Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)

Mara yangu ya kwanza kukutana na malaika(1987)

Yaani hawa Malaika nimewasika weeee!! tangu nikiwa na miaka 13 na sasa ni mtu mzima nimejitahidi weeee niwaone wapi lkn bado mnanitamanisha mweee!!...skia David siku akija huyo Malaika mwambie nime mmiss sana yaani mie nimuone tu!!
Malaika ni kweli na Mungu ni kweli. Kimsingi ili uweze kuona inategemea na mahusiano yako na Mungu. Kutoka moyoni na nikiwa na dhamiri njema moyoni mwangu, nimewaona na kuwahisi malaika wawili. Nitaleta ushuhuda wangu juu ya Yesu, Malaika na Shetani. Hao wote nimeshawahi waona. Malaika ni kweli, zaidi ya miezi 6 nilikuwa nawaona na nahisi uwepo wao maishani mwangu.
 
Jesus Christ !

Endelea mtu wa Mungu!

Nahitaji kuonana nawe ana kwa ana you have something big to share with me!
Kasome biblia takatifu ndio muongozo wa Mungu aliyeziumba mbingu na nchi. Lakini haya anayoyaandika hapa si ya Mungu aliyeziumba mbing na nchi. Shetani huwa anajifanya naye ni malaika wa nuru na kukuletea porojo nyingi kama hizo na kama huna neno la Mungu atazidanganya fikra zako. Mwaka 2019 nilikuwa nataka kujifunzakutofautisha sauti ya Mungu na sauti ya shetani. Siku moja nilimsikia akiongea nami kwenye ndoto na alianza na maneno kwa jina la baba na la mwana na la roho mtakatifu akamalizia amina. siku ya pili asubuhi niliisika sauti yake nikiwa macho aliongea kwa kebehi sana. sikatai kuwa viumbe kutoka mbinguni kukutana na wanadamu maana mimi pia nimeshakutana nao lakini utawatambuaje hawani kundi la Mungu na hili ni kundi la shetani? uwe na neno la Mungu vinginevyo utapotezwa tu. ndiyo maana Mungu alitupa biblia takatifu iwe muongozo wetu tusipotee kwa udanganyifu wa shetani kama mfano wa huu.

2 Kor 4:3-4 SUV​

Lakini ikiwa injili yetu imesitirika, imesitirika kwa hao wanaopotea; ambao ndani yao mungu wa dunia hii amepofusha fikira zao wasioamini, isiwazukie nuru ya injili ya utukufu wake Kristo aliye sura yake Mungu.

2 Kor 11:14 SUV​

Wala si ajabu. Maana Shetani mwenyewe hujigeuza awe mfano wa malaika wa nuru.
 
Malaika ni kweli na Mungu ni kweli. Kimsingi ili uweze kuona inategemea na mahusiano yako na Mungu. Kutoka moyoni na nikiwa na dhamiri njema moyoni mwangu, nimewaona na kuwahisi malaika wawili. Nitaleta ushuhuda wangu juu ya Yesu, Malaika na Shetani. Hao wote nimeshawahi waona. Malaika ni kweli, zaidi ya miezi 6 nilikuwa nawaona na nahisi uwepo wao maishani mwangu.
Daaa! sawa bana ila nakuonea Gele sana!! but uendelee ivoivo!! ...utaona meengi zaidi!!! ila kuna waleee! watoto wa Shetani hawatakulewa!! kwa sababu Biblia imeandika Mwanamke ni Mama wa viumbe vyote!! sasa wale viumbe wa upande wa pili wa mwanamke hawajuagi kitu!.....

Naamini hii ni zaidi ya utajiri!
 
natamani kujua kama ww ulifunuliwa huo mwanga toka mwaka 1987
hadi sasa na ulisoma HAPO ilboru ww ni nani kwa sasa hapa nchini
un autajiri wa kiasi na umefanikiwa vp kuhusu mwanga uliopata toka huo....??
 
Malaika amekuambia nini kuhusu vita ya Urusi na Ukraine?
Za masaa wana JF.

Leo nimeona ni vyema kuwaletea kisa kilichonitokea mwaka 1987 nikiwa kidato cha tano huko Ilboru secondary school. Nilikuwa nikisikia tu habari za malaika kwenye ibada za kidini.

