, vizawadi vya hapa na pale, anakufanya unajiona mtoto unaweza ukawa unachekacheka kama boya.
Yeah umepigilia msumariHatimaye tumefikiwa, aise tuko na mambo mengi sana shots 6 za Ninil🤔
Kwa mchepuko ni kutumia ela na kupet pet tu.
Mbili tatu za uhakika pesa mingi yaani freshiiii Kwa afya tu🤛
I always date chicks na sio mashangazi ngoja ni taste utamu wa mashangazi Sasa.Salamu kwanza kama ilivyo jadi yetu....
Back to the main theme.... asikwambie mtu mapenzi na mwanaume au mwanamke mtu mzima anayejitambua ni matamu sana....
1. Kwanza wamekomaa akili kwa hiyo hawana tabia za kufwatana fwatana nyuma kwa wako busy na majukumu makubwa,
2. Hawataki makuu wao wanachotaka ni kupetiwa petiwa tu na mtu anayewatii
3. Wako kwenye consumption stage (stage ya mwisho ya maendeleo as per rostow's stages) hivyo hawana usumbufu wa kukopa kopa au kuomba omba hela...sana sana wao ndo wanawaza kufanya makubwa kwa partners wao. Hivyo ni win win situation. Pia utaenjoy mapenzi kwakuwa hela ipo ni wewe tu na muda wako.
4. Wengi wao kulingana na uzoefu wao na umri wako connected sana hivyo basi kama mamiloo au babaloo akili na elimu ipo basi atawini bingo kwa kutafutiwa fursa mbalimbali.
5. Kwenye utelezi hawafanyi kwa kukomoa kwakuwa wao tayari nguvu zilishapungua so hakuna zile mambo za kufanya kama tupo kwenye mashindano ila pre-game ndo makeke mengi yawepo.
6. Wengi wao sio waongo waongo na wenye hila za hapa na pale.
7. Kama Na wewe unasapoti mapenzi na watu wazima ongezea point.
Inawezekana awe mtu mzima single kwa sababu fulani fulani au aliyeoa.
Wanaume na wanawake watu wazima wote mnaojitambua mlioko JF shikamooni na muwe na nafasi yenu maalumu huko peponi. Amina.