ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
Ukweli mie sina hamu nayo.. nayaogopa kama kuchezea transformer ya umeme mkubwa..ila mapenzi hayana ubabe aseee
Marhabaa mdogo angu hujamboOdo shikamoo π
Eeh ningeshangaa sana usipotoa ushuhuda wakisabato.ila mapenzi hayana ubabe aseee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si umenipora umemchukua wewe [emoji81][emoji81]
Vipi mnaendeleaje anakukojoza vizuri?
πΉπΉπΉ Wewe unaweza kujiua unapenda sana aisee.!!niliingia mzima mzima, sikuacha hata unywele mmoja.. nilifunga page zote.. nikawa kama malaika... kwake ila tumevuka hapo.. siku nikaja penda tena sijuii hahaha
Mi npo mbioni kuyarudiaUkweli mie sina hamu nayo.. nayaogopa kama kuchezea transformer ya umeme mkubwa..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nimekuachia wewe ila hujiamini kila mara unanisumbua.!!
Hakikisha unambebea ujauzito ili asikuache [emoji81][emoji81][emoji81]
Kanipora mume halafu hajiamini πΉπΉπΉ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kujaa kwenye mfumo wapii? Mnaendekeza ujinga na upuuzi tyuuhtena mate chini.. nilikuwaga na mie nasema kama wewe... ila nilipojaa kwenye mfumo.. nilielewa hata wengine ilikuwaje wakajiua wengine kujirusha kwenye vyombo vya usafiri.. zunguka tu.. ila usijae kwenye mfumo
kuna ile mtu umemaliza ligi zote, unasema sasa hapa nitulie .. kumbe ndio unaenda anzishiwa ligi kuu... haya mambo bahati na timing.. ukiwahiwa ndio hivyo tenaπΉπΉπΉ Wewe unaweza kujiua unapenda sana aisee.!!
ukiamka tu unaamka namimiEeh ningeshangaa sana usipotoa ushuhuda wakisabato.
πΉπΉπΉ Nyakunyaku hajiamini sijui shida nini??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeikata hii story, tuletee nzimaa bhanaa.nilipendaga ilo lijamaa enzi izo mshamba wa mapenz sjui hata mshindo ni nini,, aaaloooooh badala anifundshe aliniacha kwa dharau sana [emoji31],, maumivu yaleeeee
ππππ Wewe mapenzi unayapa kipaumbele sana ndiomana yanakutesa, njoo huku mbarali unisaidie kuvuna uache kuwaza ujingakuna ile mtu umemaliza ligi zote, unasema sasa hapa nitulie .. kumbe ndio unaenda anzishiwa ligi kuu... haya mambo bahati na timing.. ukiwahiwa ndio hivyo tena
Unachekeshaa weyeeee!! Khaaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hasa ukikumbuka zils moments maumivu kama yanaanza upya, ikija sura yake moyo unakufa ganzi.. ukiamka usiku wa manane unajikuta umelala mwenyewe.. maumivu yaanza upya..
Si naku deshi deshi au hujui πukiamka tu unaamka namimi
ngoja nifute kamasi kwanza,, nmekumbka machungu πUmeikata hii story, tuletee nzimaa bhanaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha ππππ unasemaje wewSi naku deshi deshi au hujui π