Siku hiyo niliamka usiku kwenda kusoma darasani kama kawaida yangu, yapata saa nane za usiku. Hakukuwa na mtu yeyote darasani bali mimi tu. Wakati naendelea na kubukua ghafla ukatokea mwanga mkali mbele yangu. Ukaniangazia, niliingiwa na hofu na kuanza kutetemeka. Mara nikasikia sauti ya binadamu ikitoka kwenye mwanga ule. Ikiinita jina langu David, David usiogope tazama hapa.

Nilijawa na nguvu na kukaza macho yangu kuutanzama ule mwanga. Ghafla nimuona kiumbe afananae na mwanadamu rangi yake ya silver inayong'aa sana. Mdomo wangu ulikuwa mzito nilishindwa kuongea. Yule kiumbe alinisogelea na kuniambia "Nimekuja kukupa siri ya ulimwengu" Ndipo kiumve hicho kilinigusa kidevu changu, nilihisi kupigwa shot ya umeme. Akaendelea kusema mimi ni malaika, nimekuja kujidhilisha kwako. Ndipo mwili wangu wote ulianza kutetemeka. Alinishika na nikajikuta nipo katika eneo ambalo sijawahi kuliona ni zuri sana.

Akaniambia hapa ndipo huja watu wanapokufa duniani. Alinionesha watu mbalimbali waliokufa, walikuwa pale wakiwa na furaha. Nilimuona mwalimu wangu wa Hisabati kidato cha pili aliyekufa kwa ajali ya gari. Nilimuona akiwa na furaha.

Malaika huyo aliniambia usiogope kuhusu kifo maana ni sehemu ya ukamilisho.

Ni mambo mengi mno niliyapata siku hiyo. Kwa leo naongelea haya tu. Mpaka sasa malaika mbalimbali huwa wanakuja. Nimeshawazoea na tunaongea nao mambo mengi tu.

Nitakuja kuwaeleza namna yetu sisi tulivyofungwa kwenye kifungo cha hapa duniani. Na namna gani ya kuuona ulimwengu wote.

Asante kwa sasa.
Wenu mtiifu D.
 
Za masaa wana JF.

Leo nimeona ni vyema kuwaletea kisa kilichonitokea mwaka 1987 nikiwa kidato cha tano huko Ilboru secondary school. Nilikuwa nikisikia tu habari za malaika kwenye ibada za kidini.

Siku hiyo niliamka usiku kwenda kusoma darasani kama kawaida yangu, yapata saa nane za usiku. Hakukuwa na mtu yeyote darasani bali mimi tu. Wakati naendelea na kubukua ghafla ukatokea mwanga mkali mbele yangu. Ukaniangazia, niliingiwa na hofu na kuanza kutetemeka. Mara nikasikia sauti ya binadamu ikitoka kwenye mwanga ule. Ikiinita jina langu David, David usiogope tazama hapa.

Nilijawa na nguvu na kukaza macho yangu kuutanzama ule mwanga. Ghafla nimuona kiumbe afananae na mwanadamu rangi yake ya silver inayong'aa sana. Mdomo wangu ulikuwa mzito nilishindwa kuongea. Yule kiumbe alinisogelea na kuniambia "Nimekuja kukupa siri ya ulimwengu" Ndipo kiumve hicho kilinigusa kidevu changu, nilihisi kupigwa shot ya umeme. Akaendelea kusema mimi ni malaika, nimekuja kujidhilisha kwako. Ndipo mwili wangu wote ulianza kutetemeka. Alinishika na nikajikuta nipo katika eneo ambalo sijawahi kuliona ni zuri sana.

Akaniambia hapa ndipo huja watu wanapokufa duniani. Alinionesha watu mbalimbali waliokufa, walikuwa pale wakiwa na furaha. Nilimuona mwalimu wangu wa Hisabati kidato cha pili aliyekufa kwa ajali ya gari. Nilimuona akiwa na furaha.

Malaika huyo aliniambia usiogope kuhusu kifo maana ni sehemu ya ukamilisho.

Ni mambo mengi mno niliyapata siku hiyo. Kwa leo naongelea haya tu. Mpaka sasa malaika mbalimbali huwa wanakuja. Nimeshawazoea na tunaongea nao mambo mengi tu.

