Mapigano yanayoendelea Gaza na unafiki wa Dunia

Mapigano yanayoendelea Gaza na unafiki wa Dunia

Kihistoria Ukraine ni sehemu ya urusi..... vipi una maoni gani kwa Putin kuchukua eneo la urusi kihistoria? Au Idd Amin alikua sahihi kupora Kagera kisa ilikua kihistoria ina roots za Uganda?
Histori gani inasema hivyo. Naomba supportive document
 
Quran inayowaongoza Muslim inatambua Jews na ni Nabii Mussa alipewa aeshi na Allah watoto wa Israel wake na wasitoke hadi kiama
Kwanza I'm not a Muslim pili hata kwenye Bible yako mwenyewe geuza upande wa ramani uone wameandikaje!!
20240410_143619.jpg

Kumbe hizi Bible zinapotosha? Kwamba walioandika biblia hawakujua palestina haikuwepo ila wewe nobody ndio unajua haikuwepo hahahahhaahha.
Unaposema miaka 70 nenda kwenye historia ya UN ukasome. Walitakiwa waishi pamoja Arabs na waisrael.
Acha utoto, vita mlishinda mkapora ardhi mkaweka mipaka si ndio? Tunachopinga ni kwamba over the years mmekua mkijitanua kila mwaka mfano kuna walowezi laki 5 wanaishi ndani ya mipaka palestina Inayotambulika na Israel!!! Hao ndio wavamizi sasa cha ajabu wapalestina wakienda kuwafurumusha kwenye mipaka ya palestina mnasema ni wachokozi?

Hao walowezi hata serikali ya Israel imewahi wafukuza palestina cha ajabu wewe hohehahe wa buza unatoka mapovu kuwa ni haki wao kuikalia palestina?

Why is Israel pulling out settlers from Gaza, West Bank? - Israel

Kasome kwanza kuhusu settlers ndio urudi kuargue hapa, that's if at all hata lugha utaielewa.
 
Wana haki maana wao hawakwenda kuishambulia m23. Bali haom23 ndio wanawafata kwao.
Same applies to Israel. Walifatwa na kuuliwa ndugu zao, wana haki ya kujilinda.
Haki ya kujilinda ni ya msingi mnoo.

Reasonably, Israel pale Gaza wameendesha zoezi la kujilinda au mauaji?
 
Haki ya kujilinda ni ya msingi mnoo.

Reasonably, Israel pale Gaza wameendesha zoezi la kujilinda au mauaji?
Hamas waliua watu 1200 na kuteka wengine usisahau hilo. Walikuwa sahihi?

Hivi ukija kuiba kwangu, ukafanya na uharibufu, nikakukamata natakiwa nikuadhibu au nikuache tu?

Na kama nikiamua kukuadhibu, utanipangia nguvu na muda wa kukuadhibu?
 
Duniani kote kila Bara kuna mapigano yanayoendelea huku kukiwa na ushawishi sifuri kwenye kusitisha hizo vita. Ninasema mapigano kwa sababu sehemu kubwa ya mapambano hayo yametokana na ushawishi wa makundi yanayolenga kufaidika na vita hizo. Kinachoendelea Ukraine na Urusi ni vita kamili kwa sababu pande zote wanaumizana na kila upande una uwezo wa kujibu mashambulizi ya kutoka upande hasimu. Anayelaumiwa hapo ni Urusi

pale Gaza, kinachoendelea siyo vita (kwa tafsiri yangu), bali ni mauaji ya halaiki ambayo yanadhaminiwa na Umoja wa Ulaya na Marekani kuisaidia Israel kuua watoto, wanawake na watu wa taifa la Palestina. Kwa nini nasema ni mauaji ya halaiki, ni kwamba Israel inatumia zana zote za kivita dhidi ya taifa ambalo kimsingi halijaingiza jeshi lake vitani. Hakuna zana wala kifaa chochote za kivita cha Taifa la Palestina zilizoingizwa vitani. Hakuna jeshi la Palestina lililopo mstari wa mbele kulinda mipaka yao ambayo inaingiliwa bila huruma na Israel. mauaji yanayoendelea yamejengwa kwenye dhana ya kupambana na ugaidi ambapo hata watoto na wanawake ambao kimsingi ni vulnurables kuwa wanawaficha magaidi. Ukiangalia ndani zaidi majuzi hapa Wafanyakazi wapatao 7 wa World Kitchen Centre wameuawa kwa kulengwa na vikosi vya Israel. Shirika hilo lenye makao yake makuu Marekani ndilo pekee lililosalia Gaza kutoa msaada wa kibinadamu ya chakula na maji safi. Hilo linajiri kwa sababu Israel imefunga mipaka ya kila kona kuzuia misaada ya kibinadamu kuwafikia Wapalestina waliokusanywa eneo la Kaskazini. Humu kwenye mitandao wamejaa washabiki wa kila namna bila kutafakari madhara na madhila yatokanayo na hizi tabia za kuuana kwa kujitetea kulinda utu na ustawi wa wauaji. Lakini anayelaumiwa kwenye mauaji haya ni Palestina

