Marehemu Mbunge wa Muhambwe(Kigoma), Atashasta Nditiye alipata ajali lini na wapi?

Marehemu Mbunge wa Muhambwe(Kigoma), Atashasta Nditiye alipata ajali lini na wapi?

Wakuu kweli hiyo ajali ilitokea kama sikosei juzi alfajiri karibu na nanenane stand kuu(njia panda ya kuelekea nzuguni) ilihusisha gari kama sio harrier ni vanguard ambayo ilikua na kachuma ka bendera nadhani ndo ilikua ya mh mbunge pamoja na costa na gari nyingine moja na yaliharibika sana(nilipita yakiwa yanatolewa na breakdown) sikujua kama ndo iyo ajali au vip ila kweli ilitokea na kama ndo yenyewe sijui kwann haikutangazwa.
Kwa ujumla unatuambia nini?Umesema ni kweli sjali ilitokea. Kisha tena ukasema hujui kama ajali uliyoona ndio hiyo au sio. sasa unahakika mheshimiwa alipata ajali au huna uhakika?
 
Mb
Unataka ndungai aseme nditie ameugua gafla amfurahishe mbowe na chama chake.

Umesahahu vita ya ndungai na mbowe last year.


Huu ni uongo wa mchana kabisa.
Mbowe na ndugayi wanaingiaje kwny hii mada?
 
Mkuu ujanielewa? Mimi sikwenda kuchunguza nani alikua ndani ila niliona magari yaliyopata ajali na pia taarifa iliyotolewa na Mh spika leo nikahusianisha na ajali ndo maana nikasema sina uhakika kama ndo alikua Mh mbunge au la
Kwa ujumla unatuambia nini?Umesema ni kweli sjali ilitokea. Kisha tena ukasema hujui kama ajali uliyoona ndio hiyo au sio. sasa unahakika mheshimiwa alipata ajali au huna uhakika?
 
HATA KAMA UNA MATOPE KICHWANI MUWE MNAFIKIRI HATA KIDOGO SERIKALI ISEME NI AJALI WAKATI MTU HAJAPATA AJALI NDUGU WAPO WABUNGE WAPO JAMII ILIYOSHUHUDIA HIYO AJALI PALE NANENANE WOTE WAKUBALI UONGO UNAOUTAKA KWELI KAMA NI UJINGA USIJIANIKE KUTUDHIHIRISHIA UJINGA WAKO WAKO
haya majamaa tukiyaita mataahira yanakasirika.

yaani ni tabu.
 
Mkuu ujanielewa? Mimi sikwenda kuchunguza nani alikua ndani ila niliona magari yaliyopata ajali na pia taarifa iliyotolewa na Mh spika leo nikahusianisha na ajali ndo maana nikasema sina uhakika kama ndo alikua Mh mbunge au la
Asante nimekusoma.
 
Mkuu ujanielewa? Mimi sikwenda kuchunguza nani alikua ndani ila niliona magari yaliyopata ajali na pia taarifa iliyotolewa na Mh spika leo nikahusianisha na ajali ndo maana nikasema sina uhakika kama ndo alikua Mh mbunge au la
Asante nimekusoma.
 
Habari za jioni wakuu

Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali..

Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha ukweli?

Hivi inawezekanaje Mbunge na Naibu waziri wa zamani apate ajali alazwe siku mbili tena katikati ya jiji la Dodoma halafu habari zake zisisambae wakati RAS tu wa ARUSHA zilisambaa within a second

Mwenye angalau picha ya ajali yake aweke hapa.

Haiwezekani mtu mkubwa kama yule apate ajali halafu asiwepo wa kujua
V8 hatujaliona aisee
 
Wakuu kweli hiyo ajali ilitokea kama sikosei juzi alfajiri karibu na nanenane stand kuu(njia panda ya kuelekea nzuguni) ilihusisha gari kama sio harrier ni vanguard ambayo ilikua na kachuma ka bendera nadhani ndo ilikua ya mh mbunge pamoja na costa na gari nyingine moja na yaliharibika sana(nilipita yakiwa yanatolewa na breakdown) sikujua kama ndo iyo ajali au vip ila kweli ilitokea na kama ndo yenyewe sijui kwann haikutangazwa.
Sasa kama hukujua kama hiyo ndio ilikuwa ajali, sasa hivi umejuaje?
 
Ni kweli alipata ajali. Mke wangu yuko kundi moja WhatsApp na mke wa Marehemu Nditiye na waliosoma wote shuke fulani hivi. Na aliwajulisha kuwa mume alipata ajali mbaya na alikuwa amelazwa ICU.

Hivyo tuwe waungwana siyo kila kifo ni Covid19. Yaani kama vile mnaipenda sana. Yaani kwanza ni afadhali usipende kuitajataja. Isikie kwa jina tu ila kivitende hujui itakuchakazaje.
 