Nitakuja kuwaeleza namna yetu sisi tulivyofungwa kwenye kifungo cha hapa duniani. Na namna gani ya kuuona ulimwengu wote.

Asante kwa sasa.
Wenu mtiifu D.
Ulianza kuvuta bange ukiwa na umri Gani?
Bange mbaya
 
Tulipoishia.... Nikiwa na malaika kwenye mji wa waliokufa duniani.

Alivyokuwa akiendelea kuongea na mimi, nilipata nguvu ya kuongea. Nikamuuliza... Je, wewe umetoka wapi na jina lako ni nani. Akajibu akisema jina langu huwezi kulitamka utalijua, maana mimi najulikana si kwa jina bali kwa nguvu mimi ndivyo nilivyo, utakavyo nilivyo. Hakika siku ile sikuelewa alikuwa anaongelea nini. Vilevile akanijibu mimi sijatokea popote mimi nilikuwepo nipo na nitakuwepo. Majibu yale yalikuwa magumu sana kwangu yalipita tu.

Akiniita David wewe nimekufunulia leo habari kuu za ulimwengu, ongea na wote wenye kujua na wenye moyo mkunjufu wataelewa na kufuata haya nitakayo kuambia leo hii.

Waambie hakuna mkuu wa dunia zaidi ya mtu mwenyewe. Mtawala wa mtu ni yeye mwenyewe. Waambie wapate kujua kuwa yeye atakaye ufalme wa mwili atapata na atakaye ufalme wa milele atapata. Umeona wale wafu wa dunia, walikuwa wakifanya mambo yao kwa faida ya mwili, hakika nakuambia mwili ni ulimwengu wa macho, katika ulimwengu huo unapitia na kujifunza mengi. Lakini mwisho utafika kwenye uhalisia wako.

Waambie, mambo haya mawili humpata mtu akiwa katika ulimwengu wa macho, yeye huzaliwa na yeye hufa. Waambie hakuna tofauti katika hilo. Anayezaliwa leo hajui utajiri, mali, na vitu vingine kama hivyo. Anapozaliwa hutoa kilio, maana ameingia kwenye sehemu ya maisha mengine.

Mtu hufa ndilo tukio jingine akipotalo. Hilo ni kielelezo cha kuonesha kuwa ulimwengu wa macho si wa kudumu bali ni wa muda. Ni kielelezo cha kufahamu kuwa yote yaliyopo kwenye ulimwengu wa macho ni yakupita. Chuma hupata kutu, kinalika na kuisha, masika huja na kuondoka, maua huonekana mazuri na kisha hunyauka, utawala na ufalme huja na kupita. Haya yote ni kielelezo cha kukukumbusha kuwa kuna jambo unatakiwa ufanye muda ni sasa.

Waambie wenye ufahamu, waambie wenye akili wapate kujua siri za ulimwengu huu. Jambo utalo waambia ni hili, kwenye ulimwengu wa mwili yapo mambo mawili, hayo mambo hayapingani bali yanafanya ukamilisho. Kuna kuzaliwa na kufa, kuna giza na mwanga, kuna kulia na kushoto, kuna juu na chini, kuna hasi na chanya. Yote haya yawe kielelezo kwao wajue kuwa nguvu za giza ndizo hizo hizo ni nguvu za mwanga.

Waambie wajue .......
duh
 
Soma post zake za mwishoni utamwelewa. Hanamini kwamba hakuna lolote linaloweza kumshinda MUNGU, na kwamba kuna mambo MUNGU hawezi kufanya ikiwemo kutibu baadhi ya magonjwa. Anaamini God's power is limited.Period
Hebu jaribu kwanza kumuelewa mtoa Uzi, tatizo umekuja na negativity Kabla hujaunganisha dots, kwani kila ulichofundishwa wewe katika mambo ya Imani ni kweli 100%? Tulipoambiwa ombeni nanyi mtapewa tafteni nanyi mtapata maana yake ili yatimie hayo nikwamba, vyakutaftwa vitaftwe kweli na vya kuomba viombwe kweli, siyo uombe vinavyostahili kutaftwa Wala usitafte vinavyostahili kuombwa. Nikweli kunabaadhi ya mambo Mungu hujitenga pembeni si kwamba hawezi kuyatatua.
 
