PakiJinja
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 11,689
- 25,848
Oh!!! Kumbe ndiyo maana nilishindwa kuielewa comment yako, sasa nimekuelewa. Pole sana, matamanio yako yataishia kuwa matamanio ya mfalme njozi.Trump hawezi kuwa rais wa US again, kama vile ulivyochukuzwa na Magufuli basi jua wana tabia moja
Kingine usimfananishe Trump na vitu vya kijinga