Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
🤣🤣🤣Cha mtu huliwa na mtu Shem ake.race na pochi za watu.. muwe race na hela zenu 😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Cha mtu huliwa na mtu Shem ake.race na pochi za watu.. muwe race na hela zenu 😅😅
alafu wa hivyo mzee baba hawawezi kazi, usasa mwingi 😅😅.. hawa wanaojieeka class za juu.. tushapasua wengi sanaaa hamnaga kitu fujo tuSo, you're done dating Africans! Dada unaonekana kwa mwandiko wako sio haba, mimi huyu nitume ticket ya pipa...nitakuwa na kichaa wallah tena
mtakula za wenye nyege zisizo na mpangilio 😅😅🤣🤣🤣Cha mtu huliwa na mtu Shem ake.
Sasa kama hana swaga, anakuwa sawa na mdoli tu🤣🤣🤣🤣🤣yaani upewe ofa bure na swagaz Unataka Kama sio ukorofi ni Nini?
Kha!!!!Ukienda utokomee huko huko usirudi huku chumba chako kitapangishwa fastaNdio 😀😀😀
UtamfundishaSasa kama hana swaga, anakuwa sawa na mdoli tu
Na uzee huu utafundisha wangapi, wanatakiwa wale wenye uzoefu wa kutoshaUtamfundisha
Hali ni mbaya kwa pande zote mbiliSio vibaka, nakutana na baadhi ya wadada wengi ni vituko, mpaka najiuliza huyu mtu kwa tabia zake hizi, ataolewa na mwanaume wa aina gani, nimeelewa biblia inamaanisha nini inaposema mke mwema ni nani awezaye kumwona.
kwa asilimia kubwa mwanaume sahivi ukitaka kuoa, aidha uwe mcha Mungu sana, Mungu akuoneshe ubavu wako, au kama ni mtu wa kidunia inabidi ujitoe ufahamu, uwe na uwezo wa kuvumilia ujinga wa mwanamke, ujilipue, ujirushe na ujifanye mjinga, kila asemacho mwanamke, mwanaume inabidi useme sawa, ukitumia logic, miaka 40 hiyoo, huna mke wala mtoto Joannah
majira haya, manzi akila hata jero yangu ajue ana bahati kinomaaa 😅😅😅🤣🤣🤣Cha mtu huliwa na mtu Shem ake.
Khaa🤣🤣utasema utumishi wanatangaza ajira mpyaNa uzee huu utafundisha wangapi, wanatakiwa wale wenye uzoefu wa kutosha
HUjanijibu wewe kiumbe😁Ndio 😀😀😀
Daaah,tatizo Nini?kipato kidogo au ubahili?Tatizo mnachukulia vitu serious sana Nyie watumajira haya, manzi akila hata jero yangu ajue ana bahati kinomaaa 😅😅😅
Unataka uhamishie hizo tabia za kutokulipia room mikoani 😂Niko mbioni kuhama dar 😃😃😃
😀 😀 ndio hivyo sio unakutana na pisi, anaweka nguo pembeni na kujiegesha ili uchomeke ukuni na kuchochea moto; hapo anakuwa hana tofauti na robotiKhaa🤣🤣utasema utumishi wanatangaza ajira mpya
Nataka kujifunza jamboUnataka uhamishie hizo tabia za kutokulipia room mikoani 😂
Nini😀😅😅HUjanijibu wewe kiumbe😁
Yaishe😅Nini😀😅😅
Kuyaweza yote mwenyewe 😂😂Nataka kujifunza jambo
Sio wanaume wa Tanzania msio na shukrani,sana sana baadae ataanza kukuchamba demu gani Yuko desperate,anajileta Kwa nauli yake,atakusemaa wee mpaka ujute.Bora hata akusimange huku pesa yake alokupa inamuumakikubwa ufike. Muyajenge hata mkitaka hata kununua Gulfstream 650 ... ila muache kuwa matonyaaa.. unashindwa jikatie tiketi ya go and return ? alafu ukifanya hivyo sie wanaume tunakukubali sana utaona ma miamala ya kutosha maana mtu atana una akili nzuri na ya kimaendeleo.. ila sio mnaanza tu hata nauli ya KISBO inakutoa kando 😅😅
WeeeeeKuyaweza yote mwenyewe 😂😂
Umeshachelewa ulikosea Sana kuishi dar 😂😂