Ulimwengu Mbaya
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 1,218
- 840
Na yule mkurugezi was Kibamba ajiangalie sanaYaani CCM nawahurumia sana
Na mwaka huu tume haitakubali kuwabeba upepo ukiwa mbaya yaani mtapata tabu Sana
Lissu atapitishwa tena mapema Sana hakuna mtu ambaye haipendi Tanzania ambaye atakubali ujinga kuchafua nchi.
Sio tume sio watu wa usalama mwaka huu watu wanasimama na umma.
Hapa pia anajiuliza,mtu huyu ambae hajapitishwa na Tume, anaitwaje mgombea uraisi?[emoji1548][emoji1752]MATAGA,Lissu anaingia wapi hapo kwa hoja ya kufanya kampeni kabla ya wakati?
Umefanya jambo la maana sana kuleta hii habari.
Hapa pia anajiuliza,mtu huyu ambae hajapitishwa na Tume, anaitwaje mgombea uraisi?
Sasa kuna maana gani ya kumuwekea pingamizi mtu asigombea na hapo hapo tayari anatambulika/anatajwa kama mgombea?
Je,tumekosa msamiati wa kiswahili katika hili au mimi ndio sielewi?
Kuanza Kampeini mapema ni kosa chini ya sheria za ndani za CCM lakini sio kwenye sheria za nchi.[emoji1752][emoji1548][emoji1545]Kuanza Kampeini mapema (pre-mature election campaign) sio kosa chini ya sheria za uchaguzi za Tanzania. Kuanza Kampeini mapema hakumuondolei mtu sifa za kugombea Urais katika Sheria za Uchaguzi za Tanzania.
Kuanza Kampeini mapema ni kosa chini ya sheria za ndani za CCM lakini sio kwenye sheria za nchi.
si usome?
johnthebaptist engineer soma hiyooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
..na Magufuli namba 3 inaondoka naye.
Na Jpm pia, kumbuka jogoo laki moja, na mchango wa milioni 5 wa kujenga choooHapo namba 15 inaondoka na lisu.
Safari hii wakataji ni wenye nchi yao, nyie endeleeni kulialia tu.Si mnasema metekeleza ilani 100%? Yeyote aweza katwa, jpm au lissuAkatwe tu kwa kweli. Watumie sababu yoyote ile, la sivyo atatupa shida sana!
Hiyo namba 15 pingamizi linawekwa na msimamizi wa uchaguzi pekee na siyo mtu mwingine,Hilo linahusiana na gharama siyo rahisi kumfutaHapo namba 15 inaondoka na lisu.
Hakuna mgombea wa kushindana na jpm wa upinzani kati ya wale 16 waliochukua fomu nje ya lissu, hakunaaa.lissu ndo anayestahili.Hivi kwanini anahofiwa sana mtu huyu? Najiuliza sipati majibu, unajua team nzima kuwa na hofu iliyopitiliza juu ya mtu fulani si jambo dogo
MATAGA,Lissu anaingia wapi hapo kwa hoja ya kufanya kampeni kabla ya wakati?
Umefanya jambo la maana sana kuleta hii habari.
Hapa pia anajiuliza,mtu huyu ambae hajapitishwa na Tume, anaitwaje mgombea uraisi?
Sasa kuna maana gani ya kumuwekea pingamizi mtu asigombea na hapo hapo tayari anatambulika/anatajwa kama mgombea?
Je,tumekosa msamiati wa kiswahili katika hili au mimi ndio sielewi?
Unaanzaje kampeni wakati sio mgombea? Kisheria hakuna hicho kitu, hayo ni maneno ya vijiweniAmemuiga magufuli kuanza kampeni mapema
Haahaaa, watawala wamebanwa, umma utaamua kwenye sanduku, sio kutegemea mbeleko ya tume, polis wala uhamiaji.Nadhani kosa la Lissu ni kuleta usumbufu usiotakiwa.
Ahaa, kwahiyo lengo ni kupunguza nguvuHakuna mgombea wa kushindana na jpm wa upinzani kati ya wale 16 waliochukua fomu nje ya lissu, hakunaaa.lissu ndo anayestahili.
NDIVYO AKILI ZENU ZILIPOISHIA NZI WA KIJANI
Yeah, ccm imechokwa sana inalazimisha, ndo maana wanapambana kuengua wagombea wa vyama vya upinzani kama walivyoanza Kule tundumaAhaa, kwahiyo lengo ni kupunguza nguvu
Wenzio wanahaha kutumia tume, mapolis ili asipitishwe kuwa mgombea, moto wake wanaujua.lissu ni motooooMbona mnatia huruma hivyo! Lissu tunamkatafunua kwenye sanduku mapema sana ili azidi kuchanganyikiwa! TL hawezi kuwa Raisi wa Tanzania, labda awe raisi wa Twitter.
Kwa mujibu wa sheria na katiba ya ccmTumesoma na hatujaona kipengele cha kumuengua Lissu. Sasa wewe tuonyeshe pale anafall wapi ili aenguliwe?
Kwann hujui kama ccm huwa inatumia maneno ya mitaani kuhalalisha uhuni wake ?Unaanzaje kampeni wakati sio mgombea? Kisheria hakuna hicho kitu, hayo ni maneno ya vijiweni