Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #181
Ahahhh wewe mbona huelewekiMi lain ya haina namba naunga tu bando nafanya shughuli zangu mtandaoni sjawahi pigia mtu......kifup sina ishu na kenge yeyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahhh wewe mbona huelewekiMi lain ya haina namba naunga tu bando nafanya shughuli zangu mtandaoni sjawahi pigia mtu......kifup sina ishu na kenge yeyote
ha wewe si umesema umtaki huyo?😂koma
Kumbe ni chalii ya apo fyade
😏😏😏Soma tenaAhahhh wewe mbona hueleweki
Hahaha hujawai acha mtu salamaUkute we mwenyewe hapo ndio kenge 🤣
Na contacts wako wanakuona hauna inshu 🙆♀️
Kwani kuna shida?achana na huyo dogo Johnnie Walker ubongo umeyeyuka kazi kuitemea mate dyudyu yake
Sasa ntakupa vipi mzee Nikikupa maana yake itakua haina umuhumu kwanguUkipata mzee nilushie na mimi
utapoteza kumbukumbu itafika mahali hadi jina lako hukumbuki 😂 pia kuna swala la magoti legevu...Kwani kuna shida?
Mh mimi nikiua ata kufuta ya ndugu yangu na futa na akipiga namuuliza nani sijakujuaNilifutaga namba za mtu. La haulaaa siku isiyo na jina nina shida… yuko ofisi flani ya umma.. watu tunaingia sana.
Nilikoma….
Sasa mzee si maisha kusaidia usinikunjie namba tuSasa ntakupa vipi mzee Nikikupa maana yake itakua haina umuhumu kwangu
Wakati huo nataka kugundua nini?😏😏😏Soma tena
Ahahah wewe achana na mimi bwana wewe si unayako ukiona nafaidi na wewe tumia yakoutapoteza kumbukumbu itafika mahali hadi jina lako hukumbuki 😂 pia kuna swala la magoti legevu...
shindwa na ULEGEZWE 😂Ahahah wewe achana na mimi bwana wewe si unayako ukiona nafaidi na wewe tumia yako
Half american njoo uchukue mpwa wako bhna anasumbua ashibi dona 😂😂shindwa na ULEGEZWE 😂
Mitatu🤣🙌hebu ngoja kwanza.... 😂 una miaka mingapi wewe😂
Usisahau kuandika kwa herufi kubwaNgoja kwanza kuna namba muhimu sana naisave nitarudi kuchangia Uzi.
Naongeza na Bold juu yake pia.Usisahau kuandika kwa herufi kubwa
Emoj vip?Naongeza na Bold juu yake pia.