Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)

Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)

Kwa hiyo MUNGU wa kweli ni poweless kutibu magonjwa yasiyotokana na spiritual problems? MUNGU wa kweli asiyeweza kutibu ugonjwa wowote akitaka huyo siyo MUNGU bali ni devil.
Je tuongee philosophy au believes!?
Philosophical point of view:-
Je Mungu anaweza kuumba jiwe kubwa na zito na aisweze kulibeba!?
 
Je tuongee philosophy au believes!?
Philosophical point of view:-
Je Mungu anaweza kuumba jiwe kubwa na zito na aisweze kulibeba!?
Definitely no. God's is not constrained by any law of nature, And the bible and other human experiences holds that.
 
Mkuu una uhakika uliona malaika [emoji1787][emoji1787]isijekua uliona mzuka!!!!

Mm kwa kweli natamani kuielewa story yako ila ilivyo ndefu naona uvivu kusoma yote [emoji276]km una audio ntumie.
 
Mkuu una uhakika uliona malaika [emoji1787][emoji1787]isijekua uliona mzuka!!!!

Mm kwa kweli natamani kuielewa story yako ila ilivyo ndefu naona uvivu kusoma yote [emoji276]km una audio ntumie.
In the end, ameshaanza ku-question uwezo wa MUNGU kufanya lolote atakalo. Down the road,the devil will showup himself 🤣 🤣 .
 
Definitely no. God's is not constrained by any law of nature, And the bible and other human experiences holds that.
Mzee usitake kututisha kutokana na imani yako mzee. Nimekuuliza swali unaanza kuleta porojo. Unamjua Mungu au ulifuata mapokeao tu mzee!?
 
Mzee usitake kututisha kutokana na imani yako mzee. Nimekuuliza swali unaanza kuleta porojo. Unamjua Mungu au ulifuata mapokeao tu mzee!?
Don't behave like a kid- wapi nilipokutisha? Unaamini malaika halafu humwamini MUNGU aliyem-create? what a stupid argument
 
Don't behave like a kid- wapi nilipokutisha? Unaamini malaika halafu humwamini MUNGU aliyem-create? what a stupid argument
Mzee unataka kunilazimisha imani yako!? Mbona unaanza kutoa maneno makali!? Hapa naongelea kile nilichokiona wewe unaleta ubishi.

Nimekuuliza swali unamjua Mungu au umesimuliwa tu!?
 
Mzee unataka kunilazimisha imani yako!? Mbona unaanza kutoa maneno makali!? Hapa naongelea kile nilichokiona wewe unaleta ubishi.

Nimekuuliza swali unamjua Mungu au umesimuliwa tu!?
Very childish, hizi aspect za malaika na mambo ya imani aliyeleta hapa jukwaani ni nani au ulifikiri una argue na clueless peoples? Yes I know God, so what?
 
Very childish, hizi aspect za malaika na mambo ya imani aliyeleta hapa jukwaani ni nani au ulifikiri una argue na clueless peoples? Yes I know God, so what?
Mbona unachanganya lugha mzee. Andika kwa kiswahili au kwa kingereza pekee.
Nimekuuliza swali una mjua Mungu au umesimliwa!? Mimi nimekutana na malaika halafu wewe unabisha.

Basi leta taarifa yako kuhusu Mungu.
Acha makasiliko mzee.

Halafu unasema niache childish, umeona haya ni mambo ya kitoto mbona unayafuatilia!?
 
