Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Mapenzi ya kutuma nauli ni sawa na kusafirisha mzigo

Hivi ili iwe nauli ni kianzia sh. ngapi? Kwa hiyo ata ukirequest sehemu ya aftano au aftatu nayo utaomba? Au ulipanda daladala 600 nayo utaomba?

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Muhimu hapa ni kujigusa kwa kile alichonacho, kama kuna upungufu wataongezeana kwa makubaliano; sasa ile ya kutumiwa 100%, huo unakuwa ni mzigo ndio unaosafirishwa
 
au sio mbwembwe mingii ...
tiketi ya ndege si hadi uwe na iyo value..
unafikiri kama kigarula nani a risk mzigo wake wote ? Kama unayo unatoa waungwana wanarudhisha na zaidi.. maana inaonesha kidogo ka akili ka kujielewa
Nikishawahi kumlipia mwanamitindo Moja wa nchi Jirani nauli ya ndege 3 times nivyoona amezidi nikamwambia Sasa basi inaonekana nitakuwa pesa yote inaishia kwenye nauliza ndege. Aliumia sana I could see it from her response na aliniekeza kuwa Bado mwanafu zi hivyo angekuwa na kazi angekuwa anajilipia.

Ila mpaka namlipia hizi nauli alistahili maana ilikuwa ni pisi Moja Kali.

Nimalizie Kwa kusema pisi ukiielewa unatuma tu nauli.

Uzuri wa pipa unatuma ticket tu sio pesa[emoji23]
 
Wanaume tunapitiaga magumu sana.
Kuna kipindi unakutana na demu mrembo lakini ni KAUSHA DAMU🤣🤣🤣
Wengi wako hivyo, na hawawezi kutatua changamoto yoyote pale mambo yako yatakapoenda wrong
 
Wacha tuwape joto cold blood
Hahaha enjoy mama, japo najua fika hiyo ngozi haiwezagi mikito ya kiafrika lkn ni watundu sana...fore play wanaiweza sana.
Kwa wale walio onja ngozi nyeupe watanielewa.
Walio onjwa na midume wameshuhudia haya ...na tuliojaribu ke weupe tunajua walivyo wa baridi but mahaba wanayaweza😂
 
Mwanangu alimtumia demu laki aje kutoka morogoro kuja dar mixer na kumpa maagizo aje angalau na kilo kadhaa za mchele, bwana weee mtt kila akipigiwa cm Niko njian mida inatokomea tu akona isiwe tabu akamblock mshikaji mwana akaniomba nimpigie baada ya kupokea na kujua ni Mimi pia akanitwanga block
 
Naonaga kama wana ka udwanzi hivi flani, hasa wanapo amua na ku diss african man..
Kwa upande huo wanaofagilia wanaoneka very cheap sema hawajui tu.

Nimeshakuwa na wanawake zaidi ya wawili wa kizungu na huduma nilikuwa natoka ila Ike nadharia ya kuwa mtu mweusi kudate mzungu anaonekana amefuata noti ilinikwamisha kuwaoa
 
Kibaya zaidi hizo pesa hawafanyii jambo lolote la maana
Wapo baadhi, kuna mmoja nilikuwa naye miaka ya nyuma ila alikuwa anatupanga, amefanikiwa kuwa na nyumba mbili, usafiri n.k ila alikuwa akija kukutana na wewe anakuwa na uhakika wa kuondoka na kiasi fulani.​
 
Back
Top Bottom