Mara ya kwanza nakanyaga Kigoma na niliyoyaona huko

nitatembelea kigoma nile hao "samaki fresh toka baharini mkuu"
 
Barabara lami almost imekamilika imebaki kipande kidogo kama cha km 20 Kibondo to Kasulu.

Buhigwe sababu ya namba 2 imeanza kukua na watu wameanza kuwekeza.
 
Kigoma mtu ufike ujionee mwenyewe.. kuna stories zinaongelewa nje ya Kigoma kuhusu Kigoma hazina hata ukweli.

Nilifika Kigoma nikaiona kwa macho na kuwaona wenyeji wa mkoa husika.
 
Kigoma mtu ufike ujionee mwenyewe.. kuna stories zinaongelewa nje ya Kigoma kuhusu Kigoma hazina hata ukweli.

Nilifika Kigoma nikaiona kwa macho na kuwaona wenyeji wa mkoa husika.
Stori kama zipi sio za kweli!?.
 
Kule hakuna pisi kali ukiona shepu zao ni kama wanapiga chafya na vichwa km wabondwa matofali , uzuri ni wavumilivu sn kwenye ndoa ni wife material..
Weeeee nani kasema kigoma hakuna pisi kali!? Wamejaa telee
 
kwa hawa waha ambao wamemeza mbegu za sidiko warefuke lakin mbolea haikufanya kazi vifupi kama mitungi ya gesi maybe uliona waha wa burundi na congo
 
Wimbo la wahamiaji toka mikoa ya shinyanga na mwanza hususani wasukuma wanaotumia wanyamakazi kwa ajili ya kilimo wameongeza uzalishaji wa chakula mara dufu km zao la Mpunga.
 
kwa hawa waha ambao wamemeza mbegu za sidiko warefuke lakin mbolea haikufanya kazi vifupi kama mitungi ya gesi maybe uliona waha wa burundi na congo
Kwani mnadhani waliopo kigoma wote ni Waha!? Jpo makabila mengi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…