Binafsi nina uelewa kidogo na mambo ya kiimani.
1- Hakuna Malaika asiyekuwa na asili, wote waliumbwa na Mwenyezi MUNGU, hivyo malaika kukujibu kuwa hajatokea popote hiyo ni sign ya msingi ya kukuonyesha una-interact na angel of darkness. Malaika daima humtukuza Mungu.
2. Ni MUNGU pekee ambaye hakuumbwa, na wala hakutokana na kitu chochote, hvyo huyo malaika logically anajikweza kwamba alijiumba mwenyewe na wala si matokeo ya mikono wala kazi ya MUNGU, na hvyo ana-nafasi sawa na MUNGU mwenyezi wa milele.
3-Malaika anaposema hakuna aliye mkuu katika ulimwengu zaidi ya mwanadamu mwenyewe, je, ipo sawa kwendana na neno la MUNGU? if not, malaika huyo atakuwa anakwenda kinyume na neno la MUNGU, and logically hawezi kuwa the angel of light rather a demon. Malaika wa mwanga hawezi kutenda kinyume na mapenzi ya mwenyezi MUNGU daima.
4- Ni andiko lipi linalosema kwamba tuzo la mwisho la wenye kumtii MUNGU ni kupata uhalisia wao zaidi ya kukutana na MUNGU uso kwa uso katika utukufu wake? where? This is a demonic teaching
NB.Kwa yeyote mwenye uelewa, hii ni satanic teaching, and nothing else. Kila jambo hupimwa kwa neno la MUNGU.
Mimi nimemuelewa,
Malaika ni Mjumbe wa Mungu, anakuja kwa niaba ya MUNGU, Kwahiyo anasema "Mimi nilivyo ndivyo nilivyo" hii ni sifa ya MUNGU, Hakuna mwingine anayejitambulisha hivyo isipokuwa Yahwe.
 
Mimi nimemuelewa,
Malaika ni Mjumbe wa Mungu, anakuja kwa niaba ya MUNGU, Kwahiyo anasema "Mimi nilivyo ndivyo nilivyo" hii ni sifa ya MUNGU, Hakuna mwingine anayejitambulisha hivyo isipokuwa Yahwe.
Lakini unatambua kwamba mwandika mada haamini kwamba MUNGU ni supreme being? 🤣 🤣.
 
Lakini unatambua kwamba mwandika mada haamini kwamba MUNGU ni supreme being? 🤣 🤣.
Malaika huongea kwaniaba ya MUNGU, Jacob inaamika alipigana na MUNGU, Lakini ukweli alikuwa Malaika, Malaika anakuja na AUTHORITY kwa kuwa anapewa apeleke anakokwenda.
Natambua kuwa bado hajafika mwisho, mwishoni lazima Malaika wake atamtaja MUNGU.
 
Lakini unatambua kwamba mwandika mada haamini kwamba MUNGU ni supreme being? 🤣 🤣.
Mzee mbona unanilazimisha nisema unachofikiria!? Hebu soma uzi huu mwanzo mpaka mwisho.

Si vyema kujitungia mambo ambayo mwenye thread hajayaongelea. Huo ni uongo.
 
Malaika huongea kwaniaba ya MUNGU, Jacob inaamika alipigana na MUNGU, Lakini ukweli alikuwa Malaika, Malaika anakuja na AUTHORITY kwa kuwa anapewa anakokwenda.
Natambua kuwa bado hajafika mwisho, mwishoni lazima malaika atamtja MUNGU.
Soma post zake za mwishoni utamwelewa. Hanamini kwamba hakuna lolote linaloweza kumshinda MUNGU, na kwamba kuna mambo MUNGU hawezi kufanya ikiwemo kutibu baadhi ya magonjwa. Anaamini God's power is limited.Period
 
Soma post zake za mwishoni utamwelewa. Hanamini kwamba hakuna lolote linaloweza kumshinda MUNGU, na kwamba kuna mambo MUNGU hawezi kufanya ikiwemo kutibu baadhi ya magonjwa. Anaamini God's power is limited.Period
Unahangaika sana mwanangu. Badala ya kujadili mada umeanza kunijadili mimi.

Intelligent discuss issue, stupid people discuss personality.
 
Unahangaika sana mwanangu. Badala ya kujadili mada umeanza kunijadili mimi.

Intelligent discuss issue, stupid people discuss personality.
Kijana wa kiume punguza GUBU. Otherwise amia upande wa pili.
 
Kijana wa kiume punguza GUBU. Otherwise amia upande wa pili.
Hebu jadili hoja mtu wangu. Mbona umekuja na mambo ya ajabu.

Mimi nimesema nilikutana na malaika wewe unakataa. Sasa nikisaidieje!?
 
Watu wanatafuta maisha baada ya kifo. Kabla ya kuzaliwa na baada ya kufa, hakuna mtu anayeweza kumweleza mwingine. Maana kabla ya kuzaliwa experience ya maisha ni tofauti na sasa. Kila mmoja yupo na namna yake ya kueleza.

