Marais kumi wathibitisha kuja kumuaga Rais Magufuli

Rais wa Madagascar lazima atakuwa mmojawao atataka kujua kama Marehemu alitumia dawa kwa kufuata maelekezo maana yeye na wengine wengi, kwa kutumia ileile dawa iliyopakiwa kwenye Dreamliner bado wako hai. Huko Hospitali ya Mzena kulifungwa mashine ya Kufukiza?
 
Rais wa Madagascar lazima atakuwa mmojawao atataka kujua kama Marehemu alitumia dawa kwa kufuata maelekezo maana yeye na wengine wengi, kwa kutumia ileile dawa iliyopakiwa kwenye Dreamliner bado wako hai. Marais wa Kimataifa mbona wanamuaga Dodoma na Chato kuna Uwanja wa Kimataifa?
 
Wataje
 
Mu7 katuma salamu yeye haji anaopgopa akitoka tuu bob wine atapindua nchi
 
Du..!! Wanaume tunakikao chetu kesho, mwenyekiti wa UWABATA atasimamia kikao hicho.
 
dah hawa jamaa niliwadharau na kuwaona hawana maana tangu kipindi hicho. cha ajabu bado hiki chama kina wafuasi
Wengi wao wapo ktk chama hiki kwa ajili ya matumbo yao, mfano wa dhahiri ni huyo aliesema eti Abasi sio wa kuaminika huku yey mwenyew akiendelea kuwaamini wadanganyaji
 

Jina lako linaendana na kabisa na points zako
#zinafikirisha!
 
Rais wa Zimbabwe Mnangagwa ameshawasilia Kwa shughuli ya kesho kumuaga Hayati Magufuli.
 
Piga ua zaragaza zika fukua Kagame hatakuja. Aje apate Korona
Hata asipo kuja siku ikifika atakufa tu hata wewe na mimi ipo siku tutazikwa tu kwa hiyo tuliza mshono.
 
Hata asipo kuja siku ikifika atakufa tu hata wewe na mimi ipo siku tutazikwa tu kwa hiyo tuliza mshono.
Uzuri sisi hatujidai tutaishi milele sijui ohhh wakubwa wa malaika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…