Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Marekani: Donald Trump ajeruhiwa kwa risasi akihutubia mkutano wa hadhara

Shooter kauliwa na Secret Service!

Ila sijui aliwezaje kuvuka rings of protection maana ulinzi wa Trump uko tofauti kidogo na ulinzi wa marais wengine wa zamani.
Shooter hakuwa ndani ya ''uwanja'', alikuwa nje kwenye ' rooftop'
swali ni kwamba katika maeneo yanayoangaliwa sana ni 'rooftops' za majengo, kwanini secret service hawakuliona hilo. Shooter alitaka kufanya ile ya JF Kennedy.

Nawasoma wachangiaji na kuwatahadhrisha siasa za Marekani si rahisi kihivyo.
Kesho mnaweza kuamka na habari tofauti. Wekeni akiba ya maneno. Ngoja nitulie kwanza
 
Shooter hakuwa ndani ya ''uwanja'', alikuwa nje kwenye ' rooftop'
swali ni kwamba katika maeneo yanayoangaliwa sana ni 'rooftops' za majengo, kwanini secret service hawakuliona hilo. Shooter alitaka kufanya ile ya JF Kennedy.

Nawasoma wachangiaji na kuwatahadhrisha siasa za Marekani si rahisi kihivyo.
Kesho mnaweza kuamka na habari tofauti. Wekeni akiba ya maneno. Ngoja nitulie kwanza
Mimi nahisi hii kitu Trump amejipangia game mwenyewe.Dunia imeingia box kwa Trump
 
Uko sahihi 100% na ndiyo maana wanataka Kumuondoa / Kumuua kwani Idara za Usalama wa Marekani wameshaliona hilo kwa mbali na kugundua akiwa Rais itakuwa mbaya Kwao na katika harakati zao dhidi ya Urusi na hata Uchina pia.
Wenzetu nchi haiendeshwi kwa Mtazamo na fikra za Rais kuna Bunge na vyombo vingine juu ya Rais dogo.
Tayari dira ya nchi inasema wachukue muelekeo gani.
 
Mimi nahisi hii kitu Trump amejipangia game mwenyewe.Dunia imeingia box kwa Trump
Mara zote siongozwi na ''conspiracy theory' lakini nafuatilia historia kwa ukaribu sana.

Kulitokea '' Oklahama Bombing'' kila mtu akakimbilia kusema ni Magaidi wa Kiarabu
Haikupita saa 24 tukajua alikuwa ''white' Tom McVeigh

Ku-rush na kunyooshea watu vidole! kuna matatizo yake! watu watalamba matapishi. Siasa za US ni tofauti
 
Uko sahihi 100% na ndiyo maana wanataka Kumuondoa / Kumuua kwani Idara za Usalama wa Marekani wameshaliona hilo kwa mbali na kugundua akiwa Rais itakuwa mbaya Kwao na katika harakati zao dhidi ya Urusi na hata Uchina pia.
Na wewe GENTAMYCINE unaungana na hao wehu,dunia itakuwa salama na bila ujinga,kwa uwepo wa mzee Trumpet,Mr.moscovischt,Mr.Xi,Mr.Kim ,Mr.Pereshkia and alike.
 
Mara zote siongozwi na ''conspiracy theory' lakini nafuatilia historia kwa ukaribu sana.

Kulitokea '' Oklahama Bombing'' kila mtu akakimbilia kusema ni Magaidi wa Kiarabu
Haikupita saa 24 tukajua alikuwa ''white' Tom McVeigh

Ku-rush na kunyooshea watu vidole! kuna matatizo yake! watu watalamba matapishi. Siasa za US ni tofauti
Mimi napenda kuwaza tofauti aisee.Mambo ni tofauti na tunavyoyaona nje .
 
Back
Top Bottom