Shooter hakuwa ndani ya ''uwanja'', alikuwa nje kwenye ' rooftop'Shooter kauliwa na Secret Service!
Ila sijui aliwezaje kuvuka rings of protection maana ulinzi wa Trump uko tofauti kidogo na ulinzi wa marais wengine wa zamani.
Ni kweli,Upigwe risasi ya sikio,Unyanyue mkono wako juu kishujaa? Najaribu kuwaza kidogoWewe endelea kuhisi tu. Kila mtu ana hisia yake ya kipekee ingawa tunaweza kukutana kwenye baadhi ya mambo.
Mimi nahisi hii kitu Trump amejipangia game mwenyewe.Dunia imeingia box kwa TrumpShooter hakuwa ndani ya ''uwanja'', alikuwa nje kwenye ' rooftop'
swali ni kwamba katika maeneo yanayoangaliwa sana ni 'rooftops' za majengo, kwanini secret service hawakuliona hilo. Shooter alitaka kufanya ile ya JF Kennedy.
Nawasoma wachangiaji na kuwatahadhrisha siasa za Marekani si rahisi kihivyo.
Kesho mnaweza kuamka na habari tofauti. Wekeni akiba ya maneno. Ngoja nitulie kwanza
Wenzetu nchi haiendeshwi kwa Mtazamo na fikra za Rais kuna Bunge na vyombo vingine juu ya Rais dogo.Uko sahihi 100% na ndiyo maana wanataka Kumuondoa / Kumuua kwani Idara za Usalama wa Marekani wameshaliona hilo kwa mbali na kugundua akiwa Rais itakuwa mbaya Kwao na katika harakati zao dhidi ya Urusi na hata Uchina pia.
NeverBhalaa Huyu Mwamba Trump Anakwenda Kuichukua US
Ni Mimi na wewe tunao tambua hili. Hii movie imechezwa Kwa ustadi kumpa Trump kura za hurumaPolitrics
Mara zote siongozwi na ''conspiracy theory' lakini nafuatilia historia kwa ukaribu sana.Mimi nahisi hii kitu Trump amejipangia game mwenyewe.Dunia imeingia box kwa Trump
Vipi ile ya kummiminia Lissu risasi akiwa kwenye viunga vya makazi ya wabunge, vinavyolindwa masaa 24 na polisi huku kukiwa na CCTV camera ilikuwa ni nini?This was a clear assassination attempt!!
Demokrasia Inaangalia mtu na mtu, Huwezi kuweka mwehu Ikulu ukasema ni demokrasia.Siku zote tunaamini marekani ndo baba wa democrasia duniani.
Na wewe GENTAMYCINE unaungana na hao wehu,dunia itakuwa salama na bila ujinga,kwa uwepo wa mzee Trumpet,Mr.moscovischt,Mr.Xi,Mr.Kim ,Mr.Pereshkia and alike.Uko sahihi 100% na ndiyo maana wanataka Kumuondoa / Kumuua kwani Idara za Usalama wa Marekani wameshaliona hilo kwa mbali na kugundua akiwa Rais itakuwa mbaya Kwao na katika harakati zao dhidi ya Urusi na hata Uchina pia.
Mimi napenda kuwaza tofauti aisee.Mambo ni tofauti na tunavyoyaona nje .Mara zote siongozwi na ''conspiracy theory' lakini nafuatilia historia kwa ukaribu sana.
Kulitokea '' Oklahama Bombing'' kila mtu akakimbilia kusema ni Magaidi wa Kiarabu
Haikupita saa 24 tukajua alikuwa ''white' Tom McVeigh
Ku-rush na kunyooshea watu vidole! kuna matatizo yake! watu watalamba matapishi. Siasa za US ni tofauti
Umempiga RUNGU la kichwa, HarudiVipi ile ya kummiminia Lissu risasi akiwa kwenye viunga vya makazi ya wabunge, vinavyolindwa masaa 24 na polisi huku kukiwa na CCTV camera ilikuwa ni nini?