APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Ungejua elimu ilianzia wapi,na maana chimbuko la elimu tanzania lilianzia wapiMmhh hapa kuhusu kuwekeza kwenye elimu upo chaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungejua elimu ilianzia wapi,na maana chimbuko la elimu tanzania lilianzia wapiMmhh hapa kuhusu kuwekeza kwenye elimu upo chaka
Itakua zamu kwa zamu labdaKupelekewa moto kabisa? Mimi nikajua wao ndio wanapeleka huo moto kwa wazungu.
Unachokiandika umekifikria???Ukweli Ni kuwa Arusha hawakuthamini elimu toka mwanzo wakijifariji kwa fursa za utalii. Na hivyo kukosa Ajira rasmi Matokeo yake (hasi) ndio haya. Kumbe wataliano wanafanya Yao huko mbugani/ camps
Ilianzia hapo pwani ndiyomaana wewe ni genious kinoma 😂Ungejua elimu ilianzia wapi,na maana chimbuko la elimu tanzania lilianzia wapi
Irie rasta [emoji109]Nadhani wote ni wazima humu,
Nafurahi sana kwa wote ulionitaja humu ndani,na feeling proud this is much respect to me,may God be with u all.
Wengi wetu humu hatujui maana ya "RASTA",ngoja niwape maana kwanza ilitujue hawa watu wakoje,tuwatofautishe na watu walio na dreadlocks,maana sio kila mwenye dreadlocks ni RASTA....
RASTAFARAI(Wakati mwingine huitwa (URASTAFARAI)..
NI DINI kama ilivyokuwa Dini nyingine kibao(Christian,Muslim and so on)..
Iliyoanzishwa huko Jamaica miaka 1930.
Wakati mwingine dini hii hutambulika pia kuwa mfumo wa maisha na vuguvugu la kitamaduni.
Mfalme wa zamani ETHIOPIA [emoji1098], (HAILE SELASSIE),anapewa umuhimu wa pekee,MARASTA wengi humuona kama mwili wa "JAH" duniani na kama ujio wa pili wa "YESU" KRISTO.wengine humwaona kama nabii wa kibinadamu ambaye alitambua kikamilifu uungu wa ndani ya kila mtu.
MARASTA wengi wanasisitiza waafrica waliopo nchi za magharabi kurudi Africa [emoji288] ,wanaamini kuwa bara la Africa ni nchi ya ahadi ya Sayuni..
MARASTA huita mfumo wao wa maisha UHAI-(LIVITY),ibadan zao huita MSINGI-(GROUNDATIONS).na hujumisha MZIKI,KUIMBA,MAJADILIANO NA BANGI-(ambayo huonekana kama SAKRAMENT)..
MARASTA wengi hula vyakula vya asili bila NYAMA wala CHUMVI(vyakula hivi huitwa itali).wanaacha nywele zao kukua bila kuchanwa au kukatwa(DREARDLOCKS)
RASTAFARI ilitokea miongoni mwa jumuiya za WAJAMAICA WEUSI,maskini katika miaka ya 1930,ITIKADI yake ya UAFRICA Ilikuwa jibu dhidi ya UTAMADUNI wa KIKOLONI wa JAMAICA..
Sio kila mwenye dreadlocks ni Rasta,URASTA NI IMANI kama zilivyo imani tofauti tofauti hapa duniani,Wengi wao husokota nywele ili wapate WAZUNGU kwa kuwa WAZUNGU wanawapenda sana MARASTA maana ni watu wapole,waelewa sana na wanyenyekevu,MARASTA ndo watu wa asili kabisa wa AFRICA,ambapo mkuu wao alitokea ETHIOPIA [emoji1098], NA ndo nchi haikutawaliwa na WAKOLONI,wengi watu hujificha kwenye kivuli cha URASTA ili wapate PESA,NA MAHITAJI YAO YA KIMAISHA,ni kama WACHUNGAJI FAKE NA MASHEHE MCHWARA(WAONGO)..ambao sasa tunasikia kila siku kwenye vyombo vya HABARI matukio mara PADRE KALAWITI WATOTO 10,mara SHEHE kalawiti vitoto n.k.
Hao wote wanaofanya vitendo vya ushoga sio MARASTA wa IMANI bali ni wenye nywele ndefu zilizosokotwa wasio NA IMANI ya ndani,bali wanatumia kigezo cha kusokota nywele iliwaonekane ni MARASTA wa kweli,mimi nachojua ni watu tu wakawaida..
Nadhani nimejibu majibu ya wote humu ndani,nashukuru kwa uzi wenye tija juu ya jamii yetu hii pendwa ya URASTAFARAI..
HOW YO TREAT OTHERS IS HOW YOU REALLY FEEL INSIDE..
"BOONOONOOONOOOS"
WagwanIrie rasta [emoji109]
Kwani huyo ni mwenzake na cocastic ?
Wote watanzaniaKwani huyo ni mwenzake na cocastic ?
Rasta ni imani,chakula,na matendo true rasta anafanya kazi kwa mikono yake mwenyeweKuna tofauti kati ya Rastafari na mtu mwenye dreadlocks a real Rastafari hawezi fanya against nature tatizo wabongo wakiona nywele kama za Kibu Denis wanajua ni Rastafari kuna wa Natty kama mimi sina dreads ila ni true Rastafari
Yani miaka kumi ijayo wanawake waArusha watakosa wanaume wakuwanao kwenye mapenzi itakuja kufikia wanawake wa Arusha wanaenda Mikoa mingine kutafuta wanaume tena kwa kuwalipahiki unachokisema ni kweli. wakati flani nikiwa kendwa rock beach zanzibar, nilisimuliwa hii habari na aliyenisumulia alinionyesha mpaka kijana wa kimasai anayefanyiwa jambo hili.
nilisikitika sana.
