Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
- Thread starter
- #21
Trump sio mtu wa mchezo mkuuNdiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump sio mtu wa mchezo mkuuNdiyo
😀😀😀😀 Huko kashawachanganya hata wenyeweTrump sio mtu wa mchezo mkuu
Kusanyiko la madikiteita wa kiafrika𝗟𝗜𝗩𝗘: 𝗠𝗸𝘂𝘁𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗡𝗶𝘀𝗵𝗮𝘁𝗶 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗸𝗮 (𝗔𝗳𝗿𝗶𝗰𝗮 𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝘆 𝗦𝘂𝗺𝗺𝗶𝘁) 𝟮𝟳-𝟮𝟴 𝗝𝗮𝗻𝘂𝗮𝗿𝗶, 𝟮𝟬𝟮𝟱
Tazama live Hapa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati (Africa Energy Summit)
Utakaofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 27 – 28 Januari, 2025.
Mkutano huu muhimu unaandaliwa kwa pamoja na Serikali ya Tanzania, Benki ya Dunia, na Benki ya Maendeleo ya Afrika.
Washiriki wakuu watakuwa:
Zaidi ya washiriki 2,600 wa ndani na nje ya Tanzania wamejisajili kwa ajili ya kushiriki.
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
- Marais wa Nchi za Afrika 24
- Wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21
- Wakuu wa Taasisi za Kimataifa 6, wakiwemo Rais wa Benki ya Dunia, Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, na Rais wa Taasisi ya Rockefeller
- Washirika wa Maendeleo 5
Tukio hili litarushwa live moja kwa moja kupitia link ifuatayo:
👉 Tazama Live Hapa:![]()
Advancing Africa's Energy Future at the Mission 300 Africa Energy Summit
Watch the event replay video. Heads of State commit to concrete plans to transform Africa’s energy sector, with strong backing from global partnerslive.worldbank.org
Muda wa kuanza: Saa 8:00 Asubuhi (EAT)
Usikose kutazama tukio hili kubwa linalolenga kubuni njia za kuwafikishia umeme watu milioni 300 barani Afrika ifikapo mwaka 2030!
AGENDA:
View attachment 3215109
View attachment 3215110
View attachment 3215111
View attachment 3215113
View attachment 3215114
View attachment 3215115
View attachment 3215117
View attachment 3215118
View attachment 3215119
View attachment 3215119
View attachment 3215120
𝗟𝗜𝗩𝗘: 𝗠𝗸𝘂𝘁𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗡𝗶𝘀𝗵𝗮𝘁𝗶 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗸𝗮 (𝗔𝗳𝗿𝗶𝗰𝗮 𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝘆 𝗦𝘂𝗺𝗺𝗶𝘁) 𝟮𝟳-𝟮𝟴 𝗝𝗮𝗻𝘂𝗮𝗿𝗶, 𝟮𝟬𝟮𝟱
Tazama live Hapa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati (Africa Energy Summit)
Utakaofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 27 – 28 Januari, 2025.
Mkutano huu muhimu unaandaliwa kwa pamoja na Serikali ya Tanzania, Benki ya Dunia, na Benki ya Maendeleo ya Afrika.
Washiriki wakuu watakuwa:
Zaidi ya washiriki 2,600 wa ndani na nje ya Tanzania wamejisajili kwa ajili ya kushiriki.
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
- Marais wa Nchi za Afrika 24
- Wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21
- Wakuu wa Taasisi za Kimataifa 6, wakiwemo Rais wa Benki ya Dunia, Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, na Rais wa Taasisi ya Rockefeller
- Washirika wa Maendeleo 5
Tukio hili litarushwa live moja kwa moja kupitia link ifuatayo:
👉 Tazama Live Hapa:![]()
Advancing Africa's Energy Future at the Mission 300 Africa Energy Summit
Watch the event replay video. Heads of State commit to concrete plans to transform Africa’s energy sector, with strong backing from global partnerslive.worldbank.org
Muda wa kuanza: Saa 8:00 Asubuhi (EAT)
Usikose kutazama tukio hili kubwa linalolenga kubuni njia za kuwafikishia umeme watu milioni 300 barani Afrika ifikapo mwaka 2030!
AGENDA:
View attachment 3215109
View attachment 3215110
View attachment 3215111
View attachment 3215113
View attachment 3215114
View attachment 3215115
View attachment 3215117
View attachment 3215118
View attachment 3215119
View attachment 3215119
View attachment 3215120
Thanks for this.𝗟𝗜𝗩𝗘: 𝗠𝗸𝘂𝘁𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗡𝗶𝘀𝗵𝗮𝘁𝗶 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗸𝗮 (𝗔𝗳𝗿𝗶𝗰𝗮 𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝘆 𝗦𝘂𝗺𝗺𝗶𝘁) 𝟮𝟳-𝟮𝟴 𝗝𝗮𝗻𝘂𝗮𝗿𝗶, 𝟮𝟬𝟮𝟱
𝗟𝗜𝗩𝗘: 𝗠𝗸𝘂𝘁𝗮𝗻𝗼 𝘄𝗮 𝗡𝗶𝘀𝗵𝗮𝘁𝗶 𝗔𝗳𝗿𝗶𝗸𝗮 (𝗔𝗳𝗿𝗶𝗰𝗮 𝗘𝗻𝗲𝗿𝗴𝘆 𝗦𝘂𝗺𝗺𝗶𝘁) 𝟮𝟳-𝟮𝟴 𝗝𝗮𝗻𝘂𝗮𝗿𝗶, 𝟮𝟬𝟮𝟱
Tazama live Hapa Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika Kuhusu Nishati (Africa Energy Summit)
Utakaofanyika Jijini Dar es Salaam tarehe 27 – 28 Januari, 2025.
Mkutano huu muhimu unaandaliwa kwa pamoja na Serikali ya Tanzania, Benki ya Dunia, na Benki ya Maendeleo ya Afrika.
Washiriki wakuu watakuwa:
Zaidi ya washiriki 2,600 wa ndani na nje ya Tanzania wamejisajili kwa ajili ya kushiriki.
- Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan
- Marais wa Nchi za Afrika 24
- Wawakilishi wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika 21
- Wakuu wa Taasisi za Kimataifa 6, wakiwemo Rais wa Benki ya Dunia, Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika, na Rais wa Taasisi ya Rockefeller
- Washirika wa Maendeleo 5
Tukio hili litarushwa live moja kwa moja kupitia link ifuatayo:
👉 Tazama Live Hapa:
View: https://www.youtube.com/live/o6bgARGZYwg?si=gP6Q41jhT7znTZxh
Au unaweza Kujisajili pia hapa:![]()
Advancing Africa's Energy Future at the Mission 300 Africa Energy Summit
Watch the event replay video. Heads of State commit to concrete plans to transform Africa’s energy sector, with strong backing from global partnerslive.worldbank.org
Muda wa kuanza: Saa 8:00 Asubuhi (EAT)
Usikose kutazama tukio hili kubwa linalolenga kubuni njia za kuwafikishia umeme watu milioni 300 barani Afrika ifikapo mwaka 2030!
AGENDA:
View attachment 3215109
View attachment 3215110
View attachment 3215111
View attachment 3215113
View attachment 3215114
View attachment 3215115
View attachment 3215117
View attachment 3215118
View attachment 3215119
View attachment 3215119
View attachment 3215120
Tuendelee kufuatilia kwa kinaVizuri