Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,525
- Thread starter
- #281
Mwaka huu IEBC inaweka historia - Otiende Amollo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini mkuu?Odinga Rais
This one is the bombshell.., nangoja nione rebuttal ya IEBC na Lawyers wa Ruto.., hii inaeza kua sababu ya kufanya uchaguzi urudiwe if they don't deconstruct hii ushahidi sufficiently .., 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥Julie Soweto; Jose Camargo ndiye mtu aliyeamua Rais ajaye wa Kenya.
View attachment 2342984
Huyo anaitwa Attiende Amolo moja kati ya vichwa vya hatari sana kawamaliza jamaa. The thugs hv been cought pants downKazi ipo
Imeisha hiyo haina rejoinder infact alikuwa anafafanua swali aliloulizwa na Justice Lenaola.....kwamba how can votes magically be changed in the airThis one is the bombshell.., nangoja nione rebuttal ya IEBC na Lawyers wa Ruto.., hii inaeza kua sababu ya kufanya uchaguzi urudiwe if they don't deconstruct hii ushahidi sufficiently .., 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥
Na hakuna aliyetegemea hili.This one is the bombshell.., nangoja nione rebuttal ya IEBC na Lawyers wa Ruto.., hii inaeza kua sababu ya kufanya uchaguzi urudiwe if they don't deconstruct hii ushahidi sufficiently .., [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
Iliwafanya wa upande wa pili kupanic.Wamejikuta wamepigwa na kitu kizito bila kutegemeaImeisha hiyo haina rejoinder infact alikuwa anafafanua swali aliloulizwa na Justice Lenaola.....kwamba how can votes magically be changed in the air
Mbona hiyo hoja imejibiwa vzuri tuIliwafanya wa upande wa pili kupanic.Wamejikuta wamepigwa na kitu kizito bila kutegemea
Kwa mtazamo wako ni sawa.Kwa upande wangu hapana haijapanguliwa.Mbona hiyo hoja imejibiwa vzuri tu
Ni kweli ni mtazamo tu ukizingatia hujawahi endesha kesi yeyote au kuamua hata inayohusiana na wizi wa baiskeli.Kwa mtazamo wako ni sawa.Kwa upande wangu hapana haijapanguliwa.
Kuna tatizo kwani Mh sana Chief Justice wa Mahakama ya upeo JF.Ni kweli ni mtazamo tu ukizingatia hujawahi endesha kesi yeyote au kuamua hata inayohusiana na wizi wa baiskeli.
Tatizo lipo tena kubwa sana tu.Kuna tatizo kwani Mh sana Chief Justice wa Mahakama ya upeo JF.
Mawakili wa utetezi wameiomba mahakama ya juu kutupilia mbali kesi dhidi ya matokeo ya uchaguzi, maana Odinga na jopo lake wameshindwa kuthibitisha madai yao.who do you think you are to reason such thing?
Nyie ndo mnafanya hii nchi inakuwa ngumu sana
Haaaa! Dada upo?Kuna tatizo kwani Mh sana Chief Justice wa Mahakama ya upeo JF.
Wewe ungekuwa na upeo nayo usingekuwa unapuyanga hapa,ungekuwa pale kwa jopo la Majudge au hata kwa Learned Friends ukidefend hoja.Midhari uko hapa unapiga porojo,na wewe huna ulijualo kama mimi hapa.Tatizo lipo tena kubwa sana tu.
Unazungumzia maswala ambayo huna utaalam nayo.
Nipo Kaka,nasubiri Jumatatu CJ amalize ubishi wetu.Salama lakini?Haaaa! Dada upo?
Wewe ungekuwa na upeo nayo usingekuwa unapuyanga hapa,ungekuwa pale kwa jopo la Majudge au hata kwa Learned Friends ukidefend hoja.Midhari uko hapa unapiga porojo,na wewe huna ulijualo kama mimi hapa.