Za masaa wana JF.

Leo nimeona ni vyema kuwaletea kisa kilichonitokea mwaka 1987 nikiwa kidato cha tano huko Ilboru secondary school. Nilikuwa nikisikia tu habari za malaika kwenye ibada za kidini.

Siku hiyo niliamka usiku kwenda kusoma darasani kama kawaida yangu, yapata saa nane za usiku. Hakukuwa na mtu yeyote darasani bali mimi tu. Wakati naendelea na kubukua ghafla ukatokea mwanga mkali mbele yangu. Ukaniangazia, niliingiwa na hofu na kuanza kutetemeka. Mara nikasikia sauti ya binadamu ikitoka kwenye mwanga ule. Ikiinita jina langu David, David usiogope tazama hapa.

Nilijawa na nguvu na kukaza macho yangu kuutanzama ule mwanga. Ghafla nimuona kiumbe afananae na mwanadamu rangi yake ya silver inayong'aa sana. Mdomo wangu ulikuwa mzito nilishindwa kuongea. Yule kiumbe alinisogelea na kuniambia "Nimekuja kukupa siri ya ulimwengu" Ndipo kiumve hicho kilinigusa kidevu changu, nilihisi kupigwa shot ya umeme. Akaendelea kusema mimi ni malaika, nimekuja kujidhilisha kwako. Ndipo mwili wangu wote ulianza kutetemeka. Alinishika na nikajikuta nipo katika eneo ambalo sijawahi kuliona ni zuri sana.

Akaniambia hapa ndipo huja watu wanapokufa duniani. Alinionesha watu mbalimbali waliokufa, walikuwa pale wakiwa na furaha. Nilimuona mwalimu wangu wa Hisabati kidato cha pili aliyekufa kwa ajali ya gari. Nilimuona akiwa na furaha.

Malaika huyo aliniambia usiogope kuhusu kifo maana ni sehemu ya ukamilisho.

Ni mambo mengi mno niliyapata siku hiyo. Kwa leo naongelea haya tu. Mpaka sasa malaika mbalimbali huwa wanakuja. Nimeshawazoea na tunaongea nao mambo mengi tu.

Nitakuja kuwaeleza namna yetu sisi tulivyofungwa kwenye kifungo cha hapa duniani. Na namna gani ya kuuona ulimwengu wote.

Asante kwa sasa.
Wenu mtiifu D.
Bangi za kuvutia chooni ni hatari sana. Zinaweza kukusababisha siku moja umuone na shetani na ndo ukichaa unaanzia hapo. C ajabu ulikula msuba weeee, ili msuli ukae sawa. Msela kaja kukuchek class ukamuona kama malaika uliyekua unamuwaza.😂😂😂
 
Umetokewa na nn tena MTU wetu ww hata ukushtuka aliposema Mungu na shetani wakiungana uleta amani sasa uyo jini kashasema Mungu na shetani awajaungana kimawazo huoni kuwa ilo lijamaa n lishetani maana linaongea pumba nyingi eti mawazo ya Mungu na shetani yakiungana ... Ww jamaa shtuka ulikopelekwa uyo jini anapajua yy ila sio paradiso apo man ww shtuka mwovu uyooo mkemee kwajina la Yesu au unda timu ya kufunga na kusali uyatimue..
Humu kila mtu anamapokeo yake mkuu, wewe unaweza usiyapokee vyema ila kunawengine wanayapokea vyema, nibora mkamuacha mtoa Uzi amalize mje na conclusion nzuri. Mfano kipindi shetani hajamuasi Mungu kulikuwa na machafuko? Maana yake machafuko yalianza baada ya wao kutofautiana hivyo wakiungana tena wakaelewana lazima amani iwepo, pia ugomvi alionao Mungu kwa shetani yawezekana ni mdogo mno kuliko sisi tunavyojua, kwanini Mungu hakumwangamiza mara moja tu akapotea ila akamruhusu atusumbue sisi ambao hatukuwa na hatia yoyote, pia Mungu aliamua kumtoa sadaka mwanae wakati anauwezo wa kummaliza adui yake tena kwa sekunde tu.
 
