Marasta Arusha kuvuliwa ubingwa na Wazungu watalii

Marasta Arusha kuvuliwa ubingwa na Wazungu watalii

ukifatilia mijadala mingi ya dar vs arusha or vice versa, vijana wa arusha huwa wanajipambanua kama watu imara, majasiri, manunda na wanawa-attack wa dar kwamba ni mashoga, legelege nk.

lakini kumbe(kwa mujibu wa mleta mada), wa arusha sio tu wanajilengesha kwa vibibi vya kizungu, bali pia wanafanya na ushoga kwa watalii wanaume, you get my point?....totally opposite from how they describe themselves on social media.

ndio maana nikasema vijana wa arusha mnajua sana kutunza siri za mambo yenu ya kishenzi, ila sasa siri hiyo imejulikana.
Swala la ushoga limeenea 🇹🇿 yote kwa sasa,hakuna sehemu hapa tanzania ushoga hakuna,hii kitu tumeiga kwa wenzetu wa 🇰🇪, ambapo kule kwao wanajadili kuuruhusu uwe public,ishu hii imekuwa kwa kasi africa kwa kwa sababu ya OBAMA,na hapa tulipofikia hatuwezi kupambana tena kuuzuia,ni wewe na familia yako ndo upambane kivyako,bora hata makonda alijaribu kapambana nao hali ikawa kimya kimya,ila sasa kwenye mitandao ya simu haswa TIK TOK Kule ndo mtandao wa mashoga,na ndo mtandao unaopendwa sana sasa kama simu za smart zimekuwa kama maembe mtaani,kizazi kinachokuja kitakuwa kinanuka mavi MUNGU atusaidie kwa hili,maana hatuna jinsi tena zaidi ya kumuomba MUNGU, mambo haya yalisha andikwa kwenye vitabu enzi zile lazima yatimie tu
 
mdogo wangu APPROXIMATELY haya kumekucha huku na arusha yako. njoo uwatetee marasta wenu, mwamba katema sumu.

ila dah!..vijanaa wa arusha mnajua sana kutunza siri za mambo yenu ya ajabu ajabu.
hili jambo kwa mda mrefu nilikuwa nalisikia tu chinichini,nilidhani mnasingiziwa,kumbe kweli bhana.[emoji1787][emoji1787]
Watakuja na maneno ya kichugastan na kupinga vikali hizi tuhuma😁
 
Swala la ushoga limeenea 🇹🇿 yote kwa sasa,hakuna sehemu hapa tanzania ushoga hakuna,hii kitu tumeiga kwa wenzetu wa 🇰🇪, ambapo kule kwao wanajadili kuuruhusu uwe public,ishu hii imekuwa kwa kasi africa kwa kwa sababu ya OBAMA,na hapa tulipofikia hatuwezi kupambana tena kuuzuia,ni wewe na familia yako ndo upambane kivyako,bora hata makonda alijaribu kapambana nao hali ikawa kimya kimya,ila sasa kwenye mitandao ya simu haswa TIK TOK Kule ndo mtandao wa mashoga,na ndo mtandao unaopendwa sana sasa kama simu za smart zimekuwa kama maembe mtaani,kizazi kinachokuja kitakuwa kinanuka mavi MUNGU atusaidie kwa hili,maana hatuna jinsi tena zaidi ya kumuomba MUNGU, mambo haya yalisha andikwa kwenye vitabu enzi zile lazima yatimie tu
Inahuzunisha Sana.
 
Swala la ushoga limeenea [emoji1241] yote kwa sasa,hakuna sehemu hapa tanzania ushoga hakuna,hii kitu tumeiga kwa wenzetu wa [emoji1139], ambapo kule kwao wanajadili kuuruhusu uwe public,ishu hii imekuwa kwa kasi africa kwa kwa sababu ya OBAMA,na hapa tulipofikia hatuwezi kupambana tena kuuzuia,ni wewe na familia yako ndo upambane kivyako,bora hata makonda alijaribu kapambana nao hali ikawa kimya kimya,ila sasa kwenye mitandao ya simu haswa TIK TOK Kule ndo mtandao wa mashoga,na ndo mtandao unaopendwa sana sasa kama simu za smart zimekuwa kama maembe mtaani,kizazi kinachokuja kitakuwa kinanuka mavi MUNGU atusaidie kwa hili,maana hatuna jinsi tena zaidi ya kumuomba MUNGU, mambo haya yalisha andikwa kwenye vitabu enzi zile lazima yatimie tu
hali ni mbaya sana kwa kweli.
huko zanzibar siku chache zilizopita mashoga watalii wamevishana engagement ring hadharani ufukweni.
 
