Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
enjoy the byutiful thing ila watakuja kusema "vina muda basi na mtaachana tu"Poleni mnaotendwa.
Mwenzenu wiki hii nina raha.
Kupendwa raha nyie.
Iam in love hadi siamini kama bado duniani kuna shida.
Luv isa byurifu tinπππ
Wanaume unampendaje Single mother akupake maziwaNyie nao mmezidi by the way mkuu unataka wadada wapende nini wasipopenda hela..?
I do calculate some calculation I can't get any answers more than money!..
They do have to love it,akupende na umasikini umpake shida..??π
Nyie boss mtoto anΓ semaje shemela wetu wa taifa? Kama nawaona mlivyonawiri kwa penzi shatashataπ₯°Poleni mnaotendwa.
Mwenzenu wiki hii nina raha.
Kupendwa raha nyie.
Iam in love hadi siamini kama bado duniani kuna shida.
Luv isa byurifu tinπππ
Nakazia na kugongelea[emoji2] nyundo comment hiiPole mkuu kwa yaliyokukuta asubuhi hii[emoji18][emoji18]
Asanteukishatambua we ni wa muhimu na pekee haya mambo hayawezi kukusumbua, kuwa na misimamo yako na uisimamie hutoyumbishwa na mapenzi.
Your day is coming idiot! πππΎPoleni mnaotendwa.
Mwenzenu wiki hii nina raha.
Kupendwa raha nyie.
Iam in love hadi siamini kama bado duniani kuna shida.
Luv isa byurifu tinπππ
Pole mkuuHaya mambo yanaumiza sana nimegundua kwa nini usipotumia akili unaweza kuua au kujiua.
kuna binti nilimpenda sana,kuna siku alikuwa anahitaji ufafanuzi wa jambo fulani LA kiofisi nikamuunganisha na rafiki yangu ili ampe ufafanuzi.Badaye kuna siku tulikuwa wote kwa bahati mbaya nikashika simu yake nikaona wanawasiliana mara kwa mara-nikamuuliza kulikoni,akakiri huwa wanawasiliana tu kujuliana hali-niliumia sana,ingawa aliahidi ataacha na jamaa nae akikiri watasitisha mazoea.
Kwa kuwa jamaa tuko Ofisi mmoja Leo,sijui in Mungu-kwa bahati nikashika simu ya jamaa yangu nikaona SMS za binti,kwa kweli nimejisikia vibaya san.Mawazo ya kufanya jambo baya yamenijia akilini ghafla.
Haha! Be strong kaka... sometimes mungu anakukutanisha na mtu mjuane tu ila haimaanishi kwamba ndo mtakuwa daima na milele...ingawa wewe unaweza kuwa na nia njema na thabiti kwake lakini yeye akawa hajitambui wala hayuko tayari. Na huenda jamaa yako ndo kakutana na mkeo hapo, na wewe ndo uliewakutanisha. Usijali... utaumia na utasahau. Achana nae tu!Haya mambo yanaumiza sana nimegundua kwa nini usipotumia akili unaweza kuua au kujiua.
kuna binti nilimpenda sana,kuna siku alikuwa anahitaji ufafanuzi wa jambo fulani LA kiofisi nikamuunganisha na rafiki yangu ili ampe ufafanuzi.Badaye kuna siku tulikuwa wote kwa bahati mbaya nikashika simu yake nikaona wanawasiliana mara kwa mara-nikamuuliza kulikoni,akakiri huwa wanawasiliana tu kujuliana hali-niliumia sana,ingawa aliahidi ataacha na jamaa nae akikiri watasitisha mazoea.
Kwa kuwa jamaa tuko Ofisi mmoja Leo,sijui in Mungu-kwa bahati nikashika simu ya jamaa yangu nikaona SMS za binti,kwa kweli nimejisikia vibaya san.Mawazo ya kufanya jambo baya yamenijia akilini ghafla.
Jamaa atakuwa anakukunja sana! Sio kwa ku-broadcast na ku-expose furaha zako na siri zako kiasi hiki ππ π π ππΎLet it come.
Itakuta nishai enjoy vya kutosha moron!
[emoji2][emoji2]Pole mkuu kwa yaliyokukuta asubuhi hii[emoji18][emoji18]
π Haya tutachukua ambao hawajazaaWanaume unampendaje Single mother akupake maziwa
Kwa taarifa yako hakuna mapenzi ya dhati utayapata kama kutoka kwa mwanamke ambaye aidha ni divorced au alishazaa akapata life lesson na akajitambua akaamua kuwa serious na maisha.Wanaume unampendaje Single mother akupake maziwa
Mimi nimekuwa muoga sana kupenda ,,,,napenda chinichini ili nisiumie sana.
Pole mkuu kwa yaliyokukuta asubuhi hii[emoji18][emoji18]