Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Kakaliwa kwa nyuma..............Simba kapakatwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kakaliwa kwa nyuma..............Simba kapakatwa
Kasokonyolewa kamoja tuKakaliwa kwa nyuma..............
Tutayasikia yote safari hii. 😂😂😂Kwakweli nisipepese macho wala nisimumunye maneno, tumechemsha kwenye usajili, kuanzia kwa wachezaji hadi kocha. Kwa kifupi MO anapigwa pesa zake na wajanjawajanja pale Simba
Jamani OKW BOBAN SUNZUKocha manina zake,simuungi mkono asepe pumbavu kabisa
Wanayasema yote utadhani wamechomwa sindando ya kuondoa ufahamuNipo Kaka ake. Yaani nacheka tu leo posts toka kwa Watani.
Yani hawajuagi kujizuia kabisa. Yanawatoka tu. 😀😀😀
Hahahaaa. Pole kwake.🤣
Namuonea huruma mkwe wangu,huko halipo sidhani kama hata usingizi aliupata 😂😂
Yetu yatakuwa macho tu Swahiba huku tukicheka hihihihihiiiiiiiNew bakuli loading.. in town 🤣,kama nawaona vile mikia wanavyojifikiria kutembeza bakuli 😂😂
Kabisaaaa. Mpira hauchezwi kwenye page ya Manara sababu ukiwasoma wanavyojimwambafy mpaka unabakia mdomo wazi.Sasa angalia kikosi chetu kilichotolewa na mtibwa kwa matuta na kikosi cha mikia kilichopigwa kimoko ndani ya dk 90,yan mikia inabidi waelewe mpira auchezwi magazetini au insta 😂
Hivi bado upogo ule?
Kabisa aendege tu mbona wenzetu Yanga wanatembeza bakuli na maisha yanaenda. Teh tehTena aende mbona yanga wao wanaendesha team sisi tushindwe tuna nini
Aendeeee zake bhana
Wadada wa buza wanasemaga Akwenduleeeeee zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Wafuate huko huko mana hapa watajifanya hawaoni tags zetu wakati wote wanatumia browser.
😂😂😂😂 wavumilie tu dawa iwaingie.Wanayasema yote utadhani wamechomwa sindando ya kuondoa ufahamu
🙈🙈
mmekwishaaaHuyu kocha anapima upepo wa Wanasimba, ngoja waaanze kucheza na majukwaa tupu ndio ataelewa kuwa hatupendagi ujinga. Rashid Juma, Ndemla na Shamte ndio wa kucheza fainali kweli😭😭😭
ndoo ya majiWala hofu sina....mnyama anabeba ndoo.!!