Marekani angeivamia Iran halafu asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo, halafu Urusi, China, nk ziipatie Iran silaha je, angetoboa?

Mimi nawashangaa sana watu humu ujue! Jamii forum ni kokolo tunatofautiana sana uelewa. HAIPO NCHI DUNIANI YA KUIWEKEA MAREKANI VIKWAZO. Teh teh teh kwamba " kwamba tunawawekea vikwazo hatutumii ndege zenu za Boeing"
Mbona Russia kawekewa vikwazo lakini gas yakd wanatumia? Kwamba kwakuwa USA kawekewa vikwazo basi na sisi hizi boeing zetu tulizonunua cash tutazipaki??
 
Mbona Russia kawekewa vikwazo lakini gas yakd wanatumia? Kwamba kwakuwa USA kawekewa vikwazo basi na sisi hizi boeing zetu tulizonunua cash tutazipaki??
Nilimainisha kwamba,kumuwekea vikwazo M arekani ni ngumu ikiwa ni pamoja na kukataa kununua ndege zake za Boeing pamoja na vipuli vyake. Kuiwekea Marekani vikwazo is an assumption of non existing fact.
 
Hawezi kustahimili, atatumia nuklia.
 
Nilimainisha kwamba,kumuwekea vikwazo M arekani ni ngumu ikiwa ni pamoja na kukataa kununua ndege zake za Boeing pamoja na vipuli vyake. Kuiwekea Marekani vikwazo is an assumption of non existing fact.
Swali langu nafikiri hujajibu, kwani Russia si kawekewa vikwazo? Kwanini Gas yake wananunua? Kwanini unadhani Boeing ndio hawatafanya biashara na nchi au wateja wake?
 
Bado awajaijua USA vizuri uyo Iran USA akiamua kuipiga siku3 nyingi watu watakuwa wanakunywa kahawa Tehran
 
Ndugu yangu hakuna duniani anayependa vita,Us na Nato Wala hawajaogopa kuweka fly zone kwa sababu hizo unazojua wew. Kuweka fly zone pale Ukraine is an act of war( nikujiingiza moja kwa moja vitani kitu ambacho si sahihi kabsa. Sasa nikuulize Urusi alitamka mwanzoni kabsa kuwa atayeingilia huo mgogoro wa Ukraine atapata athari ambazo hajawahi kuzipata tangu dunia iumbwe,sasa kwa ufahamu wako hizo nchi zinazopeleka silaha huko hazijaingilia huo mzozo? Naje Urusi ameziwajibisha namna gani kama alivyo ahidi?
 
nenda kahangalie bajeti ya UN vizuri then ndio uje apa 50% yote anatoa USA kaangalie izo nchi zako wakina china na Russia wanatoa % ngapi
 
somalia na USA ile ilikuwa ni gorilar war siyo vita rasmi ile vita gani watu wanajichanganya na raia wanavaa nguo za kawaida kama wananchi? ulitaka USA apige raia
 
Nafikiri hakuna nchi iliyopeleka jeshi na hata visilaha vidogo vidogo wanavyopeleka havina athari kubwa. Nafikiri Russia pia alimaanisha nchi itakayothubutu kupeleka jeshi au wanajeshi wa Nato kupelekwa. Hiyo fly zone pia ni kuingilia na ndio maana US na washirika wake wamemgomea Ukraine kuweka no fly zone.
 
Bado awajaijua USA vizuri ,kiufupi USA ndio baba wa tech duniani
 
Swali langu nafikiri hujajibu, kwani Russia si kawekewa vikwazo? Kwanini Gas yake wananunua? Kwanini unadhani Boeing ndio hawatafanya biashara na nchi au wateja wake?
Kumuwekea vikwazo ni pamoja na kukataa product zake Kama Boeing na vipuli vyake, the main essence ya kuiwekea vikwazo nchi ni ili kui suffocate kiuchumi, kama ni kiumbe hai kikose pumzi ya ku support life. Ndio maana nikasema nchi inayoiwekea vikwazo Us itakataa kununua Boeing na parts zake? KAKA NIMECHOKA KUELEZA... WEKA PEMBENI CHUKI DHIDI YA MAREKANI URUHUSI FIKRA HURU. Hiyo scenario ya mtoa mada is quite inapplicable ( haitekelezeki) over
 
