Marehemu Mbunge wa Muhambwe(Kigoma), Atashasta Nditiye alipata ajali lini na wapi?

Marehemu Mbunge wa Muhambwe(Kigoma), Atashasta Nditiye alipata ajali lini na wapi?

Ni Covid tu hapo.
Ajali ni kufunika kombe tu.
Mheshimiwa atakuwa alipata changamoto fulani ya upumuaji.
 
Ni Covid tu hapo.
Ajali ni kufunika kombe tu.
Mheshimiwa atakuwa alipata changamoto fulani ya upumuaji.
HATA KAMA UNA MATOPE KICHWANI MUWE MNAFIKIRI HATA KIDOGO SERIKALI ISEME NI AJALI WAKATI MTU HAJAPATA AJALI NDUGU WAPO WABUNGE WAPO JAMII ILIYOSHUHUDIA HIYO AJALI PALE NANENANE WOTE WAKUBALI UONGO UNAOUTAKA KWELI KAMA NI UJINGA USIJIANIKE KUTUDHIHIRISHIA UJINGA WAKO WAKO
 
Mimi sikuelewi unataka kusema nini mkuu!
.
Mambo mengine hebu tuwe tunajaribu kupuuzia tu jamani, sio kila jambo tulitafutie kasoro. Watu makini hawawi namna hii [emoji1666]
Utapuuziaje jambo kama hili?
Kama jambo ni dogo mbona hata vikao vyenu vya CCM vinavyoendele huko Dodoma vimeahilishwa?
 
Duh, pole yake. ila nadhani alikuwa anatafutwa siku nyingi, maana mwaka 2018 pia alishawahi kupata ajali akanusurika.
 
Ajali ya corona Mkuu, huoni jamaa kaikimbia Dodoma Mkuu? Anaogopa ajali ya kubamizwa BAAM!
Haiwezekani kiongozi wa umma anapata ajali halafu wananchi hawapewi taarifa , hii nchi inao wenyewe ambao ni sisi wananchi , hapa ni lazima Spika Ndugai na wenzake watoe maelezo ya kutosha ili waeleweke , au la tuambiwe ajali ya Nditiye ni ya kuanguka bafuni ambako si rahisi watu kuona , lakini vinginevyo hakuna ajali yoyote ya barabarani ambayo ni ya siri .

Juzi Katibu Tawala wa Arusha amefariki kwa ajali lakini tumeonyeshwa hadi gari alilopata nalo ajali lilivyoharibika , na tukaelezwa alikuwa anatoka wapi na kuelekea wapi , huyu mnayetaka kuficha ajali yake ametenda kosa gani ?

Rais wa Tanzania Dr Magufuli aliwahi kusema kwamba Watanzania siyo Wajinga sana .

Tuambiwe ukweli ili tuelewe
 
Haiwezekani kiongozi wa umma anapata ajali halafu wananchi hawapewi taarifa , hii nchi inao wenyewe ambao ni sisi wananchi , hapa ni lazima Spika Ndugai na wenzake watoe maelezo ya kutosha ili waeleweke , au la tuambiwe ajali ya Nditiye ni ya kuanguka bafuni ambako si rahisi watu kuona , lakini vinginevyo hakuna ajali yoyote ya barabarani ambayo ni ya siri .

Juzi Katibu Tawala wa Arusha amefariki kwa ajali lakini tumeonyeshwa hadi gari alilopata nalo ajali lilivyoharibika , na tukaelezwa alikuwa anatoka wapi na kuelekea wapi , huyu mnayetaka kuficha ajali yake ametenda kosa gani ?

Rais wa Tanzania Dr Magufuli aliwahi kusema kwamba Watanzania siyo Wajinga sana .

Tuambiwe ukweli ili tuelewe
Ajali ya kupumua
 
Samahani kidogo,hivi tulikuwa na uchaguzi uliotupa Raisi ?Mimi mpaka sasa sina Raisi wala mbunge.

Tukirudi kwenye mada, hii move wameicheza vibaya(wameiboronga).
[emoji111][emoji111][emoji111][emoji111]
 
Umeniamsha usingizi, maana nasoma tu amepata ajali ila sikumbuki kuona picha za hiyo ajali mahali, hapa kuna jambo.
 
Habari za jioni wakuu

Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali..

Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha ukweli?

Hivi inawezekanaje Mbunge na Naibu waziri wa zamani apate ajali alazwe siku mbili tena katikati ya jiji la Dodoma halafu habari zake zisisambae wakati RAS tu wa ARUSHA zilisambaa within a second

Mwenye angalau picha ya ajali yake aweke hapa.

Haiwezekani mtu mkubwa kama yule apate ajali halafu asiwepo wa kujua
Hili swali muulize Ndugai.
 
Unataka ndungai aseme nditie ameugua gafla amfurahishe mbowe na chama chake.

Umesahahu vita ya ndungai na mbowe last year.


Huu ni uongo wa mchana kabisa.
Habari za jioni wakuu

Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali..

Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha ukweli?

Hivi inawezekanaje Mbunge na Naibu waziri wa zamani apate ajali alazwe siku mbili tena katikati ya jiji la Dodoma halafu habari zake zisisambae wakati RAS tu wa ARUSHA zilisambaa within a second

Mwenye angalau picha ya ajali yake aweke hapa.

Haiwezekani mtu mkubwa kama yule apate ajali halafu asiwepo wa kujua
 
Back
Top Bottom