Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Hali ni mbaya kwa pande zote mbili
 
Sio wanaume wa Tanzania msio na shukrani,sana sana baadae ataanza kukuchamba demu gani Yuko desperate,anajileta Kwa nauli yake,atakusemaa wee mpaka ujute.Bora hata akusimange huku pesa yake alokupa inamuuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…