Mpaka wataalamu Wa Kisukuma wapo huko???Dhubutu wale wataalamu wao wanajua kila lugha muhimu za dunia hii usijidaganye na kiswahili, kuwa hawakufatilii, tena wale wana information kuliko hata viongozi wenyewe.
Kila lugha wana watu wao kulingana na interest na kitu gani wanakitaka chezeiya watu wenye focus ya kitu huwa hawashindwi. We jiulize wamisionary walivyoweza kujifunza lugha mbali mbali za makabila na kutafsiri vitabu. Wenzetu wako serious hawashindwi.Mpaka wataalamu Wa Kisukuma wapo huko???
Mkuu hawa wazungu wanaweza kutuwekea vifaa vyao hata kwenye ikulu zetuSasa Tanzania tutaficha nini?
Tunaficha nini kwa mfano yaani with our poor Technology....
Mawasiliano tuko dependant 100% , Telecom devices zoteee tunanunua kwao alafu washindwe kutuingilia ?
Sijui ikulu na viongozi wetu wanatumia njia gani kuwasiliana on private issues lakini najua wana laini za voda, Tigo, halotel ,airtel sijui na TCCL
Hatuna hata Cyber Army yakufanya propaganda kama wenzetu....
Kama vipi wapigiane tuu simu za kuonana..waongee face to face...[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Hujui inaloongea. TZ ni duni?Hivi nchi duni kama Tanzania hata ikidukuliwa kuna nini ?
We unashangaa leo?
Uko dunia gani?
Obama mwenyewe alikamatwa redhanded akimjasusi Angela Merkel karibu miaka mitatu iliyopita, ilibidi aombe radhi.
Kuchunguzwa na Idara za kijasusi za kimataifa ni jambo la kawaida kabisa.
Ni wewe tu unajiwekaje kutunza usalama na siri zako.
Ni muhimu kujua kila jengo hasa zilizo karibu na juu zaidi.Ni kweli mkuu. Ikulu ilikuwa inatumia email ya yahoo mpaka hapa juzi juzi eti ndo wamehamia Gmail. Sijui kama kuna secure line ambayo rais huwa anatumia.
Ukiachilia mbali udukuzi ikulu pale mtu unaweza kukaa juu kwenye ule mghorofa jirani ukiwa na special goggles ukaona kila kitu kinachoendelea. Sisi kwa kweli hakuna kitu kabisa!
hawa wa kwetu hawahitaji hata kudukuliwa unawaambia wakupe taarifa unazo zitaka na wankupa, wana waamini sana wazungu kuliko maelezo.Hivi nchi duni kama Tanzania hata ikidukuliwa kuna nini ?
We unashangaa leo?
Uko dunia gani?
Obama mwenyewe alikamatwa redhanded akimjasusi Angela Merkel karibu miaka mitatu iliyopita, ilibidi aombe radhi.
Kuchunguzwa na Idara za kijasusi za kimataifa ni jambo la kawaida kabisa.
Ni wewe tu unajiwekaje kutunza usalama na siri zako.
Mhh, mbona unachimba biti?Sisi wetu kama walikua wanamdukua nahisi hawakupata tabu sana maana yeye kupiga simu clouds na kwa makonda hana shida baba wa watu
Msifute post yangu
Wadukuzi wanajua kiswanglishUzuri mkulu anatumia Kiswahili muda mwingi na si kiinglish
Ulitakaje haya futeniMhh, mbona unachimba biti?
Kwa Mara ya kwanza nakuona unaunga mkono hojaMitambo yote ya mawasiliano inatoka huko huko, hatuna ujanja wa kuwazuia wasitudukue watakapo.