Una homa sana hiyo itawezekana vipi mkuu? ukiambiwa Marekani ime invest muda mrefu duniani elewa hivyo., ili umuhame Marekani inabidi uanzishe mambo yako kwa miaka mingi sana, China alitaka kujaribu bila ya Marekani ikashindikana unataja Iran wakati Iran wenyewe saiv wanaomba kuondolewa baadhi ya vikwazo walivyoekewa na Marekani
 
Mbona wewe bado hunielezi kwanini Russia anaendelea kuuza gas kwa hao mahasimu wake waliomwekea vikwazo.

Nielekeze hili kwanza nielewe mkuu..
 
Mfano Poland asingekuwa member wa Nato angepeleka hata mshale tu wa msaada Ukraine nini kingempata nusu saa tu badae. Hizo silaha unazosema ndogo ndogo ndizo zilizosababisha ile u turn( kugeuza faster) uelekeo kutoka kwenda mji mkuu na kukimbilia Donbas( Eastern side). Na pili hata hiyo misaada ya silaha ndogo ndogo inamchelewesha Urusi ku accomplish operation yake hivyo usizani anafurahia Ukraine kupata msaada,ikumbuke vita ni garama Kuna loss of life na economy pia, HATA URUSI MWENYEWE HAPENDI.
 
Mbona wewe bado hunielezi kwanini Russia anaendelea kuuza gas kwa hao mahasimu wake waliomwekea vikwazo.

Nielekeze hili kwanza nielewe mkuu..
Hilo la boeng ni mfano mmoja tu basi tufanye gesi na Boeing ziwe sawa ,sasa hemu tukae tujadili jamaa yangu. Hemu njoo na package ya aina ya vikwazo na nchi husika zitakazo weka vikwazo na effect ya vikwazo hivyo kwa ujumla upande wa Us na globally kama inawezekana. THE FLOOR IS YOUR STEPHEN CURRY
 
[emoji3538][emoji3538][emoji3538]Any supply of weapons to Ukraine, no matter how Washington argues them, increases the risk of a direct clash between the Russian Federation and the United States, Deputy Foreign Minister Ryabkov told RIA Novosti[emoji3538][emoji3538][emoji3538]
 
Sasa si achukue hatua
 
Mbona ziko nchi haziko NATO na zilipeleka silaha na Russia hajazigusa?

Russia alionesha uanamme Syria kwa kupeleka jeshi kamili na mpaka leo Assad yupo na miji imekombolewa. Kwanini US na NATO wasiende kumtetea mwanachama wao wa baadae waliyempa kichwa?
 
Mantiki ya huu uzi nadhani wengi hamjaelewa. Hata tunaongelea Ceteris Paribus, kwa maana mpaka hao wakubwa wafikie kukuwekea vikwazo ni kwamba wana mbadala wa hicho wanachokipata kwako.

US na Europe walikubaliana kuweka vikwazo baada ya kujua watakabiliana vipi na kile ambacho Russia anaoffer kwao. Na ndio maana pia walikimbilia kuseize mali nyingi za matajiri wa Russia zilizopo sehemu mbalimbali ili pia waweze kufinance hiyo vita. Sasa kwa muktadha huu tuanze kuimagine (kama ambavyo mleta uzi ameweka nadharia) solutions zote za ambacho US anaoffer kwa dunia zikapatiwa substitute na mali zote za US na Mabilionea wake zilizoko duniani zikanyakuliwa then US akabaki na washirika wachache kama UK, Canada, Australia ambao pia wao watabaki kutoa tu matamko na sio kumsaidia direct, Je ataweza kupambana na kushinda vita mwenyewe??

Lakini pia, Je unadhani Dunia inamuhitaji zaidi US kuliko US anavyoihitaji Dunia??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…