Afrika kuna mapigano karibia eneo kubwa la Bara hili, huku viongozi wa nchi za bara hili yaani zinazounda Umoja wa Afrika wakiendelea kujimwambafai pale Addis Ababa kwa robusta na aina kede za kahawa zinazopatikana mjini hapo. Karibia viongozi wote wapo handicapped kifikra kwa kuweka matumaini makubwa kwa nchi zilizoendelea hususan mataifa yanayotengeneza na kusambaza kwa wingi silaha na zana za mauaji duniani. Sisi Tanzania tumepeleka vikosi vya kulinda amani kwenye mataifa hayo na tunachoambulia ni kuwazika vijana wetu wanaouawa kwenye conflicts hizo zisizo na kichwa wala miguu.

Tutafakari haya


  1. DRC mapigano yanayoendelea, kwa nini hakuna juhudi za kumaliza mapambano yale? Kwa nini wanaouawa ni raia ambao siyo wahusika wa tofauti za kusaka madaraka baina ya makundi yanayopigana?
  2. Juba, mapigano yanayoendelea baina ya vikosi vya Serikali inayoongozwa na Salva Kiir na vikosi vya aliyekuwa makamu wake Riek Machari, mapigano hayo yanasababisha wakimbizi na mauaji ya kutisha kwa wananchi ambao kimsingi siyo sehemu ya ugomvi huo. Je nini kinafanyika kumaliza vita hiyo?
  3. Sudan Kaskazini, vita ni kubwa baina ya vikosi vya serikali na majenerali waliojitenga. wote wanasaka madaraka kuwaongoza watu ambao wanawaua kila kukicha kwa silaha zao... Nani wa kuzuia haya mauaji yasiendelee?
  4. Somalia bado ipo kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe
  5. Msumbiji imerudi kwenye kupigana vita vya msituni kutokana na vikundi vya kigaidi kujiimarisha Kaskazini mwa nchi hiyo. Eneo la Cabo Delgado siyo salama kwa raia kuishi kwa sababu wanachinjwa na kutishiwa usalama wao kila kukicha. Matukio hayo yanafanyika jirani na mpaka wa Tanzania na baadhi ya matukio yamejiri ndani ya ardhi ya Tanzania....
  6. Uganda, hakujatulia mapambano ya msituni yanaendelea
  7. Afrika Kaskazini ipo katika hekaheka ya mapambano ya msituni ndani ya nchi nyingi za mataifa ya eneo hilo.
  8. Syria, imekuwa vitani hususan dhidi ya mataifa yanayoongozwa na Marekani wakimpinga rais wa nchi hiyo, na kusababisha maafa makubwa ndani ya taifa hilo.
  9. Yemen, imekuwa katika vita inayopewa chapuo na mataifa makubwa ikiwemo Marekani
  10. Libya, ipo ndani ya Afrika lakini Mataifa makubwa chini ya kibali cha Umoja wa Mataifa yalienda kuua raia ili kumng'oa Gadaffi maradakani na hatimaye kumuua. na mpaka leo hakujatulia....
  11. Mifano ni mingi sana nsana.
Sasa tujiulize:
  1. Sisi Watanzania, tunapata wapi ujasiri wa kushabikia hizi vita zinazopiganwa duniani?
  2. Je, kwa sababu tunaishi kwa amani, tunayachukuliaje maisha ya Watoto na wanawake kwenye maeneo ya vita?
  3. Taifa letu, linapowapeleka vijana wetu kulinda amani kwenye maeneo ya vita, Ni amani ipi inayolindwa ikiwa hakuna upokonyaji wa silaha kwa mahasimu wa vita?
  4. Tunafaidika nini na ukimya ama kuchukua pande baina ya mahasimu wa kila vita?
  5. Taifa limejiandaaje ama linawaandaaje watu wake hususani kukabiliana na changamoto za Vita zinazopiganwa karibu na mipaka yetu?
  6. DO WE CARE?
Sawa mleta mada Mimi nakubali ila Hamas kwa nini waakatalie mateka hadi Leo ingelikua wamewatoa na Israel yaendelea kiwapiga basi hapo tatizo Israel twaombaa awatoe mateka bila masharit then tutamhukum Israel kwamba kafanya mauaji ya halaik
 
  • Thanks
Reactions: 511
Hamas waliua watu 1200 na kuteka wengine usisahau hilo. Walikuwa sahihi?

