Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimesikia amefichwa Tanga 😁Sijui yupo wapi simuoni ningemuuliza
Hayo namuachia mwenyewe na aliemficha huko mafichoni, ila tanga raha 😅Nimesikia amefichwa Tanga 😁
Ntakupunguzia uzito usiwaze
pesa sina ila uzito nnao 😂
Utakondeana ubaki mifupa wakushtak kwa mahonda waseme unakula ngada.
fanya uongoze hizo kilo utatufuliwa kizazi sasa hivi...😂last week,41kg na urefu 151cm
Anabeba vizuri sana, mimi 2007 nilikuwa na 45KG ila GYM Bench nilikuwa napush 80KG na hapo nilikuwa na 21yrsHapa mkuu huwezi kubeba mfuko wa Cementi kutoka sehemu moja mpaka nyingine
😂😂 Nitakujibu badae kenge weeUtakondeana ubaki mifupa wakushtak kwa mahonda waseme unakula ngada.
Bora nimekuzidi weweabout 6ft, 53Kg....mpango wangu, kamwe sitakiwi kuvuka kilo 58...
Ushalewa asubuhi yote hii 😂😂😂 Nitakujibu badae kenge wee
68
Irefu sikwambii😄