Lakini cha kujiuliza ni nini maana ya maisha!? Kama tunaongelea maisha kabla ya kuzaliwa au baada yakufa, na tunaleta tafsiri ya maisha ni kuvuta pumzi, kula, kuvaa na kustarehe, basi kabla ya kuzaliwa na baada ya kufa hakuna maisha.

Mtu anapozaliwa, anapoanza kupata elimu ya dunia huanza kufanya utafiti wa kujua mambo mbalimbali. Kuna vitu atajaribu kuvifanya, vingine vitamletea matokeo hasi. Je, ni nini maana ya mtoto kutafuta kujua kila kitu!? Ni kwamba anataka kujua experience ya existence yake mpya.

Watu wanauliza na wanatamani kujua baada ya kifo kuna maisha!? Kwa tafsiri ya ulimwengu wa mwili na tamaduni za ulimwengu wa mwili, mtu akifa maisha ndio yameishia hapo. Kumbukumbu ya kila mtu imetunzwa kwenye memory yake. Nasema sasa mtu yupo na aina mbili ya memory:-
Temporary Memory na
Inherited Memory

Hizi zote zipo kwenye mwili.
Sasa basi tunapoishi katika ulimwengu wa mwili ni vyema tukajua hakuna thawabu utakayopewa kokote kwa matendo ya mwili. Maana mshahara wa matendo ya mwili hutimizwa kwa matendo ya mwili. Hakuna kumbukumbu itakayobaki popote na kukufaidisha kutokana na matendo ya mwili. Baada ya kifo kumbukumbu za mambo ya mwili hubaki katika ulimwengu wa mwili.

Hakuna taarifa ya matendo ya mwili itakayokupatia thawabu kabla ya kuzaliwa na baada ya kuzaliwa. Mtu hujishuhudia mwenyewe na kutengeneza ulimwengu wake mwenyewe. Ndipo sasa mwenye ufahamu afahamu haya; mtu anajishuhudia mwenywe, mtu anatengeneza ulimwengu wake mwenyewe, yeye anakuwa mfalme, anakuwa Mungu na anakuwa muumbaji mwenyewe.

Sasa basi kama imani ya mwingine inakuudhi, ni bora ukajitenga naye ukawa mbali naye ili uweze kujifurahisha mwenyewe. Furaha yako hapa duniani unaijenga mwenyewe.

Mwenye ufahamu afahamu hayo....
Uko deep Sana mzee[emoji120][emoji120][emoji120]
Nuff respect
 
Niambie hapa Yesu alikuwa anaongelea nini!?
Soma biblia:-
43 Yesu akamwambia, Amin, nakuambia, leo hivi utakuwa pamoja nami peponi.
Luka 23:43
@Venus Star Ni maneno aliyokuwa anaambiwa yule bwana waliekuwa nae msalabani,
Aliomba akumbukwe katika uzima wa ufalme wa baba yake.
 
Oh pole sana.
Unaweza kuanza kwa kupunguza namna ya ulaji.
Unaweza. Lengo la kifunga ni kuufisha mwili ili uweze ku concetrate kwenyw roho. Utakapoudhoofisha mwili utapunguza matendo ya mwili ambayo yanatunyima kuwa na faragha kwenye roho.

Chanting:- ni kuongea maneno mafupi kwa kurudia rudia, au kuimba kwa kurudia rudia.
Mfano unaweza kusema:- "I CAN SEE" hii inaitwa kuingia spirituality by induction.

Maombi yenye nguvu ni matamshi ya maneno ya kitu unachokihitaji. Short and clear. Na unakuwa unarudia rudia.
Hili suala la kurudia rudia maana yake unaubia ubongo(akili) iweze concentrat na kitu unacho kitamka hatimaye nafsi itaanza kusikiliza kutoka katika ulimwengu wa roho kuliko kusikiliza kwenye ulimwengu wa mwili.

Hatimaye spiritual eyes will be open na utaanza kuona.
Hii inaendana na Third eye mkuu?@Venus Star
 
Back
Top Bottom