Hivi ukija kuiba kwangu, ukafanya na uharibufu, nikakukamata natakiwa nikuadhibu au nikuache tu?

Na kama nikiamua kukuadhibu, utanipangia nguvu na muda wa kukuadhibu?
Walichofanya Hamas ni kitendo kiovu na kinapaswa kulaaniwa na kila mpenda haki.

Je nafsi yako itaridhika hadi wafe watoto wangapi wa Palestina?

Logic yangu ni mateso ya wasio na hatia kwenye maeneo ya vita. Mara tunaona mnaingiza udini kwenye baadhi ya vita lakini wanaokufa ni watu ambao kimsingi wengi si wahusika.

Mfano pale Gaza, zinatumika heavy weapons ambapo haina tofauti na kupiga bomu ili kuua nzi

Mfano ulioutoa kuhusu mwizi kukuibia na kumuadhibu, haki hiyo inalindwa na tafsiri ipi ya sheria?
 
Sawa mleta mada Mimi nakubali ila Hamas kwa nini waakatalie mateka hadi Leo ingelikua wamewatoa na Israel yaendelea kiwapiga basi hapo tatizo Israel twaombaa awatoe mateka bila masharit then tutamhukum Israel kwamba kafanya mauaji ya halaik
Kama sote tumejua kuwa Hamas wanakatalia mateka na wanawatumia watoto na wanawake kama ngao yao. Je tunapaswa kuwaua hao ngao ili tuwafikie Hamas na kuokoa mateka wetu?

Je Israel ambayo ina mateka wengi wa Palestina, tunaishauri nini? Kwa nini wasitafute muafaka kuliko kuangamiza Kizazi cha watu?
 
Walichofanya Hamas ni kitendo kiovu na kinapaswa kulaaniwa na kila mpenda haki.

Je nafsi yako itaridhika hadi wafe watoto wangapi wa Palestina?

Logic yangu ni mateso ya wasio na hatia kwenye maeneo ya vita. Mara tunaona mnaingiza udini kwenye baadhi ya vita lakini wanaokufa ni watu ambao kimsingi wengi si wahusika.

Mfano pale Gaza, zinatumika heavy weapons ambapo haina tofauti na kupiga bomu ili kuua nzi

Mfano ulioutoa kuhusu mwizi kukuibia na kumuadhibu, haki hiyo inalindwa na tafsiri ipi ya sheria?
Unaweza nionyesha nilipoingiza udini?

Walifanya uovu, walitakiwa kulaaniwa ila hawakulaaniwa kwa tukio lao.

Nafsi yangu inahusika vipi na vita ya mwisrael?
Hamas walilindwa na sheria ipi kufanya ugaidi ule?

Uwasilishaji wako tu Tayari ulikuwa unalalia upande mmoja. Uliongelea anachofanya mwisrael ukanyamaza kuhusu alichofanya Hamas.
 
Isreal imekalia ardhi za waislam wa Palestina
Hakuna ardhi ya waislamu,pale Israel pale Ni eneo lao la urithi hao wapalestina wavamizi,Soma historian vizur,hao wapalestina wamekuja baada ya wayahudi kuondolewa na warumi kihistoria pale sio kwao wanapaswa waende Jordan au Saudi Arabia ndo kwao.
 
Inajilinda? Are you insane? Yaani Israel inaikalia Palestina kimabavu kwa miaka 70 sasa alafu anayeonewa akijipambania kupata uhuru unasema mvamizi anajilinda? Kwahiyo Putin naye anajilinda Ukraine?

Huu ndio unafiki anaosema mtoa mada
Acha unafiki Hakuna ardhi inayokaliwa ya wapalestina eneo lote Ni la wayahudi kupitia baby yao Yakobo,Mungu aliwapa na Lina mipaka yake
 
Kihistoria Ukraine ni sehemu ya urusi..... vipi una maoni gani kwa Putin kuchukua eneo la urusi kihistoria? Au Idd Amin alikua sahihi kupora Kagera kisa ilikua kihistoria ina roots za Uganda?
Burundi na Rwanda na sehemu ya Mombasa je Ni sehemu ya Tanganyika?
 
