Apumzike kwa amani umbeya atutaki amjasema akiwa hai awajibu mnaropoka hana pa kujiteteeeaaa stopppHi kauli ya marehemu iliyowai kuzua gumzo kila Kona ya nchi na nnje, jamaa alishiba pesa za kusaga akaanza kutoa kauli zenye utata, ati mwanamume lzm uwe na pesa ndio umuoe binti ake yaani uwe tajiri
Mara ya mwisho nilisikia binti yake amezalia nyumbani kwake
Kwa kifupi marehemu alikuwa na maneno ya kashfa Sana na hili CMG hawalisemi
Ungesema hlii akiwa hai sio amekufaAtatetewa na ndugu zake ,Ni ujinga mzazi Kuja hadharani na kuanza kuongea ujinga wa namna ile
Hakuna binadamu aliye na mabaya tu akakosa mazuri. Na kistaarabu mtu anapofariki tunasema mazuri yake tu. Mabaya yake tunamuachia yeye na Mungu wake.Nashngaaa mijittu inamsifia na kumpa sifa kedekede mtu asiye fah kwenye jamii
Mmmh aliiiiìiii ..shemeji nn mbona wamchukia hivyo sisi katigongea madada zetu mbezi Beach na bado tumekomaaKwa mujibu wako lkn ,ila jamaa alikuwa miyeyusho sna
Hapan uo Ni unafiki mkuu ,marehemu hakuwa mtu wa kujali kaulinzake za hadharani Hili hakitapoteaa kamweHakuna binadamu aliye na mabaya tu akakosa mazuri. Na kistaarabu mtu anapofariki tunasema mazuri yake tu. Mabaya yake tunamuachia yeye na Mungu wake.
UKUMSAIDIA NA HIZO TAHARUKI AKIWA HAI ABADILIKE AMEKUFA??Ndugu zake watamtetea si wako hai mm siwezi kuona marehemu akipewa sifa zote nzuri ili Hali Kuna maeneo mengi ametuachia taharuki
We ni kyuma sana..kwani marehemu unafahamiana nae mpaka umpondee...wabongo tunashida sana jamaa alikuwa humble na kasaidia wengi kama vp kufa na wewe tuone nani atakukumbuka..kula pombe hiyo ni personal life ya mtu.Ukiachalia mbali saut mengine marehemu hafai kuigwa kwa lolote
Kati yangu na mama ako mwenye kyuma Nani ,ukisha juwa Hilo usitukane snaa watuWe ni kyuma sana..kwani marehemu unafahamiana nae mpaka umpondee...wabongo tunashida sana jamaa alikuwa humble na kasaidia wengi kama vp kufa na wewe tuone nani atakukumbuka..kula pombe hiyo ni personal life ya mtu.
Kwani alikuwa hamkojozi?? Hujui ubalozi wa pombe analipwa na Ile ni kazi? Pale alitumiwa tafsida na ni baada ya Jide kumchokoza sana, akajibu yeye hana kinyongo nae na akumbuke alimkojoza for 15yrs, which is true... Baada ya pale jide akili ilimkaa na mpaka anafariki walikuwa marafiki wazuriMarehemu alikuwa balozi wa pombe kiufupi hafai kuigwa na matokeo ya ulevi wake ni pale alipotamka hadharani kuwa kamkojoza lady jay dee miaka 15