Mimi sikuelewi unataka kusema nini mkuu!
.
Mambo mengine hebu tuwe tunajaribu kupuuzia tu jamani, sio kila jambo tulitafutie kasoro. Watu makini hawawi namna hii [emoji1666]
We hukusikia kama alipata ajali
 
Haiwezekani kiongozi wa umma anapata ajali halafu wananchi hawapewi taarifa , hii nchi inao wenyewe ambao ni sisi wananchi , hapa ni lazima Spika Ndugai na wenzake watoe maelezo ya kutosha ili waeleweke , au la tuambiwe ajali ya Nditiye ni ya kuanguka bafuni ambako si rahisi watu kuona , lakini vinginevyo hakuna ajali yoyote ya barabarani ambayo ni ya siri .

Juzi Katibu Tawala wa Arusha amefariki kwa ajali lakini tumeonyeshwa hadi gari alilopata nalo ajali lilivyoharibika , na tukaelezwa alikuwa anatoka wapi na kuelekea wapi , huyu mnayetaka kuficha ajali yake ametenda kosa gani ?

Rais wa Tanzania Dr Magufuli aliwahi kusema kwamba Watanzania siyo Wajinga sana .

Tuambiwe ukweli ili tuelewe
Mbona hivyo lakini? Sio wajinga sana? Alisema hivyo kuhusu utekaji wa Mo Dewji. Kuthibitisha tu wajinga wa kutupwa hilo suala lipo bado au liliisha?
Vile umesema alikuwa naibu waziri? Unauliza mpaka mishipa ya damu pamoja na ya fahamu inakutoka! Vile waweza niambia Rais mstaafu Mkapa alifia katika hospitali gani? Samahani sana lakini. Wanaojulikana wasiojulikana. Vifo vinajulikana visivyojulikana. Watz ni mabwe(..)pande!
 
Sasa kama hukujua kama hiyo ndio ilikuwa ajali, sasa hivi umejuaje?
Nimejua baada ya taarifa ya leo kutoka kwa spika mkuu na eneo alilosema ajali imetokea, iyo kusema sijui ni tatizo la kupumua labda lilitokana na complication za ajali na sio vinginevyo.
 
Jiwe kaagiza chanjo kaitumia yeye na watu wake wa karibu halafu anaacha wengine wafe , hata ibilisi ana nafuu .
 
HATA KAMA UNA MATOPE KICHWANI MUWE MNAFIKIRI HATA KIDOGO SERIKALI ISEME NI AJALI WAKATI MTU HAJAPATA AJALI NDUGU WAPO WABUNGE WAPO JAMII ILIYOSHUHUDIA HIYO AJALI PALE NANENANE WOTE WAKUBALI UONGO UNAOUTAKA KWELI KAMA NI UJINGA USIJIANIKE KUTUDHIHIRISHIA UJINGA WAKO WAKO
Ewe bwege wa nchi gani wewe? Mibandiko yako miherufi mikubwa. Hujajifunza herufi ndogo? Umekazana ni kwa faida gani serkali idanganye. Serkali ipi? Kumbuka kisa cha kifo cha Balali. Rais alisema alizikwa Marekani. Aliyekuwa PM wake baada ya miaka kadhaa kasema atamleta mzima. Awamu ya mbayuwayu kisanga. Unashangaa ya kunguru. Una shiiida sana. Sirikali si uongo.
 
Duh, pole yake. ila nadhani alikuwa anatafutwa siku nyingi, maana mwaka 2018 pia alishawahi kupata ajali akanusurika.
Wewe ni hatari! Sio kila akukaribishaye chakula anataka ule. Hamani alialikwa kwenye karamu ya Malkia Esther. Asomaye na aelewe!
 
Ewe bwege wa nchi gani wewe? Mibandiko yako miherufi mikubwa. Hujajifunza herufi ndogo? Umekazana ni kwa faida gani serkali idanganye. Serkali ipi? Kumbuka kisa cha kifo cha Balali. Rais alisema alizikwa Marekani. Aliyekuwa PM wake baada ya miaka kadhaa kasema atamleta mzima. Awamu ya mbayuwayu kisanga. Unashangaa ya kunguru. Una shiiida sana. Sirikali si uongo.
Kwa hiyo Balali ulimuona tupe picha yake ndiyo maana nasema ujinga muache maneno ya kwenye Kahawa unaleta kwenye mambo muhimu eleza vizuri Balali yuko kwako au?
 
Habari za jioni wakuu

Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali..

Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha ukweli?

Hivi inawezekanaje Mbunge na Naibu waziri wa zamani apate ajali alazwe siku mbili tena katikati ya jiji la Dodoma halafu habari zake zisisambae wakati RAS tu wa ARUSHA zilisambaa within a second

Mwenye angalau picha ya ajali yake aweke hapa.

Haiwezekani mtu mkubwa kama yule apate ajali halafu asiwepo wa kujua
nenda Kamuulize atakujibu tu mwenyewe
 
Back
Top Bottom