Requal
JF-Expert Member
- Jun 5, 2020
- 1,025
- 1,917
- Thread starter
- #21
Ahsante kwa mchango wako.Duuu
Sasa tunalazimisha kila kifo ni kushindwa kupumua.
Tunahoji hadi ajali?
Tunapata faida gani tukisema tunakufa kwa Corona?
Kwani hamkusikia Magu? Kwamba waliopata chanjo ndio wameleta corona ya ajabuajabu? Na akasema hatafanya lockdown.
Mnataka awaambie mlale majumbani?
Tunaomba picha ya ajali yake mkuu