Marangu Coach imefikia hatua hii

Kazi ipo
 
Asee nilipewa kazi ya kufufua landrover Tdi na tajiri mmoja hivi sasa nilihitaji spare zake nyingi tu nikacheki kwa hapa dar nilipata ila bei yake mpk tajiri akastuka tukapata duka lingine Moshi asee spare bei rahisi sijui kwanini mzee.
 
Chanzo cha hayo yote ni ubahili tu wa Wachagga
Yani wanataka tu pesa iingie siyo kutoka
 
...Pole. Heri kuchelewa Kuliko Kutofika Kabisa...
 
Msalimie Jane
 
Sisi hata mume hamshirikishi mkewe, akifariki ghafla mwanamke hajui walichonacho kifamilia.
Kuna mzee mmoja mtu mkubwa tu tena kitengo anawekeza na hamshirikishi mkewe anatushirikisha watu baki. Tulimkazia sana amuonyeshe mkewe. Lakini kuna muda pia labda kuna madhaifu anayo mkewe tusilaumu sana aisee. Japo ni tatizo. Wamama wengine hawanaga adabu. Mume akitangulia anaenda kula mali za mumewe na viben ten mpk anafilisika
 
Acha nongwa mkuu kwani dogo akila bata, akigonga gari si za babake wewe inakuuma nini. Au wewe hukuachiwa kitu. Hahahaa Pole sana pambana wanao waje wayafaidi maisha bladfool
Kheee.. muone huyu nae. Nani anamuonea wivu sasa? Acha umama. Hapa tunajadili uzembe wake. Unategemea aiendeshe kampuni kwa usahihi? Kidogo no ngumu kwake japo anajitahidi. Halafu koma, sina njaa hizo. Na huo ndo ufala wako mmarangu..
 
Kama kumbukumbu yangu iko sawa, hii kampuni ilimpoteza mmiliki na mwenza wake kipindi kile kigumu cha korona.

Kampuni itakuwa mikononi mwa second hand, lazima challenge ziwepo.

Endeleeni kufurahia Marangu Coach.
 
Alikuwa hisa bado
Okey. I real dont know.
Pale Tarakea wanakijiji wengi walikua wamewekeza. Walinunua hisa ila sikuwahi kuhoji waliwekeza wapi. Kwenye ndege ama lah. Ilikua 2018 kama sikosei tukiwa tunafanya kumbukumbu ya marehem mmoja hivi ya miaka 25 toka afariki. Nilisikia mama zetu wanaulizana zile fedha tulizowekeza hivi ziko wapi. Na hapo hawakuwekeza juzi wala jana. Ni miaka mingi kidogo. Najiuliza alidhulumu ama ziko mahali ambapo wao hawajui wahusika? Ijapokua pia sikuona kama walikua wanaziwazia sanaaa. Naona ni kama waliamua kulichukulia kama sadaka wametoa.
 
Hahahahahaha umeniuaaa. Pole sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…