Ni kweli Vijana tumekuwa wavivu wakufanya kazi ila tunataka maisha mazuri, Yani ukienda Zanzibar ukitembelea beach utakutana na Vijana waki Masai wanazagaa beach kutafuta wazungu ili wawe na maisha mazuri" yani nilisikitika sana kuona Wamasai wanaingiliwa kinyume maumbile kisa wanataka maisha mazuri, yani Wamasai kutoka kwenye kuua simba mpaka kwenda ufukweni Zanzibar kujiuza hii ni hatari sana, wanaacha utamaduni wao wa ufugaji wanaenda kugezwa mashoga na wazungu, ukiwakuta beach wamesimama kwa unyonge wakiwaangalia wazungu wakiwa wamelala na kunywa na kula mpaka aibu, hii tabia wanayo vijana wengi wa Arusha wao wanafikiri bila kupata mzungu hawezi kuwa na maisha mazuri na kuendesha gari.
Aisee!!?
 
Hivi watoto wadogo wanaolawitiwa na wachungaji pamoja na mapadre nao ni marasta wa Arusha? Je wanaowalawiti ni wazungu? . Ukiondoa ushabiki ama chuki iliyojificha ndani ya uzi wa mleta mada kwa watu wa Arusha, mada yake ni ya msingi sana. Ni lazima kama nchi kuwe na mkakati maalumu wa kupambana na hii tabia ya ushoga iliyoenea nchi nzima. Wazee wa kula kimasihara mara ngapi kule kwenye uzi pendwa mnawasifia wanaofukua mtaro na kuwaona washamba ambao hawafanyi hivyo? Hii inatosha kuonyesha ukubwa wa ushoga hapa jukwaani sio kidogo tofauti ni dhana tu ya nn maana ya ushoga tuliyo nayo kati ya mtu mmoja na mwingine.
 
hali ni mbaya sana kwa kweli.
huko zanzibar siku chache zilizopita mashoga watalii wamevishana engagement ring hadharani ufukweni.
Sasa kwa dizaini kama hii hapo wabongo wanaoiga nini,hili swala ndo tayari lishaingia kwetu hatuwezi tena kulizuia,tulipokubali tu utandawazi ndo turiruhusu ili swala,na hatuwezi zuia wageni wasije 🇹🇿, wasipokuja hatuwezi kukuza uchumi wetu,daily nawasafirisha porini huwa nasafirisha couples za kiume mara nyingi,wanalala chumba kimoja mbugani,hali imekuwa mbaya kweli
 
Nadhani wote ni wazima humu,
Nafurahi sana kwa wote ulionitaja humu ndani,na feeling proud this is much respect to me,may God be with u all.

Wengi wetu humu hatujui maana ya "RASTA",ngoja niwape maana kwanza ilitujue hawa watu wakoje,tuwatofautishe na watu walio na dreadlocks,maana sio kila mwenye dreadlocks ni RASTA....
RASTAFARAI(Wakati mwingine huitwa (URASTAFARAI)..
NI DINI kama ilivyokuwa Dini nyingine kibao(Christian,Muslim and so on)..
Iliyoanzishwa huko Jamaica miaka 1930.
Wakati mwingine dini hii hutambulika pia kuwa mfumo wa maisha na vuguvugu la kitamaduni.
Mfalme wa zamani ETHIOPIA [emoji1098], (HAILE SELASSIE),anapewa umuhimu wa pekee,MARASTA wengi humuona kama mwili wa "JAH" duniani na kama ujio wa pili wa "YESU" KRISTO.wengine humwaona kama nabii wa kibinadamu ambaye alitambua kikamilifu uungu wa ndani ya kila mtu.
MARASTA wengi wanasisitiza waafrica waliopo nchi za magharabi kurudi Africa [emoji288] ,wanaamini kuwa bara la Africa ni nchi ya ahadi ya Sayuni..
MARASTA huita mfumo wao wa maisha UHAI-(LIVITY),ibadan zao huita MSINGI-(GROUNDATIONS).na hujumisha MZIKI,KUIMBA,MAJADILIANO NA BANGI-(ambayo huonekana kama SAKRAMENT)..

