Marekani angeivamia Iran halafu asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo, halafu Urusi, China, nk ziipatie Iran silaha je, angetoboa?

Marekani angeivamia Iran halafu asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo, halafu Urusi, China, nk ziipatie Iran silaha je, angetoboa?

Vita ni vita , tena wale Taliban hata Ant tank hawana lakini miaka 20 yule US hakuna alichofanya
Huyo Mrusi alipovamia na mercenaries wake na kumuua rais WA Afghanistan miaka hiyo then anapigana na Mujahedeens alikaa miaka mingapi hapo na alifanikisha nini ? , Mpuuzi mmoja usiyejua hata history
 
Miradi yote ya kitaifa kupunguza maternal death( vifo vya kina mama vinavyotokana na uzazi), miradi ya kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto,miradi ya tohara za wanaume, dawa za kufubaza athari za ukimwi etc etc iko donated na USAID. Nani sasa anaanza kumuwekea vikwazo? Na hii mradi ni globally and particularly in Africa.
Wanatia kinyaa hawa madogo hawa , viazi Sana ,akili zero
 
Hivi Marekani angejichanganya leo akaamua kuivamia Iran kwa kuitumia ardhi ya Iraq lakini asisaidiwe na nchi nyingine, awekewe vikwazo kama alivyowekewa Urusi.

Halafu Iran isaidiwe silaha mfululizo na Urusi, China, India, na nchi zingine za kiarabu, je Marekani angestahimili kwa muda gani? Ujue kupigana ukiwa umewekewa vikwazo ni kama kupigana ukiwa umefungwa pingu!
Huko kote mbali sana mfano mdogo upo Syria USA na washirika wake NATO walipo ivamia Syria, Russia tu peke yake Alivyotia maguu mpaka Leo wamesanda [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Jamaa kauliza swali badala ya kujibiwa, ndo kwanza nae anaulizwa eti tukikosa dola, tukikosa soda, tukikosa middle, tukikosa........... jibuni swali " marekani akipigwa ban za kutosha kama urusi anaweza kushinda vita?
[emoji16][emoji16][emoji16] imagine baadhi ya watu humu ni narrow mind
 
Huko kote mbali sana mfano mdogo upo Syria USA na washirika wake NATO walipo ivamia Syria, Russia tu peke yake Alivyotia maguu mpaka Leo wamesanda [emoji16][emoji16][emoji16]
Daah! Aaaaaiiiseee 🤐
 
Marekani akiwekewa vikwazo na China maana yake China iache kuuza bidhaa zake Marekani, kwa mwaka China inauza zaidi ya dola bilioni 400 kwa Marekani. Kwa hiyo China wawe vilaza waache kupata bilioni 400 kwa mwaka wabaki kwa Russia kupata dola bilioni 50 kwa mwaka, hii ni 1 ya 8.

Wakati huo China ikose patents zote za Marekani. ZTE ilipigwa sanctions na Marekani mpaka leo hatuoni simu zake, Huawei ilipigwa sanctions mpaka ikafungua biashara ya kufuga nguruwe ili kutosheleza profits. Patents za teknolojia ya simu nyingi ni za makampuni ya Marekani. Hata TCMS wataambiwa hakuna kuuza microchips kwa China wala Russia, Samsung Electronics mnayoona hii Marekani ikitaka ipotee sokoni ndani ya miaka minne inaweza potea. Ukipiga marufuku wasitumie foundry tech ya US kutengeneza chips zao za Exynos, au kufanya outsourcing ya chips kutoka kwa Qualcomm ya Marekani. Kwahiyo Samsung nao watachagua upande wa Marekani kuliko China na Russia.


China akishindwa kuzalisha zaidi kwa ajili ya kuuza Marekani atapunguza mahitaji ya gesi na mafuta kutoka Russia na kwingineko, hapo Russia anapunguza mapato, soko la mafuta duniani linashuka uchumi wa OPEC wote unaporomoka na dunia kwa ujumla inaingia mdororo wa uchumi. Marekani inaweza zalisha mapipa milioni 15 ya mafuta kwa siku ukijifanya unaikomoa, kwa siku inatumia mapipa milioni 19 hizo nne zinazokosa kwenye mlinganyo inatafuta hata Libya inawahonga wanaiuzia extra.

