Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro hiyo nikweli nipo on same industry ya tourism unakuta kijana wakiume yupo radhi ajifanyishe ata shoga ili mradi apate pesa mfano nina rafk angu alikuwa kijana mzuri tu mpambanaj but alipo enda zanzibar akijiokotea libibi lakizungu atari fanyaa kazi niwakakukaa tu sasa kulelewaNi kweli Vijana tumekuwa wavivu wakufanya kazi ila tunataka maisha mazuri, Yani ukienda Zanzibar ukitembelea beach utakutana na Vijana waki Masai wanazagaa beach kutafuta wazungu ili wawe na maisha mazuri" yani nilisikitika sana kuona Wamasai wanaingiliwa kinyume maumbile kisa wanataka maisha mazuri, yani Wamasai kutoka kwenye kuua simba mpaka kwenda ufukweni Zanzibar kujiuza hii ni hatari sana, wanaacha utamaduni wao wa ufugaji wanaenda kugezwa mashoga na wazungu, ukiwakuta beach wamesimama kwa unyonge wakiwaangalia wazungu wakiwa wamelala na kunywa na kula mpaka aibu, hii tabia wanayo vijana wengi wa Arusha wao wanafikiri bila kupata mzungu hawezi kuwa na maisha mazuri na kuendesha gari.
nime LIKE comment yako mwanangu genta aka popoma. [emoji16]noma sana
Kazi gani izo za usiku, wengine tupo ileje huku, tunasikia tu Geneva of Africa.Nimeishi Arusha na Ni ukweli mtupu. Vijana wanatembezwa juani na ndizi mkononi baadae usiku wanahamia kwenye kazi za kudhalilisha utu wao nao wanakenua tu
Ni kweli Vijana tumekuwa wavivu wakufanya kazi ila tunataka maisha mazuri, Yani ukienda Zanzibar ukitembelea beach utakutana na Vijana waki Masai wanazagaa beach kutafuta wazungu ili wawe na maisha mazuri" yani nilisikitika sana kuona Wamasai wanaingiliwa kinyume maumbile kisa wanataka maisha mazuri, yani Wamasai kutoka kwenye kuua simba mpaka kwenda ufukweni Zanzibar kujiuza hii ni hatari sana, wanaacha utamaduni wao wa ufugaji wanaenda kugezwa mashoga na wazungu, ukiwakuta beach wamesimama kwa unyonge wakiwaangalia wazungu wakiwa wamelala na kunywa na kula mpaka aibu, hii tabia wanayo vijana wengi wa Arusha wao wanafikiri bila kupata mzungu hawezi kuwa na maisha mazuri na kuendesha gari.
Ina maana machalii wa arusha wamekuwa mademu kwa wazunguwazungu wanajiskia raha sana kuwagonga wamasai, vuta picha kiumbe mzito sana anaeuwa simba wewe umemuinamisha unamrarua. wanaijoy sana, wataliana ni watu wabaya sana.
Utamu wa SPIKAAcha wivu wewe wenzako waking'oa mademu wa kizungu fanya kazi na wewe ya utalii uonje utamu wake.