Hebu jaribu kwanza kumuelewa mtoa Uzi, tatizo umekuja na negativity Kabla hujaunganisha dots, kwani kila ulichofundishwa wewe katika mambo ya Imani ni kweli 100%? Tulipoambiwa ombeni nanyi mtapewa tafteni nanyi mtapata maana yake ili yatimie hayo nikwamba, vyakutaftwa vitaftwe kweli na vya kuomba viombwe kweli, siyo uombe vinavyostahili kutaftwa Wala usitafte vinavyostahili kuombwa. Nikweli kunabaadhi ya mambo Mungu hujitenga pembeni si kwamba hawezi kuyatatua.
Ulichokiandika kina reflect your thinking capacity.
 
Za masaa wana JF.

Leo nimeona ni vyema kuwaletea kisa kilichonitokea mwaka 1987 nikiwa kidato cha tano huko Ilboru secondary school. Nilikuwa nikisikia tu habari za malaika kwenye ibada za kidini.

Siku hiyo niliamka usiku kwenda kusoma darasani kama kawaida yangu, yapata saa nane za usiku. Hakukuwa na mtu yeyote darasani bali mimi tu. Wakati naendelea na kubukua ghafla ukatokea mwanga mkali mbele yangu. Ukaniangazia, niliingiwa na hofu na kuanza kutetemeka. Mara nikasikia sauti ya binadamu ikitoka kwenye mwanga ule. Ikiinita jina langu David, David usiogope tazama hapa.

Nilijawa na nguvu na kukaza macho yangu kuutanzama ule mwanga. Ghafla nimuona kiumbe afananae na mwanadamu rangi yake ya silver inayong'aa sana. Mdomo wangu ulikuwa mzito nilishindwa kuongea. Yule kiumbe alinisogelea na kuniambia "Nimekuja kukupa siri ya ulimwengu" Ndipo kiumve hicho kilinigusa kidevu changu, nilihisi kupigwa shot ya umeme. Akaendelea kusema mimi ni malaika, nimekuja kujidhilisha kwako. Ndipo mwili wangu wote ulianza kutetemeka. Alinishika na nikajikuta nipo katika eneo ambalo sijawahi kuliona ni zuri sana.

Akaniambia hapa ndipo huja watu wanapokufa duniani. Alinionesha watu mbalimbali waliokufa, walikuwa pale wakiwa na furaha. Nilimuona mwalimu wangu wa Hisabati kidato cha pili aliyekufa kwa ajali ya gari. Nilimuona akiwa na furaha.

Malaika huyo aliniambia usiogope kuhusu kifo maana ni sehemu ya ukamilisho.

Ni mambo mengi mno niliyapata siku hiyo. Kwa leo naongelea haya tu. Mpaka sasa malaika mbalimbali huwa wanakuja. Nimeshawazoea na tunaongea nao mambo mengi tu.

Nitakuja kuwaeleza namna yetu sisi tulivyofungwa kwenye kifungo cha hapa duniani. Na namna gani ya kuuona ulimwengu wote.

Asante kwa sasa.
Wenu mtiifu D.
Yesu alipojaribiwa na Ibilisi alisema...IMEANDIKWA. Je, biblia inasemaje kuhusu wafu? Hawajui lolote.

Pia tambua kuwa shetani hujibadili na kuwa kama malaika wa nuru. Tambua shetani ni mwenye sura nzuri na hiyo sura bado anayo, ila michoro mibaya inayochorwa kumwakilisha ni uzushi.

Kuwa makini na mapepo. Utayatambua kwa neno la Mungu pekee. Imeandikwa.
 
Malaika ni kweli na Mungu ni kweli. Kimsingi ili uweze kuona inategemea na mahusiano yako na Mungu. Kutoka moyoni na nikiwa na dhamiri njema moyoni mwangu, nimewaona na kuwahisi malaika wawili. Nitaleta ushuhuda wangu juu ya Yesu, Malaika na Shetani. Hao wote nimeshawahi waona. Malaika ni kweli, zaidi ya miezi 6 nilikuwa nawaona na nahisi uwepo wao maishani mwangu.
Sura ya yesu inaijua?
 
Back
Top Bottom