Kampuni kama Boeing zinaacha kufanya kazi China na Russia. Pia Dell, HP, Apple, Sony, etc. GPS inafungwa wabaki na GLONAS zao na BeiDou ambazo sio reliable na hazina global support. Android system inafungwa na iOS tuone ni Mwafrika gani ataanza kujaribisha systems ambazo hajawahi sikia. Facebook, WhatsApp, Twitter, Instagram zinafungwa kwao na kwa vifaa wanavyotengeneza. Warusi wabaki na VKontakte (ambayo najua 98% ya wabongo hawajawahi hata kuisikia) na Wachina wabaki na kina WeChat, Weibo na TikTok. Ukiachana na TikTok ni nani duniani hapa atataka aache hizo nyingine atumie VKontakte au Weibo na WeChat?

South Korea, Japan, UK, Germany, France, Australia, Italy, Spain, Canada zitasimama na Marekani. Israel na Switzerland wanaweza chagua kuwa neutral, Waarabu vigeugeu kupindukia watasoma upepo ila wengi watakuwa upande wa Marekani. Yani Qatar aache kuwa upande wa Marekani ambako kila giant aliyeko kule anajiweza na gesi hana, aende kushiriki na China ambako Russia anamuuzia gesi kwa fujo?
Kama kuna mtu atabisha hapa atakuwa ni mwehu sasa
 
Tofautisha vita inayopiganwa Ukraine na vita ya kumeza bomu unavizia kwenda kujilipua. Kilichokuwa kinatokea Afghanistan siyo vita Kama inayoendelea Ukraine.
Hawaelewagi hao vijana, hawatumii akili.
 
Mleta mada utakuwa mbea au huna kitu kichwani una mihemko utadhani pre mature ejaculation yaani china inauza bidhaa USA dola bil. 400 na zinazouzwa Urusi ni bilion 50 halafu ukadai ni 1/20 hivi ni matatizo ya hesabu au ni upumbav? Unamaanisha 400÷50 =20?
Watu ukiwaambia china uchumi wake umeshikwa na US na Ulaya wanaona kama vile ni uongo ila huu ndio ukweli. China hawezi kupasua kiuchumi bila kumtegemea US.
 
Ndugu yangu hakuna duniani anayependa vita,Us na Nato Wala hawajaogopa kuweka fly zone kwa sababu hizo unazojua wew. Kuweka fly zone pale Ukraine is an act of war( nikujiingiza moja kwa moja vitani kitu ambacho si sahihi kabsa. Sasa nikuulize Urusi alitamka mwanzoni kabsa kuwa atayeingilia huo mgogoro wa Ukraine atapata athari ambazo hajawahi kuzipata tangu dunia iumbwe,sasa kwa ufahamu wako hizo nchi zinazopeleka silaha huko hazijaingilia huo mzozo? Naje Urusi ameziwajibisha namna gani kama alivyo ahidi?
Hawezi kutoa jibu la kueleweka hapa.
 
Jamaa kauliza swali badala ya kujibiwa, ndo kwanza nae anaulizwa eti tukikosa dola, tukikosa soda, tukikosa middle, tukikosa........... jibuni swali " marekani akipigwa ban za kutosha kama urusi anaweza kushinda vita?
Apigwe ban na nani?
 
Umuwekee vikwazo USA Basi husitumie, Pepsi, Coca-Cola, Colgate,Google, Facebook, watsapp, Tweeter,

Husitumie Dollars, Master card, visacard, paypall, husitumie Boeing, ARV, chanjo za magonjwa. Ulipie 1/3 za mchango kwa UN. Ulipie 2/3 ya bajeti ya WHO

Hudumia kambi za wakimbizi, asa Africa, fafhiri UNHCR, UNO, WFP.

Baada ya hapo muwekee US vikwazo [emoji2][emoji2]
Comment bora kabisa ya huu uzi.
 
Umeshaambiwa ikitokea ikawa hivyo.. Duuh mbona mnakuwa vilaza hivi
Haiwezi kutokea ikawa hivyo,ndiyo maana wanakupa uhalisia kwakuwa ni kitu hakiwezekani US kuwekewa vikwazo.Kwanini tuanze kujadili kitu ambacho haiwezekani kikaja kutokea.
 
Back
Top Bottom