Yani wanatutia aibu vijana kutoka bara, Yani imefikia vijana hatutaki kufanya kazi kwa kutegemea pesa ya Mwanamke kingine hawana akili ya maisha yani utakuta hana sehemu mahalumu pa kulala wanalala vibandani tu, hawajui kama wanatumiwa kingono tu na kuachwa nakupotezewa muda maana kumpa mimba mzungu mpaka atake yeye na wazungu hawapendi kuzaa unaweza kuishi naye mpaka unafiki miaka 50 na uzizae naye na ukija kushtuka umesha zeeka huna mtoto.Akili ya kumtegemea mtu ni mbaya sana hadi inafikia kuuza utu kizazi kimeshaharibika.
Mmhh hapa kuhusu kuwekeza kwenye elimu upo chaka
Daah ndugu wewe unachuki sana na arusha,yani kilichobaki kwako ni chuki tu,yani unashindwa kuangalia ushoga uliopo dar na mikoa mingine,maana dar kuna mashoga kila nyumba,unashindwa kusema baada ya miaka kadhaa watoto wetu wote wakiume watakuwa katika hali gani,wewe hapo unaandika arusha kuna mashoga ili kujipa moyo,unashindwa kusema ukweli wa hali ya dar 😄😄😄😄😄😄😄Yani miaka kumi ijayo wanawake waArusha watakosa wanaume wakuwanao kwenye mapenzi itakuja kufikia wanawake wa Arusha wanaenda Mikoa mingine kutafuta wanaume tena kwa kuwalipa
Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
Kinondoni hapa.Bila shaka wewe ni mtu wa kaskazini, au sio!!
Usichokijua,hata ueleweshwe vipi hutajua tuMarasta Arusha mmeleta simanzi kubwa
Kinondoni hapa.
Ni kweli mkuu yote uliyosema, kuna marasta feki utakuta Rasta anapigana mkorofi anaruka na Vijana wengi wanaingia kwenye mambo bila kujua misingi yake na utamaduni wa maisha ya jamii usika.Nadhani wote ni wazima humu,
Nafurahi sana kwa wote ulionitaja humu ndani,na feeling proud this is much respect to me,may God be with u all.
Wengi wetu humu hatujui maana ya "RASTA",ngoja niwape maana kwanza ilitujue hawa watu wakoje,tuwatofautishe na watu walio na dreadlocks,maana sio kila mwenye dreadlocks ni RASTA....
RASTAFARAI(Wakati mwingine huitwa (URASTAFARAI)..
NI DINI kama ilivyokuwa Dini nyingine kibao(Christian,Muslim and so on)..
Iliyoanzishwa huko Jamaica miaka 1930.
Wakati mwingine dini hii hutambulika pia kuwa mfumo wa maisha na vuguvugu la kitamaduni.
Mfalme wa zamani ETHIOPIA [emoji1098], (HAILE SELASSIE),anapewa umuhimu wa pekee,MARASTA wengi humuona kama mwili wa "JAH" duniani na kama ujio wa pili wa "YESU" KRISTO.wengine humwaona kama nabii wa kibinadamu ambaye alitambua kikamilifu uungu wa ndani ya kila mtu.
MARASTA wengi wanasisitiza waafrica waliopo nchi za magharabi kurudi Africa [emoji288] ,wanaamini kuwa bara la Africa ni nchi ya ahadi ya Sayuni..
MARASTA huita mfumo wao wa maisha UHAI-(LIVITY),ibadan zao huita MSINGI-(GROUNDATIONS).na hujumisha MZIKI,KUIMBA,MAJADILIANO NA BANGI-(ambayo huonekana kama SAKRAMENT)..
MARASTA wengi hula vyakula vya asili bila NYAMA wala CHUMVI(vyakula hivi huitwa itali).wanaacha nywele zao kukua bila kuchanwa au kukatwa(DREARDLOCKS)
RASTAFARI ilitokea miongoni mwa jumuiya za WAJAMAICA WEUSI,maskini katika miaka ya 1930,ITIKADI yake ya UAFRICA Ilikuwa jibu dhidi ya UTAMADUNI wa KIKOLONI wa JAMAICA..
Sio kila mwenye dreadlocks ni Rasta,URASTA NI IMANI kama zilivyo imani tofauti tofauti hapa duniani,Wengi wao husokota nywele ili wapate WAZUNGU kwa kuwa WAZUNGU wanawapenda sana MARASTA maana ni watu wapole,waelewa sana na wanyenyekevu,MARASTA ndo watu wa asili kabisa wa AFRICA,ambapo mkuu wao alitokea ETHIOPIA [emoji1098], NA ndo nchi haikutawaliwa na WAKOLONI,wengi watu hujificha kwenye kivuli cha URASTA ili wapate PESA,NA MAHITAJI YAO YA KIMAISHA,ni kama WACHUNGAJI FAKE NA MASHEHE MCHWARA(WAONGO)..ambao sasa tunasikia kila siku kwenye vyombo vya HABARI matukio mara PADRE KALAWITI WATOTO 10,mara SHEHE kalawiti vitoto n.k.
Hao wote wanaofanya vitendo vya ushoga sio MARASTA wa IMANI bali ni wenye nywele ndefu zilizosokotwa wasio NA IMANI ya ndani,bali wanatumia kigezo cha kusokota nywele iliwaonekane ni MARASTA wa kweli,mimi nachojua ni watu tu wakawaida..
Nadhani nimejibu majibu ya wote humu ndani,nashukuru kwa uzi wenye tija juu ya jamii yetu hii pendwa ya URASTAFARAI..
HOW YO TREAT OTHERS IS HOW YOU REALLY FEEL INSIDE..
"BOONOONOOONOOOS"