TRANQUILITIST
Member
- Oct 28, 2012
- 84
- 35
Unasumbuliwa na udini tu. Misimamo isiyo na maana ndo inawafanya kuwa magaidi wa kuua bila hatia. Shame on you.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dereva Tax akimpeleka mjamzito Hospitali na mama akajifungua salama , yeye Dereva Tax hawi baba wa yule mtoto
Niliwahi kumkuta jamaa mmoja na mke wake Jangwani mama akiwa hatua za mwisho kujifungua, nikawapeleka hospitali ya muhimbili, after 40 minutes baba/mme wa yule mama akanipigia simu kunishukuru
Okello alitumiwa tu na ndio maana historia yake haieleweki, Uganda, tanzania na kenya wote kwa nyakati Tofauti wame enjoy services za Okello
All in all dhana ya ubaba kwa taifa fulani is very very questionable and debatable
Bramo na Waberoya
===>Wazanzibari wana hulka ya ubinafsi na ubaguzi,nenda tandika,magomeni,kariakoo na tanga maeneo ya chumbageni (Mtupie) utaona jinsi life style ilivyo,uchoyo,ubinafsi kujitenga tenga ndio chachu ya mfumo wao wa maisha
===>Siwalaumu maana nafikiri ni urithi walioachiwa na baba au babu zao,hata zanzibar wako hivi hivi wenyewe wenyewe tu,
===>Namshukuru Mungu Tanganyika yangu hiyooo inakuja tutachora mstari muda si mrefu na heshima itarudi mahali pake.
Nani amekwambia John Okello ni shujaa acheni kupotosha historia mbona huko Tanganyika Nyerere mumewatupa katika historia wazee wa Gerezani.
okello ni jitu shenzi lisilo na huruma lime2ulia wazee we2 et limridhshe yesu,aman karume nae limbukeni asie jielewa kaiuza nch ye2 kwa jambazi nyerere,mshenz aliesema angeweza angei2pa znz bara la mbali,znz haina baba wa taifa km wanavyotaka wakatoliki 2fuate mila zao z kikafiri,znz ina watawala walioleta ustaarb znz mpk huko kwenu tanganyika,kina sultan said na wengne achen kasumba z u2mwa mlizolishwa na wazungu,hko ulaya nd kumejaa half cast kbao
ulichokosea ni kudhihirisha lile la moyoni! Inawezekana sababbu ikawa kweli ni hiyo ila kwasababu wenyewe walioiandika historia ya Zanzibar hilo lako hawakuliweka itakuwa ngumu kukusapoti! Ningekushauri ufute neno moja tu kwenye thread yako hii kutapatikana cha kuchangia vinginevyo huu uzi nautabiria kufutwa muda si mrefu!
Bramo na Waberoya
===>Wazanzibari wana hulka ya ubinafsi na ubaguzi,nenda tandika,magomeni,kariakoo na tanga maeneo ya chumbageni (Mtupie) utaona jinsi life style ilivyo,uchoyo,ubinafsi kujitenga tenga ndio chachu ya mfumo wao wa maisha
===>Siwalaumu maana nafikiri ni urithi walioachiwa na baba au babu zao,hata zanzibar wako hivi hivi wenyewe wenyewe tu,
===>Namshukuru Mungu Tanganyika yangu hiyooo inakuja tutachora mstari muda si mrefu na heshima itarudi mahali pake.
Wana Jamvi,
Sote tunakumbuka mapinduzi ya Zanzibar ya Jabuary 1964, yaliyoongozwa na kamanda mpambanaji Field Marshal John Okello na kufanikiwa kuiondoa serikali ya sultan wa Zanzibar Bin Sayyid, na hatimaye kuipandisha bendera za Zanzibar kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi hiyo.
Tunakumbuka wakati John Okello anaongoza mapinduzi yale, aliyekuwa rais wa kwanza wa Zanzibar hayati Abeid Amani Karume alikuwa yupo Dar Es Salaam na timu yake ya ASP.
Tunakumbuka baada ya mapinduzi John Okello alimwita Karume arudi Zanzibar na kuunda serikali haraka.
Cha kushangaza kama siyo kusikitisha, baada ya Karume kuunda serikali, baada ya kutafakari kwa kina na kwa vile kamanda wa mapinduzi alikuwa mkristo, na wao ni waislamu, ilitolewa amri Okello awe ameondoka Zanzibar ndani ya masaa 24.
Hiyo pia siyo hoja sana, bali hoja ni kwamba kwa vile Okello alikuwa na mchango mkubwa kwa zanzibar, mbona hakuna mahali anakumbukwa? inaposomwa historia ya mapinduzi kwanini hakuna hata mmoja anayeitaja jina la Okello? Kwanini ni ngumu ndugu zangu kumtaja Okello midomoni mwao? au kwakuwa ni mkristo?
Wazanzibar kama mna nia njema na mapinduzi, na kama kweli mna hofu ya Mungu basi mkumbukeni Kamanda Okello, vinginevyo hiyo dhambi itawatafuna maisha yenu...
John Gideon Okello (1937, Lango District, Uganda 1971?) was an East African revolutionary and the leader of the Zanzibar Revolution in 1964. This revolution overthrew Sultan Jamshid bin Abdullah and led to the proclamation of Zanzibar as a republic.