MARASTA wengi hula vyakula vya asili bila NYAMA wala CHUMVI(vyakula hivi huitwa itali).wanaacha nywele zao kukua bila kuchanwa au kukatwa(DREARDLOCKS)
RASTAFARI ilitokea miongoni mwa jumuiya za WAJAMAICA WEUSI,maskini katika miaka ya 1930,ITIKADI yake ya UAFRICA Ilikuwa jibu dhidi ya UTAMADUNI wa KIKOLONI wa JAMAICA..

Sio kila mwenye dreadlocks ni Rasta,URASTA NI IMANI kama zilivyo imani tofauti tofauti hapa duniani,Wengi wao husokota nywele ili wapate WAZUNGU kwa kuwa WAZUNGU wanawapenda sana MARASTA maana ni watu wapole,waelewa sana na wanyenyekevu,MARASTA ndo watu wa asili kabisa wa AFRICA,ambapo mkuu wao alitokea ETHIOPIA [emoji1098], NA ndo nchi haikutawaliwa na WAKOLONI,wengi watu hujificha kwenye kivuli cha URASTA ili wapate PESA,NA MAHITAJI YAO YA KIMAISHA,ni kama WACHUNGAJI FAKE NA MASHEHE MCHWARA(WAONGO)..ambao sasa tunasikia kila siku kwenye vyombo vya HABARI matukio mara PADRE KALAWITI WATOTO 10,mara SHEHE kalawiti vitoto n.k.
Hao wote wanaofanya vitendo vya ushoga sio MARASTA wa IMANI bali ni wenye nywele ndefu zilizosokotwa wasio NA IMANI ya ndani,bali wanatumia kigezo cha kusokota nywele iliwaonekane ni MARASTA wa kweli,mimi nachojua ni watu tu wakawaida..
Nadhani nimejibu majibu ya wote humu ndani,nashukuru kwa uzi wenye tija juu ya jamii yetu hii pendwa ya URASTAFARAI..


HOW YO TREAT OTHERS IS HOW YOU REALLY FEEL INSIDE..
"BOONOONOOONOOOS"

Kitu kizuri
 
Tukienda na general conclusion ya mleta mada hao marasta wazembe wa arusha wanaotafuta wamama/wabibi wa kizungu ili kupata pesa ni bora kuliko wanaume wazembe wa dar hasa wa kinondoni wanaojigeuza mashoga kwa wenye pesa ili kupata pesa.

NB:
Hao vijana wa makundi yote mawili ni wazembe na wavivu wa kufikiri ila kwa general conclusion ya mleta mada wenye siri zaidi ni hao wa Dar wanaotobolewa spika.
Kutobolewa spika Ni janga hapo Moshono, Arusha. Maana wengi hawakusoma na hawana wanachojua zaidi ya utalii redefined.
Pia, tayari Wana role models waliotoboa maisha (ikiwemo kuanzisha kampuni) kwa kutobolewa kinachoitwa SPIKA
 
Arusha bila ya utalii wangekua na hali mbaya sana, waombe wanyama wote wasihamie serengeti au kenya watalia machozi ya damu
Wanyama ni natural ya africa nzima,ndo maana arusha kuna mbuga nyingi,kama arusha national Park,Mount meru kuna wanyama kule,manyara,tarangire,ngorongoron.k na sasa hivi serikali wamekuwa makini ndo maana unaona watu wanaondolewa kwenye mbuga za wanyama ili kuwapa wanyama wigo mkubwa wakuzaliana,hali ya hewa ina wafavor sana wanyama na itatokea hata siku wanyama wakatoweka arusha
 
Back
Top Bottom