Ahsante kwa mchango wako.Duuu
Sasa tunalazimisha kila kifo ni kushindwa kupumua.
Tunahoji hadi ajali?
Tunapata faida gani tukisema tunakufa kwa Corona?
Kwani hamkusikia Magu? Kwamba waliopata chanjo ndio wameleta corona ya ajabuajabu? Na akasema hatafanya lockdown.
Mnataka awaambie mlale majumbani?
Hahahaa!Nimekusoma.Sometimes tunaandika muandiko ambao mods wanaupenda tu mkuu
KARIBU MTAKUWA VICHAA YAANI SERIKALI ITOE TAARIFA YA UONGO KUWAFURAHISHA VICHAA KAMA WEWE KAMA HUKUPATA HABARI NI WEWE NA KAMA HUAMINI NENDA KAMUULIZE MKE WAKE NA WABUNGE WENZIE MUWE NA AKILI HATA ZA KUPANGA POSTHabari za jioni wakuu
Nimeona taarifa za msiba za huyu mheshimiwa naibu Waziri wa zamani na sababu ya kifo chake imeelezwa ni ajali..
Binafsi sijawahi hata kuona picha wala hababri kuhusu hii ajali yake inayotajwa kuondoa uhai wake, hii ni ajali kweli au ni futa linatumaliza huku tukificha ukweli?
Hivi inawezekanaje Mbunge na Naibu waziri wa zamani apate ajali alazwe siku mbili tena katikati ya jiji la Dodoma halafu habari zake zisisambae wakati RAS tu wa ARUSHA zilisambaa within a second
Mwenye angalau picha ya ajali yake aweke hapa.
Haiwezekani mtu mkubwa kama yule apate ajali halafu asiwepo wa kujua
Tunakushukuru kama ni kweli , sasa kigugumizi cha wakubwa kinatoka wapi ?Wakuu kweli hiyo ajali ilitokea kama sikosei juzi alfajiri karibu na nanenane stand kuu(njia panda ya kuelekea nzuguni) ilihusisha gari kama sio harrier ni vanguard ambayo ilikua na kachuma ka bendera nadhani ndo ilikua ya mh mbunge pamoja na costa na gari nyingine moja na yaliharibika sana(nilipita yakiwa yanatolewa na breakdown) sikujua kama ndo iyo ajali au vip ila kweli ilitokea na kama ndo yenyewe sijui kwann haikutangazwa.
Yaani hata wenzake wa Mjengoni nao walikuwa hawana taarifa?Wakuu kweli hiyo ajali ilitokea kama sikosei juzi alfajiri karibu na nanenane stand kuu(njia panda ya kuelekea nzuguni) ilihusisha gari kama sio harrier ni vanguard ambayo ilikua na kachuma ka bendera nadhani ndo ilikua ya mh mbunge pamoja na costa na gari nyingine moja na yaliharibika sana(nilipita yakiwa yanatolewa na breakdown) sikujua kama ndo iyo ajali au vip ila kweli ilitokea na sijui kwann haikutangazwa.
Mkuu nashukuru kwa mchango wako.KARIBU MTAKUWA VICHAA YAANI SERIKALI ITOE TAARIFA YA UONGO KUWAFURAHISHA VICHAA KAMA WEWE KAMA HUKUPATA HABARI NI WEWE NA KAMA HUAMINI NENDA KAMUULIZE MKE WAKE NA WABUNGE WENZIE MUWE NA AKILI HATA ZA KUPANGA POST
Umeambiwa ajali imetokea eneo la Nane Nane kwa mujibu wa spika Ndugai.Haiwezekani kiongozi wa umma anapata ajali halafu wananchi hawapewi taarifa , hii nchi inao wenyewe ambao ni sisi wananchi , hapa ni lazima Spika Ndugai na wenzake watoe maelezo ya kutosha ili waeleweke , au la tuambiwe ajali ya Nditiye ni ya kuanguka bafuni ambako si rahisi watu kuona , lakini vinginevyo hakuna ajali yoyote ya barabarani ambayo ni ya siri .
Juzi Katibu Tawala wa Arusha amefariki kwa ajali lakini tumeonyeshwa hadi gari alilopata nalo ajali lilivyoharibika , na tukaelezwa alikuwa anatoka wapi na kuelekea wapi , huyu mnayetaka kuficha ajali yake ametenda kosa gani ?
Rais wa Tanzania Dr Magufuli aliwahi kusema kwamba Watanzania siyo Wajinga sana .
Tuambiwe ukweli ili tuelewe
Tuendelee kujiuaKujifukiza ni kujiua.
Tuombe Mungu sana.Yaani hata wenzake wa Mjengoni nao walikuwa hawana taarifa?
Sasa roho zetu zitatulia.......ngoja tumtoe kwenye orodha ya waliokufa na corona.......Wakuu kweli hiyo ajali ilitokea kama sikosei juzi alfajiri karibu na nanenane stand kuu(njia panda ya kuelekea nzuguni) ilihusisha gari kama sio harrier ni vanguard ambayo ilikua na kachuma ka bendera nadhani ndo ilikua ya mh mbunge pamoja na costa na gari nyingine moja na yaliharibika sana(nilipita yakiwa yanatolewa na breakdown) sikujua kama ndo iyo ajali au vip ila kweli ilitokea na kama ndo yenyewe sijui kwann haikutangazwa.
Mimi sikuelewi unataka kusema nini mkuu!
.
Mambo mengine hebu tuwe tunajaribu kupuuzia tu jamani, sio kila jambo tulitafutie kasoro. Watu makini hawawi namna hii [emoji1666]
Inakuwa kama ya Mbowe aliyeanguka kwa ulevi wakasingiziwa green guardHaiwezekani kiongozi wa umma anapata ajali halafu wananchi hawapewi taarifa , hii nchi inao wenyewe ambao ni sisi wananchi , hapa ni lazima Spika Ndugai na wenzake watoe maelezo ya kutosha ili waeleweke , au la tuambiwe ajali ya Nditiye ni ya kuanguka bafuni ambako si rahisi watu kuona , lakini vinginevyo hakuna ajali yoyote ya barabarani ambayo ni ya siri .
Juzi Katibu Tawala wa Arusha amefariki kwa ajali lakini tumeonyeshwa hadi gari alilopata nalo ajali lilivyoharibika , na tukaelezwa alikuwa anatoka wapi na kuelekea wapi , huyu mnayetaka kuficha ajali yake ametenda kosa gani ?
Rais wa Tanzania Dr Magufuli aliwahi kusema kwamba Watanzania siyo Wajinga sana .
Tuambiwe ukweli ili tuelewe
Ndo najiuliza ila labda walipata taarifa ndo wakahoji bungeni leo kama sikosei mkuu.Yaani hata wenzake wa Mjengoni nao walikuwa hawana taarifa?
So what? wabongo banaaBinafsi namjua marehem, sana sana namjua zaidi mdg wa marehemu anaitwa "M" ila kwa sasa anaishi australia
R.I.P nditiye
Ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app