Hakuna ardhi ya waislamu,pale Israel pale Ni eneo lao la urithi hao wapalestina wavamizi,Soma historian vizur,hao wapalestina wamekuja baada ya wayahudi kuondolewa na warumi kihistoria pale sio kwao wanapaswa waende Jordan au Saudi Arabia ndo kwao.
History hio ndio uliofundishwa kanisani?
 
Upunguani huyu Malaria 2 ni wa hali ya juu kabisa.

Ati "Allah kasema hivi mara Allah kasema vile..." nani kamuona na mnasema hana mfano wake.

Ndugu yangu Malaria umelishwa Saundi mpaka umeumuka.
 
Ukiwa kipofu ukasoma kwa upofu hautaweza kujiona kama responsible humanbeing.

Kwahiyo kama hawajalaaniwa hao magaidi kunatoa haki kwa raia zaidi ya. 30,000 kuuawa kinyama?

Waisrael waliopoteza maisha kwenye shambulio la kigaidi ni 1,200. Je unatamani wafe Wapalestina wangapi kufidia vifo vya waisraeli waliouawa na magaidi wa Hamas?
Wapalestina wataendelea kufa ikiwa hamas itaendelea kuwashikilia mateka na kukataa kuwaachilia na kuendelea kujificha nyuma ya raia
 
Duniani kote kila Bara kuna mapigano yanayoendelea huku kukiwa na ushawishi sifuri kwenye kusitisha hizo vita. Ninasema mapigano kwa sababu sehemu kubwa ya mapambano hayo yametokana na ushawishi wa makundi yanayolenga kufaidika na vita hizo. Kinachoendelea Ukraine na Urusi ni vita kamili kwa sababu pande zote wanaumizana na kila upande una uwezo wa kujibu mashambulizi ya kutoka upande hasimu. Anayelaumiwa hapo ni Urusi

pale Gaza, kinachoendelea siyo vita (kwa tafsiri yangu), bali ni mauaji ya halaiki ambayo yanadhaminiwa na Umoja wa Ulaya na Marekani kuisaidia Israel kuua watoto, wanawake na watu wa taifa la Palestina. Kwa nini nasema ni mauaji ya halaiki, ni kwamba Israel inatumia zana zote za kivita dhidi ya taifa ambalo kimsingi halijaingiza jeshi lake vitani. Hakuna zana wala kifaa chochote za kivita cha Taifa la Palestina zilizoingizwa vitani. Hakuna jeshi la Palestina lililopo mstari wa mbele kulinda mipaka yao ambayo inaingiliwa bila huruma na Israel. mauaji yanayoendelea yamejengwa kwenye dhana ya kupambana na ugaidi ambapo hata watoto na wanawake ambao kimsingi ni vulnurables kuwa wanawaficha magaidi. Ukiangalia ndani zaidi majuzi hapa Wafanyakazi wapatao 7 wa World Kitchen Centre wameuawa kwa kulengwa na vikosi vya Israel. Shirika hilo lenye makao yake makuu Marekani ndilo pekee lililosalia Gaza kutoa msaada wa kibinadamu ya chakula na maji safi. Hilo linajiri kwa sababu Israel imefunga mipaka ya kila kona kuzuia misaada ya kibinadamu kuwafikia Wapalestina waliokusanywa eneo la Kaskazini. Humu kwenye mitandao wamejaa washabiki wa kila namna bila kutafakari madhara na madhila yatokanayo na hizi tabia za kuuana kwa kujitetea kulinda utu na ustawi wa wauaji. Lakini anayelaumiwa kwenye mauaji haya ni Palestina

Afrika kuna mapigano karibia eneo kubwa la Bara hili, huku viongozi wa nchi za bara hili yaani zinazounda Umoja wa Afrika wakiendelea kujimwambafai pale Addis Ababa kwa robusta na aina kede za kahawa zinazopatikana mjini hapo. Karibia viongozi wote wapo handicapped kifikra kwa kuweka matumaini makubwa kwa nchi zilizoendelea hususan mataifa yanayotengeneza na kusambaza kwa wingi silaha na zana za mauaji duniani. Sisi Tanzania tumepeleka vikosi vya kulinda amani kwenye mataifa hayo na tunachoambulia ni kuwazika vijana wetu wanaouawa kwenye conflicts hizo zisizo na kichwa wala miguu.

