Kuna watu wamekuwa disappointed baada kusikia ni kifo cha ajali..........what a world we are living.......
Tumetengeneza ajali kuwa ni sababu. Bila shaka sasa tunatengeneza picha za ajali kabisa ili kuukata mzizi wa fitna.
Kwa hapo sisi na genge letu tuko vizuti. Tunajiona wajanja kweri kweri na eti kwa sababu hiyo tunapongezana.
Tutegemee kusikika habari zaidi za ajali kwenye vifo hivi vya ghafla.
What a world are we living in ..... ?