Tutafakari haya


  1. DRC mapigano yanayoendelea, kwa nini hakuna juhudi za kumaliza mapambano yale? Kwa nini wanaouawa ni raia ambao siyo wahusika wa tofauti za kusaka madaraka baina ya makundi yanayopigana?
  2. Juba, mapigano yanayoendelea baina ya vikosi vya Serikali inayoongozwa na Salva Kiir na vikosi vya aliyekuwa makamu wake Riek Machari, mapigano hayo yanasababisha wakimbizi na mauaji ya kutisha kwa wananchi ambao kimsingi siyo sehemu ya ugomvi huo. Je nini kinafanyika kumaliza vita hiyo?
  3. Sudan Kaskazini, vita ni kubwa baina ya vikosi vya serikali na majenerali waliojitenga. wote wanasaka madaraka kuwaongoza watu ambao wanawaua kila kukicha kwa silaha zao... Nani wa kuzuia haya mauaji yasiendelee?
  4. Somalia bado ipo kwenye mapigano ya wenyewe kwa wenyewe
  5. Msumbiji imerudi kwenye kupigana vita vya msituni kutokana na vikundi vya kigaidi kujiimarisha Kaskazini mwa nchi hiyo. Eneo la Cabo Delgado siyo salama kwa raia kuishi kwa sababu wanachinjwa na kutishiwa usalama wao kila kukicha. Matukio hayo yanafanyika jirani na mpaka wa Tanzania na baadhi ya matukio yamejiri ndani ya ardhi ya Tanzania....
  6. Uganda, hakujatulia mapambano ya msituni yanaendelea
  7. Afrika Kaskazini ipo katika hekaheka ya mapambano ya msituni ndani ya nchi nyingi za mataifa ya eneo hilo.
  8. Syria, imekuwa vitani hususan dhidi ya mataifa yanayoongozwa na Marekani wakimpinga rais wa nchi hiyo, na kusababisha maafa makubwa ndani ya taifa hilo.
  9. Yemen, imekuwa katika vita inayopewa chapuo na mataifa makubwa ikiwemo Marekani
  10. Libya, ipo ndani ya Afrika lakini Mataifa makubwa chini ya kibali cha Umoja wa Mataifa yalienda kuua raia ili kumng'oa Gadaffi maradakani na hatimaye kumuua. na mpaka leo hakujatulia....
  11. Mifano ni mingi sana nsana.
Sasa tujiulize:
  1. Sisi Watanzania, tunapata wapi ujasiri wa kushabikia hizi vita zinazopiganwa duniani?
  2. Je, kwa sababu tunaishi kwa amani, tunayachukuliaje maisha ya Watoto na wanawake kwenye maeneo ya vita?
  3. Taifa letu, linapowapeleka vijana wetu kulinda amani kwenye maeneo ya vita, Ni amani ipi inayolindwa ikiwa hakuna upokonyaji wa silaha kwa mahasimu wa vita?
  4. Tunafaidika nini na ukimya ama kuchukua pande baina ya mahasimu wa kila vita?
  5. Taifa limejiandaaje ama linawaandaaje watu wake hususani kukabiliana na changamoto za Vita zinazopiganwa karibu na mipaka yetu?
  6. DO WE CARE?
Walicho kifanya hamas ni sawa sawa na Mtu mwenye jicho moja halafu anaenda kucheza disco vumbi.
 
...Walifanya uovu, walitakiwa kulaaniwa ila hawakulaaniwa kwa tukio lao.
Kwa kusema hayo unajustify upuuzi unaoendelea Gaza. Umetiwa upofu na udini na hata unapojitahidi kuchomoka unarudi huko huko
Nafsi yangu inahusika vipi na vita ya mwisrael?
Hamas walilindwa na sheria ipi kufanya ugaidi ule?
Hakuna sheria inayowapa Hamas kufanya mauaji na uhalifu mwingine. Hakuna sheria ama kanuni inayowahalalisha Israel kuua watu wasio nasaba yao kwa kigezo cha kukalia maeneo yao kinguvu. Tatizo lako na wengine ni kwamba, kila anayehoji ni mpizani. Hao Waisrael unaowaona leo siyo wale unaoambiwa kwenye vitabu
Uwasilishaji wako tu Tayari ulikuwa unalalia upande mmoja. Uliongelea anachofanya mwisrael ukanyamaza kuhusu alichofanya Hamas.
Unaponipangia namna ya kuwasilisha hoja, ina maana moja tu! nayo ni upuuzi uliomezeshwa na CCM kuamini kwamba kila mtu anapaswa kuwaza sawa na wewe
 
Back
Top Bottom